Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

Ni sahihi kabisaa pia kutokana na mazingira Yao ya kuzungukwa na bahari inasababisha mvuke WA chumvi ya baharini kusambaa kwenye magari na vitu vingine.
Hata hiyo barafu inakuwa na chumvi chumvi ndiyo maana inakuwa rahisi kupenya kwenye engine na kisababaisha uchakavu mapema
Kwani Japan imezungukwa na Nini?
 
Ni kweli mkuu lakini kuanzia matolea mapya 2020 na kuendelea nadhani walibadili now wanakupa lifetime warrant kwa ajili ya kutu. Dawa ya hizi gari usikae nayo zaidi ya miaka 6 au kupitisha ile warrant yao ya 80,000km. Uzuri wa kwa Biden unatrade-in unavyotaka. Kama mdau mmoja alivyosema hapo juu matengenezo ndio mtihani na lazima uende kwa dealer wao, kubadili oil tu zaidi ya dollar 300:D na lazima uweke Castrol
Kiukweli kabisa kuna brand ya hizi gari ni muhimu mno kwenda kufanya schedule maintenance au repairs kwa dealer wake kwasababu mitaani changamoto ni kubwa, expert walio qualify ni nadra.
 
Hii ina mantiki, maana kipindi cha baridi, wale wasafisha barabara huwa wanamwaga mchanganyiko wa chumvi na mchanga kiasi baada ya barafu kutolewa barabarani...

Sent from my SM-S908E using JamiiForums mobile app
Gari ngumu zipo South Africa sema wale jamaa unakutana na Prado 4000cc au Subaru forester 2500cc.

NB: kama ni mtu WA kumwaga Moto gari za SA zitakufaa
 
Umaskini nimbaya sana nduguzangu,hakuna gari baya,kumbukeni expertie wamethibitisha liuzwe internations,so ubahili wako usisingizie wengine,nina br ana disco 4 ,mwaka wa nane sasa hajawahi gusa jiko zaidi ya svs na kwenye tairi,pads baasi,sasa utasemaje ni gari bovu??? Tutafute pesa.chuma anayo tumia malkia wa UK unasemaje ni kimeo?
 
Umaskini nimbaya sana nduguzangu,hakuna gari baya,kumbukeni expertie wamethibitisha liuzwe internations,so ubahili wako usisingizie wengine,nina br ana disco 4 ,mwaka wa nane sasa hajawahi gusa jiko zaidi ya svs na kwenye tairi,pads baasi,sasa utasemaje ni gari bovu??? Tutafute pesa.chuma anayo tumia malkia wa UK unasemaje ni kimeo?

Inategemea alinunua ikiwa katika hali gani. Usije ukajichanganya ukanunua used yoyote kwa fashion na huna hela, utatelekeza gari garage kama wanavyosema wadau hapa. Ila yote kwa yote kumaintain hizi gari ni gharama mno, si ajabu zinatelekezwa
 
Back
Top Bottom