Eleza changamoto unazokutananazo ukiwa kama 'Programmer' mpya unayejifunza mwenyewe

sir...
language gan we ni fundi?
Siku zote tumia external, inakua rahisi kwa maintenance, maana unakua na sehemu moja ya kufuata styles zako, lakini ukiziweka inline yaani unahangaika kufuata files moja moja.
Inahitaji kutumia akili namna gani ya kupanga styles zako kwa site ili hata ukimpokeza developer/designer mwingine hatahangaika, au hata wewe ukihitajika kufanya mabadiliko baada ya miezi sita hautapata tabu.
Na hii ipo hata kwa development, lazima ujitahidi kutenganisha codes.
 
Usiseme nipo sahihi, nataka kufahamu. Unaweza kuconclude kuwa inline ni bs idea. Usiache vitu havieleweki, labda mimi au wewe au sote tukapotosha wasomaji wengine.

Hehehe!! Nimehitimisha uko sahihi kwa kuikatalia kauli yangu ya kutumia external muda wote, kuna baadhi ya mazingira ambayo hapana ulazima.
Binafsi nimezoea kutumia external maana miradi yangu mikubwa huwa sina muda wa kufuata views moja moja.
 
So far, nimeamua nitumie inline css kwa sababu ki-web ninachotengeza kiko simple sana ,hivyo sidhani kama hizi stylings zitanichanganya.

Bado naendelea kujifunza.
 
So far, nimeamua nitumie inline css kwa sababu ki-web ninachotengeza kiko simple sana ,hivyo sidhani kama hizi stylings zitanichanganya.

Bado naendelea kujifunza.

Kosa lilikua langu, sikuhoji kama uko kwenye level ya kujifunza, nilijua upo kwenye mradi wa mteja kabisa.
 
Msaada kidogo wakuu,
Kati ya inline css,internal css na external css ipi ni bora zaidi katika styling ya website na kwanini.
Ebu chukulia mfano, uko kwenye kampuni flani, yenye static website ambayo ndani yake Kuna page 20 za HTML na zilitumia inline mbali na inline zina weza tumia
internal css hapo Ni kwa page moja ambapo ukizidisha x 20 unapata internal css 20, na Kama ni inline chukulia Kuna line za HTML 100 Kila page maana yake nikwamba page moja ya html ina inline css 20 * 100 = 2000.
Sasa kumetokea tatizo kwenye line moja na umetumia internal css utatakiwa uende Kila page yenye internal css ubadili.
Au Kama umetumia inline utatakiwa utafute Kila line kwenye page zote 20 ubadili kitu like kile.

Uoni umetumia muda mrefu, kufanya kitu kidogo ambacho ungekifanya kwa external css usinge hangaika hivyo usigeingia kwenye page zote bali ndani ya file la css moja tu.

Mara nyingi unapotaka website iwe na speed uko uliko host basi external css inachangia mno mbali na server husika.

Unapotumia external css humpi shida atakaye maintain website baadae hata kama ni wewe mwenyewe, kwani css file
inakuwa cached kwenye browser na unapo inspect part unayotaka badili unaweza test hapo hapo kabla aujazama ndani tofauti na inline itakayotaka uende line by line.

Kifupi Kuna kuforce element yenye inline style au yenye internal style kukubali style nyingine ukiwa unatumia external style lakini sio nzuri kwa line nyingi Kama hizo na pia kwenye swala la CEO website yako iliyotumia inline style haiwezi kufanya kazi ipasavyo kwani search engine zinaitaji website nyepesi pia hii ni kwa sababu website iliyotumia inline mbali na external style inaload multiple line za css kila unapo refresh page.


Kwahiyo chagua moja kusuka au kunyoa.
 
External css ndio mpango mzima ukitaka kuongeza ufanisi. Wanaozungumzia speed sijui waliipimaje?
Ebu chukulia mfano, uko kwenye kampuni flani, yenye static website ambayo ndani yake Kuna page 20 za HTML na zilitumia inline mbali na inline zina weza tumia
internal css hapo Ni kwa page moja ambapo ukizidisha x 20 unapata internal css 20, na Kama ni inline chukulia Kuna line za HTML 100 Kila page maana yake nikwamba page moja ya html ina inline css 20 * 100 = 2000.
Sasa kumetokea tatizo kwenye line moja na umetumia internal css utatakiwa uende Kila page yenye internal css ubadili.
Au Kama umetumia inline utatakiwa utafute Kila line kwenye page zote 20 ubadili kitu like kile.

