Dr. Chris Mauki vs Kataa Ndoa: Je, ndoa ni suala la Kisaikolojia? Ni lazima Uoe? Hayo na mengine mengi yamejibiwa hapa, sogea karibu kushiriki mjadala

Kuna mwanaume tena proper African man anaweza "chores za kike" kwa muda mrefu bila shida? Mkawa na karatiba kabisa?
Kwani kuna division of labour kwamba chores ni za kike tu!? Is it a must kwamba chores za kike zifanywe na wanawake tu?! Kitu cha msingi ni mtu kucheza part yake pasipo kujisahau! Kuna Wanaume wengi wa kiafrika wanafanya chores za kike bila tatizo.
 
Kwani kuna division of labour kwamba chores ni za kike tu!? Is it a must kwamba chores za kike zifanywe na wanawake tu?! Kitu cha msingi ni mtu kucheza part yake pasipo kujisahau! Kuna Wanaume wengi wa kiafrika wanafanya chores za kike bila tatizo.
Malezi ya watoto na home management ni chore ya kike kuliko ya kiume, nature imekua hivyo miaka nenda miaka rudi.

Ndio maana mwanaume akilea watoto at the lowest level mf kulisha, kuogesha, kucheza nao and the likes anasifiwa sana sababu sio kitu ambacho kimezoeleka

Pia mwanaume akipika, akifanya usafi ndani and the likes wapo watakaobeza na wapo watakaoona ni jambo jema sababu kiafrica hayo yamezoeleka ni majukumu ya mama either kwa kufanya mwenyewe au kusaidiana na dada wa kazi
 
Back
Top Bottom