Ukiwa kama programmer kwenye taasisi unakutana na changamoto zipi? Zangu ni hizi

MdengestanfromCuba

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
573
573
Wakubwa mnajisikiaje na hali🤚🤚, ni hivi ulishawahi kufanya kazi sehemu kama programmer halafu ukakuta wasimamizi wako au pengine wadau wakawa hawajui vizuri kuhusu programming? mimi hiyo ilishawahi kunitokea yaani nilifanya kazi kwenye mazingira magumu sana, na ni rahisi sana kuonekana hujui kitu (wanapenda fancy features za kusadikika).

mfano, kuna project tulikua tunafanya halafu akawepo implementer ambae anawasiliana na users na pia na management, aisee ni balaa, mtu anafikia hatua anakwambia code ni kama kuandaa document tu!

sasa kubwa kuliko unakuta IT personel ambaye labda mpo chini yake hajui code, asee wanakua na inferiority complex sana, hii inapelekeankua negative tuu, mara kuitwa wazee wa copy and pasting😆😆, mara programmer wa bongo hamna kitu, yani basi tu.

kama umewahi ku experience hali kama hii tujuze ilikuaje
 
kwenye system development life cycle kuna phase mnazifuata na code ni output ya system analysis and program designing ambayo inakuwa kwenye document ndo inakuwa translated into coding katika implementation.
 
kwenye system development life cycle kuna phase mnazifuata na code ni output ya system analysis and program designing ambayo inakuwa kwenye document ndo inakuwa translated into coding katika implementation.
mkuu maeneo mengi naona mambo sivyo, unakuta sehemu hamna hata project manager
 
Wakubwa mnajisikiaje na hali🤚🤚, ni hivi ulishawahi kufanya kazi sehemu kama programmer halafu ukakuta wasimamizi wako au pengine wadau wakawa hawajui vizuri kuhusu programming? mimi hiyo ilishawahi kunitokea yaani nilifanya kazi kwenye mazingira magumu sana, na ni rahisi sana kuonekana hujui kitu (wanapenda fancy features za kusadikika).

mfano, kuna project tulikua tunafanya halafu akawepo implementer ambae anawasiliana na users na pia na management, aisee ni balaa, mtu anafikia hatua anakwambia code ni kama kuandaa document tu!

sasa kubwa kuliko unakuta IT personel ambaye labda mpo chini yake hajui code, asee wanakua na inferiority complex sana, hii inapelekeankua negative tuu, mara kuitwa wazee wa copy and pasting😆😆, mara programmer wa bongo hamna kitu, yani basi tu.

kama umewahi ku experience hali kama hii tujuze ilikuaje

Wakubwa mnajisikiaje na hali🤚🤚, ni hivi ulishawahi kufanya kazi sehemu kama programmer halafu ukakuta wasimamizi wako au pengine wadau wakawa hawajui vizuri kuhusu programming? mimi hiyo ilishawahi kunitokea yaani nilifanya kazi kwenye mazingira magumu sana, na ni rahisi sana kuonekana hujui kitu (wanapenda fancy features za kusadikika).

mfano, kuna project tulikua tunafanya halafu akawepo implementer ambae anawasiliana na users na pia na management, aisee ni balaa, mtu anafikia hatua anakwambia code ni kama kuandaa document tu!

sasa kubwa kuliko unakuta IT personel ambaye labda mpo chini yake hajui code, asee wanakua na inferiority complex sana, hii inapelekeankua negative tuu, mara kuitwa wazee wa copy and pasting😆😆, mara programmer wa bongo hamna kitu, yani basi tu.

kama umewahi ku experience hali kama hii tujuze ilikuaje
Mpaka private project ni shida tupu. Waajiri wengi hawaijui programming so wanachakukulia simple kwa sababu ni kazi ambayo unaonekana kama umekaa umerelax unacheza game kumbe ni kazi ambayo inaumiza sana kichwa. Wanakutajia project yenye vitu vingi lakini ukiwatajia kiwango cha bei wanaona kama unawaonea kwasababu hawaelewi uchungu wa kazi hizi. Wanakutajia muda mfupi wa kuimaliza project kwa kuwa hawaelewi kuwa coding inahitaji tests za kutosha mpaka kitu kiwe sawa la sivyo madhara yake yanaweza leta hasara kwenye kampuni na mwisho wa siku ukalaumiwa wewe.
 
