Baa Sinza zinaendelea kutokomea, Tabata kapokea kijiti kwa fujo

Ahahaha noma sana, dar nimezunguka karibu kote na muda mwingine sio kwasababu ya mitungi hapana najaribu tu ku explore life la usiju la watu wengine, sema saivi sio saaaana nimeamua kuchil kidogo japokuwa siku moja moja i go wild, nna jamaangu sijapokea simu yake hii wiki ya pili ye kila ijumaa lazima apige simu 😂😂😂😂, sometime me napenda kuchil tu home nitafakari mipango yangu sababu kama kuamsha tumeamsha sanaa
Ni vizuri.
Kuna wakati ukifika, mwili auhitaji misukosuko na mikelele ndio maana unaamua kujipumzikia zako.
Ila siku moja moja huwa lazima kujumuika na ndugu,jamaa na rafiki kilajini.
 
Inaanza H
bar za kujazana watu km nziii sizitakagi
Kuna siku nlikuwa napiga maji na jamaa yngu mmoja kijiyonyama pale sofun jamaa mwqndishi wa habari maarufu tu jina kapuni
Pale ni kama kijiwe chk
Mida ya saa sita usiku nkamwambia mbn hapa kna watu kama siwaelewielewi tuondoke,jamaa kagoma
Ile naondokq tu huku nyuma nasikia majambaz wamewapiga ambush 😄
Masai club hivyo hivyo ilinikuta machale yakanicheza natoka watu wanaingiaaaa walevi wamelazwa chini
Nkakoswakoswa tena maridadi bar mkwajuni kule ohooo nkasema sasa mambo ya kupuyanga npunguova
😄😄😄😄
Kama hiyo H naijua.
Kijiwe cha madalali pale.🥴
Kumbe hizi mambo ukute wamiliki wenyewe ndio huleta mchezo mchafu🤔.
Dah! Kweli mjini akili zako tu.
Nakumbuka wakati fulani huko Dar nilienda club moja, sasa wakapuliza ule smoke sijui....nikaanza kuhisi maruweruwe.
Kuja kuuliza, duh!!....kumbe tunatiliwa vibe la moshi lenye mchanganyiko wa kilevi..... hapo stimu za kucheza zinapanda balaa, wengine mpaka vichwa viliwauma.
 
😄😄😄😄
Kama hiyo H naijua.
Kijiwe cha madalali pale.🥴
Kumbe hizi mambo ukute wamiliki wenyewe ndio huleta mchezo mchafu🤔.
Dah! Kweli mjini akili zako tu.
Nakumbuka wakati fulani huko Dar nilienda club moja, sasa wakapuliza ule smoke sijui....nikaanza kuhisi maruweruwe.
Kuja kuuliza, duh!!....kumbe tunatiliwa vibe la moshi lenye mchanganyiko wa kilevi..... hapo stimu za kucheza zinapanda balaa, wengine mpaka vichwa viliwauma.
Sasa na siku hizi wadada wamezibuka na shisha si inakuwa hatari kabisa?
 
Hahaha, umenikumbusha mzee Matonya ombaomba maarufu Tz nzima, mzee Makamba mwenyewe alimnyoshea mikono juu.. mimi sikuwa naishi Nkrumah exactly ila ni stone throw away. Nilikuwa Livingston str. Sema lazma tunafahamiana.
Ulikuwa darasa moja na rais wa Utopolo?? Kama ndio lazma tunafahamiana.
Hivi huyu hersi ndo kwao tulikua tunaenda kununua "ashklim" pale karibu na geti la shule? Siku nyingi nimesahau ila tulikua darasa moja na dogo moja la kisomali alikua mtundu mtundu hivi na alikua na Dada yake
 
Hivi huyu hersi ndo kwao tulikua tunaenda kununua "ashklim" pale karibu na geti la shule? Siku nyingi nimesahau ila tulikua darasa moja na dogo moja la kisomali alikua mtundu mtundu hivi na alikua na Dada yake
Sikumbuki vzr alikuwa mtaa gani, kama sio Kipata basi Somali str. Karibu na Sukita kwa nyuma. Unasema ashkrim za kwa ba'Faizana??😂 nunua sana fagio za chelewa
 
Sikumbuki vzr alikuwa mtaa gani, kama sio Kipata basi Somali str. Karibu na Sukita kwa nyuma. Unasema ashkrim za kwa ba'Faizana??😂 nunua sana fagio za chelewa
Swadakta! Unamkumbuka mwalimu deo alikua hatumii fimbo kuchapa Bali pipe ya maji, mama wa kichaga bonge hivi na mwanae bonge hivi, mwalimu mwingine alikua anauza visheti na kalmati kuna siku nikavipiga teke vikamwagika chini nikapelekwa kwa mkuu akanitetea kwamba ni bahati mbaya, kuna madogo walikua wanakaa kota za railway walikua wakorofi wakorofi sana wakina msaki,madaftari na majalada tunanunua duka moja tu Tahfifu kariakoo, cha kushangaza shule zipo karibu karibu sana yaani shule nyingi sehemu moja kisarawe,gerezani,Uhuru,mtendeni,mnazi mmoja
 
Sikumbuki vzr alikuwa mtaa gani, kama sio Kipata basi Somali str. Karibu na Sukita kwa nyuma. Unasema ashkrim za kwa ba'Faizana??😂 nunua sana fagio za chelewa
Nilikua najiuliza kipindi kile Niko mdogo kwa nini ile shule ya watoto wenye utindio wa ubongo 98% ni wahindi? Mwafrika alikua mmoja au wawili na waarabu wachache. Kuna rafiki yangu mmoja akiitwa Paulo bless baba yake alikua anaendesha zile pikipiki za kuongoza msafara wa rais sijui yuko wapi, alikua anakaa trafiki kota
 
Niliacha kutoka night-club asubuhi baada ya kukutana na wanafunzi wangu barabarani mitaa ya Ben Pub Kinondoni wanaelekea kanisani.
Niko chweeee.....wakanipokea mkoba nayumba balaa.

Mpaka leo, ikifika saa 8 usiku ni mwisho wa kukaa bar/nightclub.
Sitaki dhalili mimi.
Duuh inaonyesha una gongwa sana ww. Wanawake walevi sio poa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom