range rover

The Land Rover Range Rover (generally known simply as the Range Rover) is a 4x4 motor car produced by Land Rover, a marque and sub-brand of Jaguar Land Rover. The Range Rover line was launched in 1970 by British Leyland and is now in its fifth generation.
Additional models have been launched under the Range Rover name, including the Range Rover Sport, Range Rover Evoque, and Range Rover Velar.

View More On Wikipedia.org
  1. Mjanja M1

    Harmonize aandika jina la Mama yake range rover anayoimiliki

    Tunaweza kusema kuwa Harmonize ni moja kati ya wasanii wanaomuenzi mchezaji machachari wa PSG Achraf Hakimi kwenye harakati za kukwepa kuibiwa mali na Wanawake wa mjini. Range Rover ya Msanii Harmonize kwenye Registration number jina linasoma Habiba Chivalavala, hilo jina sio la mtu mwengine...
  2. A

    Discovery, Range zaanza kutelekezwa gereji

    Hizi gari watu wamezishobokea kindezi. Lilikua ni suala la muda tu kuanza kutelekezwa kwenye gereji zetu uswazi.
  3. M

    Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wanakwisha Kwa ajali - video

    Maafisa Waandamizi wa Usafirishaji wamepata ajali Kwa kugonga gari Aina ya Range Rover Kondoa, tuchukue tahadhari kuwalinda maafisa hawa muhimu Kwa Uchumi wetu.
  4. JituMirabaMinne

    Specialist wa Range Rover anawezaje kuzungmza kauli kama hii?

    Mwaka 2021 niliwahi kuleta story ya Range Rover fulani ya mzungu mmoja kule Zanzibar. Nadhani baadhi ya member watakuwa wanakumbuka. Ila short story ya hiyo gari mpaka inawaka, Unaweza kuangalia hii video. 👇🏾 Sasa ilipokuja kuwaka kukawa na challenge moja. Oxygen sensor zote 4 zilikuwa...
  5. BARD AI

    Shilole: 'V8 ndio gari ya Heshima sio Range Rover gari ya Kitoto hiyo'

    Staa wa Muziki wa Bongo Fleva na Mjasiriamali Shilole ameiweka wazi Gari ya ndoto yake anayotamani kumiliki. Wakati akizungumza na waandishi wa habari @officialshilole ameitaja “v8 new model” ndio gari ya heshima kwake na akiongeza kwa sema Gari aina ya Range Rover ni za kitoto. DOZEN SELECTION
  6. BARD AI

    Diamond kamchapa kijembe Harmonize kuhusu kumiliki Range Rover?

    Baada ya Harmonize kutoka hadharani na kutamba kwamba, hataongea na Msanii yeyote wa Afrika Mashariki ambaye hamiliki gari aina ya Range Rover! Leo Diamond Platnumz ni kama amerusha kijembe kwa Kondeboy kupitia insta story yake. Chibu ameweka video ya Zuchu ambaye amejinunulia gari aina ya...
  7. Kitomai

    Car4Sale Nauza magari aina mbalimbali

    1998 model, 1500cc, Petrol, First registered in Tz 09/03/07with reg T...AQV. The car in condition. Price Tshs 4.5mil Contact 0784225000.
  8. Hold on

    Range Rover liheshimiwe

    Guys poleni na majukumu Range ni gari ambayo haina mpinzani ni gari zuri sana na la heshima natamani sana kumiliki kama inatokea mtu ananiambia nichague gari basi nitachagua range 🤗🤗🤗 my dream car
  9. BARD AI

    Mawakili wa Makonda na Le Mutuz waomba kumtafuta aliyedai kutapeliwa Range Rover

    Suala la Uraia wa Mfanyabiashara Patrick Kamwelwe limeibuliwa Mahakamani kwenye kesi ya Utapeli inayowahusu aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na William Malecela (Le Mutuz). Mawakili wa Makonda na Le Mutuz wamedai kuwa wameshindwa kumpata Kamwelwe anayetaka kulipwa Tsh...
  10. BARD AI

    Kesi ya Makonda, Le Mutuz kupora Range Rover yapigwa kalenda

    Kesi ya tuhuma za uporaji wa gari aina ya Range Rover, inayomkabili aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paulo Makonda na mmiliki wa blogu ya Lemutuz, William Malecela imepangwa kutajwa Desemba 8, 2022. Ni baada ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate kuwa kwenye majukumu mengine ya kikazi...
  11. Erythrocyte

    Aliyeporwa "Range" na Makonda alipuka, atangaza kwenda Mahakamani

    Hii ndiyo Taarifa iliyoripotiwa na Gazeti la Raia Mwema kwa siku ya leo, Agosti 31, 2022 kwamba yuko Mtanzania mwenzetu ambaye amemwangukia Rais Samia Suluhu Hassan, ili atie mkono wake kutokana na dhuluma aliyofanyiwa na Makonda aliyekuwa RC wa Dar es Salaam ya kuporwa gari lake la kisasa aina...
Back
Top Bottom