Mpaka private project ni shida tupu. Waajiri wengi hawaijui programming so wanachakukulia simple kwa sababu ni kazi ambayo unaonekana kama umekaa umerelax unacheza game kumbe ni kazi ambayo inaumiza sana kichwa. Wanakutajia project yenye vitu vingi lakini ukiwatajia kiwango cha bei wanaona kama unawaonea kwasababu hawaelewi uchungu wa kazi hizi. Wanakutajia muda mfupi wa kuimaliza project kwa kuwa hawaelewi kuwa coding inahitaji tests za kutosha mpaka kitu kiwe sawa la sivyo madhara yake yanaweza leta hasara kwenye kampuni na mwisho wa siku ukalaumiwa wewe.
kaka umeongea ukweli mtupu, mimi nakutana sana na hizo changamoto, then at the end product ikiwa mbovu programmer unakua liable
 
kaka umeongea ukweli mtupu, mimi nakutana sana na hizo changamoto, then at the end product ikiwa mbovu programmer unakua liable
Shida sana. IT Tz bado kuitambua vizuri kama professional. Wanachukulia kwamba ni kitu simple, kwamba ukishamiliki computer tayari ni mwana IT. Kuna haja hii basic programming ifundishwe shuleni kwa vitendo na watu wafanyie mtihani kama hesabu labda tungeheshimiana.
 
Shida sana. IT Tz bado kuitambua vizuri kama professional. Wanachukulia kwamba ni kitu simple, kwamba ukishamiliki computer tayari ni mwana IT. Kuna haja hii basic programming ifundishwe shuleni kwa vitendo na watu wafanyie mtihani kama hesabu labda tungeheshimiana.
sure mkuu, naona hapa focus iwe ni kutafuta solutions za matatizo tu, ila kuajiriwa inafika hatua hata unajuta
 
Kitu nilicho kiona ni kwamba, Most clients hawana uelewa wowote kuhusu unachokifanya na it's ok kwa sababu hawana haja kujua lakini tatizo linakuja hapa,

Wapo wachache (kwa upande wangu) au waweza sema wengi kulingana na uzoefu wako ambao wanaamini (nahisi) kuwa programming ni some kind of automation

Au some kind of software ambayo wewe unaitumia kutengeneza website au app yake

Kama After Effects au Photoshop ambayo wewe unayo
Na ana amini inaweza fanya chochote anacho kitaka

Thus why wanaweza request Feature ambayo ipo nje ya budget, mda au engineering power yako kwa mda huo

Pia hawa value software kama nchi zilizo endelea zinavyo thamini

Sababu inaweza ikiwa biashara nyingi bado hazijafaidika na our inhouse softwares (angalau kwa ufahamu wangu)

Ukiacha Mobile Money, ambazo ni kama hii mitandao ya simu mikubwa ina Monopoly tayari.

Kitu kingine ni kwamba, kwa sababu hawaoni thamani kubwa kwenye hiko wanachotaka ufanye

Wengi wanakuja na budget wanazo zijua wao na wewe unajikuta unahitaji hio pesa pia anyway

Kwa sababu ya udogo wa budget unajikuta wewe ndio Designer, System architecturer, Programmer, Project Manager, Penetration tester, security analyst, na orodha inaendelea

Budget inakutaka usiwe tu IT, uwe IT department yenyewe
(Hapa obviously lazima utafanya kila uwezalo kuokoa mda)

