Eleza changamoto unazokutananazo ukiwa kama 'Programmer' mpya unayejifunza mwenyewe

Ahaa
copy that

Japo siitumii sana Python sana, ila ni lugha nzuri sana maana ni multi-purpose, unaweza ukaitumia katika maeneo mengi sana bila kuhangaika kutafuta lugha nyingine ya kuunga unga.
Huwa najutia kwanini sikuanza kujifunza programming kwa kutumia Python kipindi ambacho nilikua na muda na fursa ya kutosha, leo hii nimezongwa na miradi yaani muda wa kujifunza unakua adimu inabidi kujibanza kiaina.
Kwa sasa Python naitumia kwenye ERP ya Odoo, ila ni lugha nzuri sana ukikaa ujifunze bila kuharakisha, nenda nayo ukiwa na nia ya kuifahamu kiundani, jipatie mazoezi ya kutosha.
 
Msaada kidogo wakuu,
Nataka navigation bar ionekane kwenye cover image ya website.
Nafanyaje?
 

Attachments

  • Screenshot_20200224-231337-01.jpeg
    Screenshot_20200224-231337-01.jpeg
    32.4 KB · Views: 3
Nimekwama mkuu,
Taratibu nitaendelea kujaribu.

Unakwama wapi haswa, hebu nenda kwenye hiyo page badilisha style ya class ya .container uweke hii

.container {
display: flex;
flex-direction: column;
justify-content: center;
align-items: center;
text-align: center;
min-height: 100vh;
}

Pia kwenye .navbar ili kupata glass effect, jaribu kuweka hii style ila ucheze cheze nayo

background-color: rgba(255, 255, 255, .15);
backdrop-filter: blur(5px);


Kwa hizo settings nilizokupa utapa matokeo kama haya hapa chini, sasa utaendelea kubadilisha badilisha mpaka ije unavyotaka.

1582587335334.png
 
Siku zote tumia external, inakua rahisi kwa maintenance, maana unakua na sehemu moja ya kufuata styles zako, lakini ukiziweka inline yaani unahangaika kufuata files moja moja.
Inahitaji kutumia akili namna gani ya kupanga styles zako kwa site ili hata ukimpokeza developer/designer mwingine hatahangaika, au hata wewe ukihitajika kufanya mabadiliko baada ya miezi sita hautapata tabu.
Na hii ipo hata kwa development, lazima ujitahidi kutenganisha codes.

Faida nyingine ni kwamba yan inakuwa rahis kureuse zile styles zako sababu kwenye html unakuwa unalink tu, sasa ukitumia internal au inline inakuwa ngumu kidogo kurecall your codes..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nini faida ya kujua PROGRAMMING?
Hivi faida za programming language ni nini haswa mkuu
Mifuno ya mashine kama kompyuta, simu, printa, gari, treni, ndege n.k huwa inatumia lugha zake (lugha za mashine) kuwasiliana, kama vile sisi binadamu tunavyotumia kiswahili au kiingereza kuwasiliana.

Lugha hizo za mashine ni ngumu sana sisi binadanu kuzielewa kwa haraka na ufasaha. Mashine nazo ni vigumu kuelewa lugha zetu ya maneno. Ili binadamu na mashine tuweze kuwasiliana inabidi kuwe na mkalimani, na mkalimani huyo ndiyo programming languages.

Kwa kujua programming language, unaweza kuongea na mfumo wowote wa kompyuta na kuiamrisha kufanya chochote upendacho. Mfano, unaweza kutengeneza mwongozo (algorithm) kuweza kuwasha taa za kibarazani kwako kila inapofika saa 12 jioni na kuzizima saa 12 asubuhi, kwa kila siku za wiki kasoro jumanne ya mwisho wa mwezi, kila baada ya miezi miwili..
 
django bado...Me ni beginner ila sio absolute.
That explains msaada naohotaji nahisi.

Kama unapenda web app mtiririko wa python upo hivi :

Python:Language,
A Web framework is a collection of packages or modules which allow developers to write Web applications.

Kwenye Python kuna framework kubwa 2 : Django na Flask.Django inafaa kwenye small and large project na watu wengi wanatumia Django kuliko flask.Mfano wa web zilizotengenezwa kwa Django ni: Google, Insta, Quora, Youtube, Nasa etc.

