Alagwa
Member
- May 30, 2012
- 95
- 85
Kwa siku za karibuni Tabata imekuwa sehemu ya kula bata sana tofauti na kipindi flani ilijulikana Sinza ndio kuna mambo mengi lakini hivi sasa Tabata ndio inashika namba moja.
Ukianzia 40 40 jirani hapo kuna Smal Planet tembea kidogo unakutana na Kitamaa Cheupe kabla hujakaa sawa unasikia Barakuda huku mziki wa The Great ukikuita ile nyingine ilikuwa inaitwa Kwetu Pazuri sasa inajina jipya Twest.
Unaweza kujiuliza hawa watu wanalala mida gani ila kikubwa usijichanganye ukaiga maisha ya watu utapotea
Ukianzia 40 40 jirani hapo kuna Smal Planet tembea kidogo unakutana na Kitamaa Cheupe kabla hujakaa sawa unasikia Barakuda huku mziki wa The Great ukikuita ile nyingine ilikuwa inaitwa Kwetu Pazuri sasa inajina jipya Twest.
Unaweza kujiuliza hawa watu wanalala mida gani ila kikubwa usijichanganye ukaiga maisha ya watu utapotea