Maana ya LR pleaseNimesema humu repeatedly LR is the most unreliable brand in the motor world. Hii ni fact worldwide ila wabongo wanajidai vichwa ngumu. Google is free, go argue with it.
Maana ya LR pleaseNimesema humu repeatedly LR is the most unreliable brand in the motor world. Hii ni fact worldwide ila wabongo wanajidai vichwa ngumu. Google is free, go argue with it.
Land Rover family.Maana ya LR please
Hizi ni porojo tu. Gari ya Mwingereza huwa na garantee ya miaka 12 bila kutu. Ukinunua gari miaka 20 (ambazo ndizo wengi wetu tunanunua) unategemea nini?.Magari used ya uingereza yanaliwa Sana na kutu kuanzia engine Hadi body yake
Watu mna maneno!Ni sahihi kabisaa pia kutokana na mazingira Yao ya kuzungukwa na bahari inasababisha mvuke WA chumvi ya baharini kusambaa kwenye magari na vitu vingine.
Hata hiyo barafu inakuwa na chumvi chumvi ndiyo maana inakuwa rahisi kupenya kwenye engine na kisababaisha uchakavu mapema
Hizi ni porojo tu. Gari ya Mwingereza huwa na garantee ya miaka 12 bila kutu. Ukinunua gari miaka 20 (ambazo ndizo wengi wetu tunanunua) unategemea nini?.
Discovery 4 zilizopo nyingi Tanzania ni zile za 2009 - 2015 alafu piga hesabu Zina miaka mingapi Toka zimetengenezwa? Hiyo guarantee inakuwa IPO chini ya mmiliki wa Kwanza Kwa hiyo miaka 12 na baada hapo ndipo anauza.Hizi ni porojo tu. Gari ya Mwingereza huwa na garantee ya miaka 12 bila kutu. Ukinunua gari miaka 20 (ambazo ndizo wengi wetu tunanunua) unategemea nini?.
Itabidi tununue za South Africa tu. Na uzuri wa hizi za South wanasema ni nyepesi hata kwenye matumizi ya mafuta ni rafiki haziumizi kama za UK.Discovery 4 zilizopo nyingi Tanzania ni zile za 2009 - 2015 alafu piga hesabu Zina miaka mingapi Toka zimetengenezwa? Hiyo guarantee inakuwa IPO chini ya mmiliki wa Kwanza Kwa hiyo miaka 12 na baada hapo ndipo anauza.
Pia jiulize kwanini discovery zinazotokea Australia hazina KUTU
Tunaomba picha za magari hayo yakiwa gereji banaView attachment 2843066View attachment 2843067
Hizi gari watu wamezishobokea kindezi.
Lilikua ni suala la muda tu kuanza kutelekezwa kwenye gereji zetu uswazi.
Karibuni Kwa Mjeruman chuma -chumaMkuu ukiongea kuhusu Tiguan Moyo wangu unalipuka Sana maana hii gari naipenda mno aisee nahisi hiyo siku nikinunua hii gari nitalala humohumo ndani ya gari
Inafananaje na inazalishwa wapiMkuu ukiongea kuhusu Tiguan Moyo wangu unalipuka Sana maana hii gari naipenda mno aisee nahisi hiyo siku nikinunua hii gari nitalala humohumo ndani ya gari
Tiguan ni VW toka Ujeruman Ila mm nimenunua iliyotengenezwa (under licence) South Africa.Inafananaje na inazalishwa wapi
Usitufokee...View attachment 2843066View attachment 2843067
Hizi gari watu wamezishobokea kindezi.
Lilikua ni suala la muda tu kuanza kutelekezwa kwenye gereji zetu uswazi.
EehUsitufokee...
Cfao wao wanaleta kutokea nchi gani?.Tiguan ni VW toka Ujeruman Ila mm nimenunua iliyotengenezwa (under licence) South Africa.
Nimesema humu repeatedly LR is the most unreliable brand in the motor world. Hii ni fact worldwide ila wabongo wanajidai vichwa ngumu. Google is free, go argue with it.
Inategemea na edition ipi. Si LR zote.
Hizi luxury brands ndio ziko prone
GermanCfao wao wanaleta kutokea nchi gani?.
Hii ina mantiki, maana kipindi cha baridi, wale wasafisha barabara huwa wanamwaga mchanganyiko wa chumvi na mchanga kiasi baada ya barafu kutolewa barabarani...Niliwahi sikia sababu kubwa ya hii kutu ni chumvi inayomwagwa huko wakati wa baridi ili kuizuia barafu isigande barabarani, jee hili lina ukweli?