hii kasi kangu pia ivo ivo nshajaribh sana ila wapi inasema Process Failed
hii kasi kangu pia ivo ivo nshajaribh sana ila wapi inasema Process Failed
Hata mimi inaniambia application process fail….hii kasi kangu pia ivo ivo nshajaribh sana ila wapi inasema Process Failed
Ndio mkuu nimefanikiwa.. Leo mtandao umetuliaumefanikiwa kuattach vitu vyote leo hii?
Kwa watu wa 6 kigezo ni uwe umemaliza 6 kati ya 2018 hadi 2023... hawaangalii form 4 umeuwa mwaka ganiIvi kwa wanaombea chet cha form six inatakiwa form four awe amemaliza mwaka gani
Mkuu umetumia browser ganiWakuu mimi imekubali now,kila la khery kwwnye mapambano
Mambo ya mifumo nchi hii hofyo sana
cover letter umeweka size gnWakuu mimi imekubali now,kila la khery kwwnye mapambano
Sijui hata size ipi,mm nmetuma Tucover letter umeweka size gn
Mkuu umetumia browser gani
angaliaSijui hata size ipi,mm nmetuma Tu
vyoteWakuu,kwa wenye vyeti vyote viwili cha form 4 na 6 kipi ni better kutumika kwenye hizi ajira!!?