Patiee
JF-Expert Member
- Sep 20, 2018
- 474
- 718
Binafsi najifunza programming just for fun and enjoyment ya kupata maarifa mapya.
Nimeanza na HTML pamoja na CSS kadri siku zinavyoenda tutapeana updates ya jinsi darasa linavyoenda.
Site nizitumiazo Kwa sasa ni
Pamoja na Youtube channels kama;
Nakaribisha wanafunzi wote kuleta changamoto zao ili wabobezi watoe ufafanuzi. Binafsi mimi nasumbuliwa kwenye suala zima la Ku comment na uncomment kwenye HTML (najua it sounds funny kwa wajuzi)
Nawasilisha.
UPDATE - APRIL 2024
I'M A PROFESSIONAL SOFTWARE DEVELOPER
Ni miaka 4 imepita sasa. Sikumbuki mara ya mwisho kusoma huu uzi ilikuwa ni lini lakini leo nimeupitia na nimejicheka sana.
Hapo juu niliandika kwamba nilikuwa nasumbuliwa na ku comment code😂😂. Hivi mtu unasumbuliwaje na kufanya kitu kama hicho 😂.( Kwa usiyefahamu ku add comments kwenye code , fikiria jambo lolote jepesi zaidi kwenye fani yako)
Kwa sasa nafanya kazi kwenye Moja ya kampuni za takwimu hapa nchini kama Software Developer.
Sikufichi, Kuna muda unaweza jiona kama you're not good enough for this, lakini that is just a day in the life of a software developer.
Katika miaka 4 ilopita, nimejifunza mengi na naendelea kujifunza kila siku.
Ewe unayeanza, usikate tamaa Wala usiishie njiani ... Kaza go damnit
Adios !
Nimeanza na HTML pamoja na CSS kadri siku zinavyoenda tutapeana updates ya jinsi darasa linavyoenda.
Site nizitumiazo Kwa sasa ni
- Freecode camp
- Solo learn.
Pamoja na Youtube channels kama;
- The net ninja.
- Brad traversy
Nakaribisha wanafunzi wote kuleta changamoto zao ili wabobezi watoe ufafanuzi. Binafsi mimi nasumbuliwa kwenye suala zima la Ku comment na uncomment kwenye HTML (najua it sounds funny kwa wajuzi)
Nawasilisha.
UPDATE - APRIL 2024
I'M A PROFESSIONAL SOFTWARE DEVELOPER
Ni miaka 4 imepita sasa. Sikumbuki mara ya mwisho kusoma huu uzi ilikuwa ni lini lakini leo nimeupitia na nimejicheka sana.
Hapo juu niliandika kwamba nilikuwa nasumbuliwa na ku comment code😂😂. Hivi mtu unasumbuliwaje na kufanya kitu kama hicho 😂.( Kwa usiyefahamu ku add comments kwenye code , fikiria jambo lolote jepesi zaidi kwenye fani yako)
Kwa sasa nafanya kazi kwenye Moja ya kampuni za takwimu hapa nchini kama Software Developer.
Sikufichi, Kuna muda unaweza jiona kama you're not good enough for this, lakini that is just a day in the life of a software developer.
Katika miaka 4 ilopita, nimejifunza mengi na naendelea kujifunza kila siku.
Ewe unayeanza, usikate tamaa Wala usiishie njiani ... Kaza go damnit
Adios !