Kama python sio absolute beginner na unaelewa classes na functions vizuri endelea na django . Note: jitahidi kwa kila tutorial utakayo kuwa unasoma install version ya python na django sawa sawa na tutorial husika. code code code.





CodingEntrepreneurs
Introduction · Django Girls Tutorial

Django documentation:
The Web framework for perfectionists with deadlines | Django
 
I'm past classes and functions...ni kwamba sipo confident yet

Kama unapenda web app mtiririko wa python upo hivi :

Python:Language,
A Web framework is a collection of packages or modules which allow developers to write Web applications.

Kwenye Python kuna framework kubwa 2 : Django na Flask.Django inafaa kwenye small and large project na watu wengi wanatumia Django kuliko flask.Mfano wa web zilizotengenezwa kwa Django ni: Google, Insta, Quora, Youtube, Nasa etc.

Kama python sio absolute beginner na unaelewa classes na functions vizuri endelea na django . Note: jitahidi kwa kila tutorial utakayo kuwa unasoma install version ya python na django sawa sawa na tutorial husika. code code code.





CodingEntrepreneurs
Introduction · Django Girls Tutorial

Django documentation:
The Web framework for perfectionists with deadlines | Django
 
kaka una.deal na language ipi sana.
i just want to confirm

Kama unapenda web app mtiririko wa python upo hivi :

Python:Language,
A Web framework is a collection of packages or modules which allow developers to write Web applications.

Kwenye Python kuna framework kubwa 2 : Django na Flask.Django inafaa kwenye small and large project na watu wengi wanatumia Django kuliko flask.Mfano wa web zilizotengenezwa kwa Django ni: Google, Insta, Quora, Youtube, Nasa etc.

Kama python sio absolute beginner na unaelewa classes na functions vizuri endelea na django . Note: jitahidi kwa kila tutorial utakayo kuwa unasoma install version ya python na django sawa sawa na tutorial husika. code code code.





CodingEntrepreneurs
Introduction · Django Girls Tutorial

Django documentation:
The Web framework for perfectionists with deadlines | Django
 
Nimefanikiwa kuweza kuweka navigation bar Kwa background image ya website.

Naomba msaada hapa;
Nafanya vipi ili mtu aki click home, about au contacts impeleke mpaka sehemu husika.
Kwa maana nyingine Yani hizo inputs za home, about na contacts naziweka vipi.

Natanguliza shukrani Kwa michango yenu wote huko juu.
 
Mie sijui kuhusu programming ila nilitamani sana kujua kwahiyo nikaanza kujifunza Python, kwahiyo naendelea nayo mdogo. Huu uzi umekuwa muhimu sana kwangu kwa leo. Mkuu uliyeanzisha huu ubarikiwe naona nimekaa darasani sasa najifunza mdogo mdogo.
Jambo moja ambalo linatuumiza vijana wengi wa kitanzania ni kutaka kufanya vitu kwa binafsi. Hebu angalia nyie wote mliomo na uwezo wenu, hivi hatuwezi kuunganisha hizi akili na ujuzi tukaja na Whatsapp ya kwetu, Facebook yetu, au tukaichukua idea ya mtu na kuunganisha nguvu tukawa giants?
Kila mtu amekaa kusubiri aitiwe kazi alipwe kiasi fulani aondoke ila sio kuwekeza kwenye ideas. Aisee natamani knowledge mliyonayo.
Hawa waliopo humu sio wabinafsi kabisa na nyie mtafika mbali nawaombea kwa maana mmejitoa kuelezea mambo mengi humu hadi hii w3schools nimeiona msaada mno.

Mnaonaje kama mkiamua kuchukua vichwa hivi halafu mkawekeza kwenye wazo (Idea/project), je hatutakuwa na mabilionea wa tech TZ?

Tusijifungie kusubiri kutengeneza website na projects ndogo na kuacha kuumiza kichwa kuwekeza kwenye projects ideas za kitaa!!!
 
Nimefanikiwa kuweza kuweka navigation bar Kwa background image ya website.

Naomba msaada hapa;
Nafanya vipi ili mtu aki click home, about au contacts impeleke mpaka sehemu husika.
Kwa maana nyingine Yani hizo inputs za home, about na contacts naziweka vipi.

Natanguliza shukrani Kwa michango yenu wote huko juu.
Brother unaweza ukasimama kwanza project yako then pitia hii tutorial. Utaokoa muda mwingi.
 
Back
Top Bottom