Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 30,082
- 32,533
Asante MunguWee sema Mungu asante inatosha
Asante MunguWee sema Mungu asante inatosha
😂😂😂Niliacha kutoka night-club asubuhi baada ya kukutana na wanafunzi wangu barabarani mitaa ya Ben Pub Kinondoni wanaelekea kanisani.
Niko chweeee.....wakanipokea mkoba nayumba balaa.
Mpaka leo, ikifika saa 8 usiku ni mwisho wa kukaa bar/nightclub.
Sitaki dhalili mimi.
🥱🥱🥱
Wanaoiita Vatican City ni hao hao wanaopaswa kuheshimu hilo jina.Hii inakupa picha kwamba hawaithamini so wacha kutafuta mlinganisho usiokuwepo.Baa inaitwa Vatican city na WATU wametulia. Ingeitwa Makkah au Medina Bar sipati picha.
Wewe ukiitwa mwanamke utakubali?Baa inaitwa Vatican city na WATU wametulia. Ingeitwa Makkah au Medina Bar sipati picha.
Mimi nikifululiza kukesha bar lazima malaria inigonge hivyo saa mbili tu nishaondoka.Acha tu
C Park Matema na Ben, ilikuwa unavuka tu barabara.
Tukitoka hapo tunakutana PapiChulo.
Hv unakumbuka Ben Pub na ule mlango wa tinted?
Unajua bado hakujakucha, ukifungua mlango tu, saa 4 asubuhi ... nachoka hoi🥴😙😙
Mumpeleke aghakan akaonane na specialist wa magonjwa ya zinaa na akina mama.Hhahah.....hatari
Atapona mpeleke aghakan au Hindu mandal.Amejikatia tamaa kbs kupona
Hawa wamiliki wa hizi night clubs,pub etc nadhani wana dawa ukiingia wazo la kuondoka linatoka kabisa, kuna mmoja ipo maeneo ya home ukienda na pesa lazima uimalize hats kama ulijipangie budget kwamba utatumia kiasi kadhaa utajikuta unawanunulia watu, wahudumu hadi hivyo pesa ikate ndo akili zinakurudia na kuona kama umetumia pesa nje ya budget na unnecessary offersIlishawahi kunitokea hapo ben pub. Unakula starehe unajisahau unatoka nje unakuta jua kali watu wanaendelea na shughuli zao.
Papii chulo nayo mwendo ilishaumaliza ila kuna mbadala las carinyo.
Pole kwa bar-fever, saa 2 usiku unatoka bar?Mimi nikifululiza kukesha bar lazima malaria inigonge hivyo saa mbili tu nishaondoka.
Nimemuacha Dar, mie niko zangu Dom, ila wananiambia bado anahangaika na tatizo lake.Mumpeleke aghakan akaonane na specialist wa magonjwa ya zinaa na akina mama.
Yes Las Carinyo, sema ile nyomi sijui itakuwaje.Ilishawahi kunitokea hapo ben pub. Unakula starehe unajisahau unatoka nje unakuta jua kali watu wanaendelea na shughuli zao.
Papii chulo nayo mwendo ilishaumaliza ila kuna mbadala las carinyo.
Maeneo yangu hayo, kuanzia manyanya mpaka morocco nlikuwaga nakaa sana hapo benNiliacha kutoka night-club asubuhi baada ya kukutana na wanafunzi wangu barabarani mitaa ya Ben Pub Kinondoni wanaelekea kanisani.
Niko chweeee.....wakanipokea mkoba nayumba balaa.
Mpaka leo, ikifika saa 8 usiku ni mwisho wa kukaa bar/nightclub.
Sitaki dhalili mimi.
Hhahhaha..! Eti utokoIla kweli eeee🤔🤔
Sijui wanatoaje utoko..🥴
Ni wa kawaida.Alafu unakuta
ni pisi kali
Ben Pub sema wahuni wakaja kuifanya ionekane ya kihuni.Maeneo yangu hayo, kuanzia manyanya mpaka morocco nlikuwaga nakaa sana hapo ben
Yap naogopa sana mbu hata nyumbani ikifika saa tatu Niko ndani ya net, malaria na typhoid ndo magonjwa ninayoyaogopa nakunywa maji ya kuchemsha au ya chupa tu zaidi ya miaka 25, pia mbu hata akiingia kwenye net lazima nishtuke usingizini na nimtoe ndo nilale.Pole kwa bar-fever, saa 2 usiku unatoka bar?
Mie saa 2 ndio naanza kutafuta nguo ya kuvaa.
Tumetofautiana mkuu
Walikuwa wanashinda matomboy pale kipindi fulan na mademu zao uhuni ulikuwa mwingi sana sema barabaran sana pale daaahBen Pub sema wahuni wakaja kuifanya ionekane ya kihuni.
Ila ilikuwa poa sana ile.
Unatoka nje unakutana na wanafunzi wanarudi shule....nyieeee!!!!!
Baa inaitwa Vatican city na WATU wametulia. Ingeitwa Makkah au Medina Bar sipati picha.