Mi naamini most ya softwares tunazo andika hapa, na ambazo zipo kwenye production mda huu, kwa wenzetu ni just prototypes kwa ajiri ya demo tu, na codes zake za paswa kuandikwa upya au kuondolewa kabisa na sio kuwekwa kwenye production env kama tulivyofanya

Changamoto ni nyingi ila kitu cha hakika ni kuwa lazima biashara zihamie mtandaoni na siku zote utahitajika
 
Kitu nilicho kiona ni kwamba, Most clients hawana uelewa wowote kuhusu unachokifanya na it's ok kwa sababu hawana haja kujua lakini tatizo linakuja hapa,

Wapo wachache (kwa upande wangu) au waweza sema wengi kulingana na uzoefu wako ambao wanaamini (nahisi) kuwa programming ni some kind of automation

Au some kind of software ambayo wewe unaitumia kutengeneza website au app yake

Kama After Effects au Photoshop ambayo wewe unayo
Na ana amini inaweza fanya chochote anacho kitaka

Thus why wanaweza request Feature ambayo ipo nje ya budget, mda au engineering power yako kwa mda huo

Pia hawa value software kama nchi zilizo endelea zinavyo thamini

Sababu inaweza ikiwa biashara nyingi bado hazijafaidika na our inhouse softwares (angalau kwa ufahamu wangu)

Ukiacha Mobile Money, ambazo ni kama hii mitandao ya simu mikubwa ina Monopoly tayari.

Kitu kingine ni kwamba, kwa sababu hawaoni thamani kubwa kwenye hiko wanachotaka ufanye

Wengi wanakuja na budget wanazo zijua wao na wewe unajikuta unahitaji hio pesa pia anyway

Kwa sababu ya udogo wa budget unajikuta wewe ndio Designer, System architecturer, Programmer, Project Manager, Penetration tester, security analyst, na orodha inaendelea

Budget inakutaka usiwe tu IT, uwe IT department yenyewe
(Hapa obviously lazima utafanya kila uwezalo kuokoa mda)

Mi naamini most ya softwares tunazo andika hapa, na ambazo zipo kwenye production mda huu, kwa wenzetu ni just prototypes kwa ajiri ya demo tu, na codes zake za paswa kuandikwa upya au kuondolewa kabisa na sio kuwekwa kwenye production env kama tulivyofanya

Changamoto ni nyingi ila kitu cha hakika ni kuwa lazima biashara zihamie mtandaoni na siku zote utahitajika
umeongea kila kitu mkuu, sasa hivi sekta nyingi zinahamia paperless, ni swala la wakati tu nadhani wataelewa tu na software engineers kipaumbele kitakua kikubwa
 
Sifa kuu ya software yoyote duniani ni usability na ili kupata iyo sifa , software development inahitaji wataalamu mbalimbali tena wale professional wanaojua nini wanafanya, Tatizo la wabongo washa zoe kuungaunga vitu na kujiona wanajua kila kitu ndo maana akitokea mtu mwanye professional ndani ya kampuni lazima hapigwe majungu na kukudidimiza. Nakushaur always fanya kazi yako vizuri usikubali bla bla zikuharibie kazi uwezijua kesho kazi yako itaonwa na nani.

Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
 
Sifa kuu ya software yoyote duniani ni usability na ili kupata iyo sifa , software development inahitaji wataalamu mbalimbali tena wale professional wanaojua nini wanafanya, Tatizo la wabongo washa zoe kuungaunga vitu na kujiona wanajua kila kitu ndo maana akitokea mtu mwanye professional ndani ya kampuni lazima hapigwe majungu na kukudidimiza. Nakushaur always fanya kazi yako vizuri usikubali bla bla zikuharibie kazi uwezijua kesho kazi yako itaonwa na nani.

Sent from my Nokia G10 using JamiiForums mobile app
ni kweli, pamoja na yote tunajitahidi sana japo kwa ugumu maana unakuta kwenye idara wote mpaka mkuu wa idara ni weupe kuhusu hizi issue, lakini tunapambana!
 
Back
Top Bottom