Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 30,071
- 32,517
Ni vizuri.Ahahaha noma sana, dar nimezunguka karibu kote na muda mwingine sio kwasababu ya mitungi hapana najaribu tu ku explore life la usiju la watu wengine, sema saivi sio saaaana nimeamua kuchil kidogo japokuwa siku moja moja i go wild, nna jamaangu sijapokea simu yake hii wiki ya pili ye kila ijumaa lazima apige simu 😂😂😂😂, sometime me napenda kuchil tu home nitafakari mipango yangu sababu kama kuamsha tumeamsha sanaa
Kuna wakati ukifika, mwili auhitaji misukosuko na mikelele ndio maana unaamua kujipumzikia zako.
Ila siku moja moja huwa lazima kujumuika na ndugu,jamaa na rafiki kilajini.