4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 6,031
- 6,845
Hakuna mlipaji kodi mwaminifu nchi hii kama mtumishi wa umma, mchango wa mtumishi nchi hii ni mkubwa sana akifuatiwa na mkulima,
MTUMISHI,
1.Analipa kodi kila mwezi kupitia mshaara wake kwa mwezi
2. Analipa kodi kupitia manunuzi yake ya matumizi mbalimbali kila siku
3. Akifungua biashara analipa kodi na kuajiri pia
4.Akivuna shambani analipia pia ushuru na kuajiri vibarua wa kumfanyia kazi
Wafanyabiashara msijikute bila sababu , ukikuta mfanyabiashara analipa M1 kama makadilio ya kodi kwa mwaka ,jua nyuma ya pazia kaisha kwepa kodi M4
MTUMISHI,
1.Analipa kodi kila mwezi kupitia mshaara wake kwa mwezi
2. Analipa kodi kupitia manunuzi yake ya matumizi mbalimbali kila siku
3. Akifungua biashara analipa kodi na kuajiri pia
4.Akivuna shambani analipia pia ushuru na kuajiri vibarua wa kumfanyia kazi
Wafanyabiashara msijikute bila sababu , ukikuta mfanyabiashara analipa M1 kama makadilio ya kodi kwa mwaka ,jua nyuma ya pazia kaisha kwepa kodi M4