Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 11,671
- 21,962
Umetisha Sana Brother ๐๐ฟ
Umenifanya nimuwashe jbl mda huu nile ngoma aiseeVinci Dayot Upamecano
Hivi unajua kuwa, kuna watu hawajui kama Hatia VI tayari inapatikana kwenye platform(s) zote kwasasa.
Mbali na hilo, pia kuna watu hadi leo hii bado hawajaiskiliza ngoma nzuri sana za Dizasta Vina kama;
-Achia jala FT Kaa la Moto
-Wachezaji wa timu
-A father figure
-Money etc...
Lakini sawa, kuna comment moja ya Dr. Nimeiona hapo anasema "Dizasta mwenyewe anajua kuwa nyimbo zake ni kwaajili ya watu flani (ametumia neno Brilliant)". Kama bado huja'subscribe nenda sasa.
Umetisha sana ๐๐๐๐๐
Huyu mwamba sio poa..Umenifanya nimuwashe jbl mda huu nile ngoma aisee
Kama hutojal tutashea playlist manake umenirudisha kwa mood yangu hapa nimeamua kuwaamsha hawa wamarekani wanikosheHuyu mwamba sio poa..
Yaaani acha mkuu..
Black maradona
Akiwa na mwanae ringle beats
Kama hutojal tutashea playlist manake umenirudisha kwa mood yangu hapa nimeamua kuwaamsha hawa wamarekani wanikoshe
Naongezea na
Unamuelewa sana huyu jamaa...Naongezea na
Hatia III
Nyumba ndogo
Wachezaji hatimu
Maabara
Achia jala
Siku Nikifa
Kifo
Tatuu ya asili
Wimbo usiubora
Kibabu
Hii maabara weeee ya motoNaongezea na
Hatia III
Nyumba ndogo
Wachezaji hatimu
Maabara
Achia jala
Siku Nikifa
Kifo
Tatuu ya asili
Wimbo usiubora
Kibabu
Siku mbaya ...๐๐๐๐๐Umetisha bot wa diza ananisaidia kuzimega apa kweli siku mbaya
Ni kweli kuna siku alinbusu mbele ya mama maza akajua ๐๐๐View attachment 2970590
Siku Mbaya....
Sista sista kadataNi kweli kuna siku alinbusu mbele ya mama maza akajua ๐๐๐
Disaster Vina ni mkali wa mashairi,Hii maabara weeee ya moto
Ni kweli kuna siku alinbusu mbele ya mama maza akajua ๐๐๐
Umepitiliza nyumbani, hauna kituo..Disaster Vina ni mkali wa mashairi,
Maabara Iko poa sana
Ila
hatia III jamaa aligusa life really la mwafrika
Mother am sorry kwani mi ndo chanzoSista sista kadata