Chemsha bongo kwa wapenzi wa Fizikia (Physics)

Mokaze

JF-Expert Member
Aug 3, 2018
14,375
14,880
Wakuu wapenzi wa Physics ni matumaini yangu hamjambo.

Niende moja kwa moja kwenye swali:-

Hivi ikitokea mtu akatoboa tundu katika ya dunia, tundu hilo litobolewe hapo ulipo na lipitie katikati ya dunia (the core) na litokeze upande wa pili wa dunia, tundu hilo liwe kubwa la kuweza kupenya kitu kama jiwe, chuma nk, chenye uzito wa kama kg 150, je kitu hicho kikitumbukizwa kwenye hilo shimo itakuwa vipi??!!

Nahitaji maelezo ya kisayansi (Physics) kuelezea kitakachotokea kwenye hicho kitu.

Pse welcome.
 
Ukiona hadi leo wazungu wanaoenda hadi anga za mbali na kugundua almost kila kitu lakini hawajalifanyia kazi wazo lako, basi tu kuna kitu kimepungua huko ghorofani kwako, nacho si kingine, lack of critical thoughts which can be productive and useful to the world 🌎 citizens
 
Ukiona hadi leo wazungu wanaoenda hadi anga za mbali na kugundua almost kila kitu lakini hawajalifanyia kazi wazo lako, basi tu kuna kitu kimepungua huko ghorofani kwako, nacho si kingine, lack of critical thoughts which can be productive and useful to the world 🌎 citizens
Mimi nimejaribu ku theorise tu, mbona Warussi walijaribu kuchimba shimo refu sana kuliko watu wote duniani!!, waliacha baada ya funds nk, kuwaishia.

Kama ingewezekana kutoboa hii dunia katikati na kitu kikadondoshwa kwenye hilo tobo what will happen to the object???.

Kama hujui hizo ndiyo kazi ya Theoretical physicists siku zote.
 
Ukitupa relative nahuku uliko G itakuwa +ve ikivuka Core itakuwa -ve tufe lako litasogea mpaka -ve potential energy itakapo kuwa sawa na kinetic energy....

Haya maswali uliza mchana kwa muda huu tupo bar tuta rahisisha mambo kwaku assume tufe halitakuwa linazunguka etc...
Hili jambo likihusisha rigid motion tinapata hypersonic bomb la kumaliza vita ya Ukraine!
 
Misijui mkuu, kwanza skuizi sina akili ya kuwaza mambo magumu. Nimebakiza akili za kutafutia pesa na akili inayo salia ni kulewa tu....
 
Hata tuseme kwa mfano tukifanikiwa kuchimba hilo shimo...si joto la core litayeyusha hilo tufe mzee!
Tufanye imewezekana kutoboa na hakuna joto, ni nini kitatokea kwenye hilo jiwe pindi likidondoshwa kupitia hilo shimo?
 
Tufanye imewezekana kutoboa na hakuna joto, ni nini kitatokea kwenye hilo jiwe pindi likidondoshwa kupitia hilo shimo ???
Haiwezekani.

Na ni ngumu kuassume chochote.

Lakini mfano tukisema ulichowaza kitokee maanake jiwe litaishia kati.

Force of gravity inapull towards the center where it is Maximum.
 
Angalau kidogo umejaribu, nimefurahi.🤣
Mkuu mi mmoja wa vilaza wa physics ambayo niliipenda Ila yenyewe haikunipenda nikaamua nibobee kwenye uchumi ambao ulinipenda mi sikuupenda.... yote alisababisha Mchwampaka, nilitaka kumshushia neno zito Ila kwa kuwa amendei niseme tu RIP motherfucker....
 
Mkuu itakuwa hivi.Hicho kitu kitatumbukia hadi kati kati ya Dunia na kupitiliza lakini hakitatokea nje ya Dunia bali kitavutwa tena nyuma na kupitiliza tena katikati ya Dunia kwa kilomita kadhaa na kuvutwa tena nyuma na kila kinapovutwa K.e (kinetic energy ) na P.e (Potential energy) vinapungua hadi kufikia Zero Joules.Ikifikia hatua hii hicho kitu kitaacha kutembea na kitabakia katikati ya Dunia.Assumption ni kuwa hicho kitu hakitayayushwa na joto la Dunia.
 
Haiwezekani......
Na ni ngumu kuassume chochote.
Lakini mfano tukisema ulichowaza kitokee maanake jiwe litaishia kati.
Force of gravity inapull towards the center where it is Maximum.
Katika physics (theoretical) assumptions huwezi kuepuka.

Nilichotaka ni hicho kwamba kama "ikiwezekana" na umejibu kwamba jiwe litaishia kati.---mimi sikubaliani na hilo jibu.

Tusubiri majibu ya watu wengine.
 
Tusubiri wana Science wa Ulaya nisimsikie mtu anajiita mwana sayansi hapa bongo akijibu hili swali, hatuna wanasayansi sisi, waliopo ni wa kufuga panya wanaogundua mabomu ya kizamani ambayo nchi nyingi duniani zinayateketeza kwakuwa yamepitwa na wakati ni sawa na kusema yamegeuka rugu toka bunduki.
 
Mkuu itakuwa hivi.Hicho kitu kitatumbukia hadi kati kati ya Dunia na kupitiliza lakini hakitatokea nje ya Dunia bali kitavutwa tena nyuma na kupitiliza tena katikati...
✔✔✔✔🙏🏻🙏🏻💯%
 
Unachokiuliza practically hakiwezekani. Ili kujibu swali lako inabidi ueleze unakusudia kugundua nini ili ufanye assumptions kueliminate baadhi ya factors.

Kuna vitu hivi
i, Geothermal gradient
ii, Gravitation field
iii, States of matter ( solid rocky crust, liquid mantle, and solid irony-Nickel core.

- Kati ya hivyo vitu hapo juu wewe unataka ugundue nini?

- Huwezi kutoboa tundu kwenye kimiminika (mantle)

- Huwezi pitisha chuma au jiwe kwenye joto kali, melting point ya chuma ni around 1500 C hivyo chuma chako kitayeyukia upper mantle tu.

- At the center of the earth gravitation field ni 0 hivyo chuma hakiwezi tokea upande wa pili wa shimo
 
Mkuu itakuwa hivi.Hicho kitu kitatumbukia hadi kati kati ya Dunia na kupitiliza lakini hakitatokea nje ya Dunia bali kitavutwa tena nyuma na kupitiliza tena katikati ya Dunia kwa kilomita kadhaa na kuvutwa tena nyuma na kila kinapovutwa K.e (kinetic energy ) na P.e (Potential energy) vinapungua hadi kufikia Zero Joules.Ikifikia hatua hii hicho kitu kitaacha kutembea na kitabakia katikati ya Dunia.Assumption ni kuwa hicho kitu hakitayayushwa na joto la Dunia.


We simply call the phenomenon SHM---- simple harmonic motion.

That's the body is going to excute SHM before coming to rest at the core after its energies become exhaust.

Kudos.
 
Wakuu wapenzi wa Physics ni matumaini yangu hamjambo.

Niende moja kwa moja kwenye swali...
Hakitafika upande wa pili... Kuna?sehemu qmbapo ni zero gravity... So kitaelea tu hapo hapo....
 
We simply call the phenomenon SHM---- simple harmonic motion.

That's the body is going to excute SHM before coming to rest at the core after its energies become exhaust.

Kudos.
Kadiri chuma kitakavyokua kinaelekea katikati mwa dunia weight yake ndivyo itazidi kupungua, paka kufikia 0 when r=0, hakuna SHM hapo
 
Back
Top Bottom