Hatari na nusu. Wakati fulan nilitaka kujichanganya nikastuka. Nimekaa Kwa Tiguan mwaka wa pili sasaMagari used ya uingereza yanaliwa Sana na kutu kuanzia engine Hadi body yake
Kweli Mkuu. Hata UK madalali wahuni. Niliwahi kwenda Birmingham nikazunguka Kwa baadhi ya dealers miyeyusho tuNimesema humu repeatedly LR is the most unreliable brand in the motor world. Hii ni fact worldwide ila wabongo wanajidai vichwa ngumu. Google is free, go argue with it.
Kama hizi Discovery ndio korofi sanaNimesema humu repeatedly LR is the most unreliable brand in the motor world. Hii ni fact worldwide ila wabongo wanajidai vichwa ngumu. Google is free, go argue with it.
Mkuu ukiongea kuhusu Tiguan Moyo wangu unalipuka Sana maana hii gari naipenda mno aisee nahisi hiyo siku nikinunua hii gari nitalala humohumo ndani ya gariHatari na nusu. Wakati fulan nilitaka kujichanganya nikastuka. Nimekaa Kwa Tiguan mwaka wa pili sasa
Niliwahi sikia sababu kubwa ya hii kutu ni chumvi inayomwagwa huko wakati wa baridi ili kuizuia barafu isigande barabarani, jee hili lina ukweli?Magari used ya uingereza yanaliwa Sana na kutu kuanzia engine Hadi body yake
😂😂😂Ukipata hela unaweza hama nduguuKamwe sihami kwa Mjapan.
PointNiliwahi sikia sababu kubwa ya hii kutu ni chumvi inayomwagwa huko wakati wa baridi ili kuizuia barafu isigande barabarani, jee hili lina ukweli?
Very true ukiwa huna hela mawazo yanakuwa yakimaskini sana😂😂😂Ukipata hela unaweza hama nduguu
Ni kweli mkuu lakini kuanzia matolea mapya 2020 na kuendelea nadhani walibadili now wanakupa lifetime warrant kwa ajili ya kutu. Dawa ya hizi gari usikae nayo zaidi ya miaka 6 au kupitisha ile warrant yao ya 80,000km. Uzuri wa kwa Biden unatrade-in unavyotaka. Kama mdau mmoja alivyosema hapo juu matengenezo ndio mtihani na lazima uende kwa dealer wao, kubadili oil tu zaidi ya dollar 300 na lazima uweke CastrolNiliwahi sikia sababu kubwa ya hii kutu ni chumvi inayomwagwa huko wakati wa baridi ili kuizuia barafu isigande barabarani, jee hili lina ukweli?
Huyo bado yuko zama za Radio tanzania.Dunia ya sasa habari bila picha video clip sw n takataka TU
HahahHuyo bado yuko zama za Radio tanzania.
Ni sahihi kabisaa pia kutokana na mazingira Yao ya kuzungukwa na bahari inasababisha mvuke WA chumvi ya baharini kusambaa kwenye magari na vitu vingine.Niliwahi sikia sababu kubwa ya hii kutu ni chumvi inayomwagwa huko wakati wa baridi ili kuizuia barafu isigande barabarani, jee hili lina ukweli?