Kwahiyo watu wanaishi kwa hisani tu ya wenye mamlaka?Mkuu umekaa vizuri ukawaza kwa kina kuhusu hilo? Kiongozi ni Tajiri kuliko wewe boss muda wowote anaweza kuyumbisha mazingira yako ya biashara ukashindwa kufanya biashara.
Kwahiyo watu wanaishi kwa hisani tu ya wenye mamlaka?Mkuu umekaa vizuri ukawaza kwa kina kuhusu hilo? Kiongozi ni Tajiri kuliko wewe boss muda wowote anaweza kuyumbisha mazingira yako ya biashara ukashindwa kufanya biashara.
Na wewe unaifurahia hiyo hali ya kuineana?Manji wa Yanga aliishia wapi? Mo alifichwa siku kadhaa na hakutakiwa kuropoka na aliufya kinyaa Hadi Leo.
Wewe ni nani Hadi uitishe Mamlaka? Kiufupi unapangiwa namna ya kuishi bila kujalisha unataka au hutaki
Ndio ,kuwa na watu wapumbavu kama mtoa mada haitakiwi Kwa sababu maskini hatapata Haki popote uko entertain ujinga waoNa wewe unaifurahia hiyo hali ya kuineana?
Wewe ni :Hakuna mwenye mamlaka anayempangia mwenye pesa namna ya kuishi
Nakubaliana nawewe......ila kuna siku utagundua tajiri awezi kufungwa atalipa faini na atamfukuza kazi aliyempisha faini..Wewe ni :
mjinga
/mʄiŋga/
mtu asiyejua kitu au jambo fulani.
Penda kujifunza kwanza, usilete ujuwaji na ubishi wa kishamba!Nakubaliana nawewe......ila kuna siku utagundua tajiri awezi kufungwa atalipa faini na atamfukuza kazi aliyempisha faini..
Huna unachojua! Manji na mahela yale alijambishwa mpaka basi! Unacheza na mamlaka wewe!Hakuna mwenye mamlaka anayempangia mwenye pesa namna ya kuishi ...akina bakharesa, mo, Rostam wameachana na Mamlaka zote wameamua kutafuta fedha
Huna akiliNitampinga so long as alikuwa na ubabe usio na maana