greater than
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 1,245
- 2,120
- Thread starter
- #21
Bahati nzuri au Mbaya nchi yetu haina sera ya kuuza visiwa ila inakodisha...
Ila kwa visiwa vyote 8 vya mkoa wa Dar,hayo ni maeneo tengevu ya hifadhi ya bahari.Hairuhusiwi kuweka makazi na hata watu kulala.