Uoni umetumia muda mrefu, kufanya kitu kidogo ambacho ungekifanya kwa external css usinge hangaika hivyo usigeingia kwenye page zote bali ndani ya file la css moja tu.

Mara nyingi unapotaka website iwe na speed uko uliko host basi external css inachangia mno mbali na server husika.

Unapotumia external css humpi shida atakaye maintain website baadae hata kama ni wewe mwenyewe, kwani css file
inakuwa cached kwenye browser na unapo inspect part unayotaka badili unaweza test hapo hapo kabla aujazama ndani tofauti na inline itakayotaka uende line by line.

Kifupi Kuna kuforce element yenye inline style au yenye internal style kukubali style nyingine ukiwa unatumia external style lakini sio nzuri kwa line nyingi Kama hizo na pia kwenye swala la CEO website yako iliyotumia inline style haiwezi kufanya kazi ipasavyo kwani search engine zinaitaji website nyepesi pia hii ni kwa sababu website iliyotumia inline mbali na external style inaload multiple line za css kila unapo refresh page.


Kwahiyo chagua moja kusuka au kunyoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msaada kidogo wakuu,
Kati ya inline css,internal css na external css ipi ni bora zaidi katika styling ya website na kwanini.
Wanashauri code za css zisichanganyike na html, css zikikaa peke yake hata run-time inakuwa faster. external ndio bora.
 
python vp?,
Natafuta walionizidi uwezo kwenye iyo

Japo siitumii sana Python sana, ila ni lugha nzuri sana maana ni multi-purpose, unaweza ukaitumia katika maeneo mengi sana bila kuhangaika kutafuta lugha nyingine ya kuunga unga.
Huwa najutia kwanini sikuanza kujifunza programming kwa kutumia Python kipindi ambacho nilikua na muda na fursa ya kutosha, leo hii nimezongwa na miradi yaani muda wa kujifunza unakua adimu inabidi kujibanza kiaina.
Kwa sasa Python naitumia kwenye ERP ya Odoo, ila ni lugha nzuri sana ukikaa ujifunze bila kuharakisha, nenda nayo ukiwa na nia ya kuifahamu kiundani, jipatie mazoezi ya kutosha.
 
Hivi faida za programming language ni nini haswa mkuu
Japo siitumii sana Python sana, ila ni lugha nzuri sana maana ni multi-purpose, unaweza ukaitumia katika maeneo mengi sana bila kuhangaika kutafuta lugha nyingine ya kuunga unga.
Huwa najutia kwanini sikuanza kujifunza programming kwa kutumia Python kipindi ambacho nilikua na muda na fursa ya kutosha, leo hii nimezongwa na miradi yaani muda wa kujifunza unakua adimu inabidi kujibanza kiaina.
Kwa sasa Python naitumia kwenye ERP ya Odoo, ila ni lugha nzuri sana ukikaa ujifunze bila kuharakisha, nenda nayo ukiwa na nia ya kuifahamu kiundani, jipatie mazoezi ya kutosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binafsi mimi nasumbuliwa kwenye suala zima la Ku comment na uncomment kwenye HTML (najua it sounds funny kwa wajuzi)

Nawasilisha.
comment nikama unataka content au text isionekane kwenye browser ndio unaitumia. syntax yake (<!-- Comments are not displayed in the browser-->)
eg:comment
<!-- <h2>hapa ndio na comment hii text haitaonekana kwenye browser</h2> -->

Uncomment ukitata content ionekane kwenye browser unaondoa(<!-- -->)
eg:Uncomment
<h2>hapa ndio na comment hii text itaonekana kwenye browser</h2>
 
Hivi faida za programming language ni nini haswa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hili swali sijajua ulilenga nini ila nalijibu kama lilivyo, faida za programming language ni kwamba inakuwezesha kuagiza computer kufanya mambo mengi, ikiwemo kuingia humu JF na kuandika hoja zako, vyote hivi vimewezeshwa na programming language ambayo ilitumika na mwana taaluma anayeitwa programmer.
 
Back
Top Bottom