me1
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 367
- 421
Ulizia na bei ya Taa ya mbele ya Subaru Forester SG ya 2006 au 2007 ulete mrejesho.Niliwahi kuuliza taa ya mbele ya Discovery 4 nikaambiwa TSH 750,000
Kama humiliki hizi gari acha kutisha wengine. Mim namiliki RR na nliipata ikiwa na miles nyingi kidogo. Yes kuna changamoto ambazo pia nlikuwa nikizipata kwenye Subaru na VW as well.
Comfortability haijawahi kuwa cheap.