Jr Xavi Hernandez
Senior Member
- Feb 25, 2022
- 182
- 259
Dizasta vina hatia 1V.(hatia ya nne)
Hii kwangu ndio ngoma bora zaidi kutoka kwa Dizasta, Sijaona ngoma ya Dizasta inayoweza kukaa juu ya hiyo. Sio Mwanajua,Shahidi,Kikaoni wala Kibabu....
Mnasemaje wadau?
#forgive me
Hii kwangu ndio ngoma bora zaidi kutoka kwa Dizasta, Sijaona ngoma ya Dizasta inayoweza kukaa juu ya hiyo. Sio Mwanajua,Shahidi,Kikaoni wala Kibabu....
Mnasemaje wadau?
#forgive me