Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,344
- 7,494
Hii ni official au unahisiNa Tabata barabarani inatanuliwa kama sinza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni official au unahisiNa Tabata barabarani inatanuliwa kama sinza
Duh noma mkuuNilikuwa the great jana napiga supu mida ya saa tatu asubui kulikuwa na malaya kibaonadhani walikesha pale. Huyo mmoja ameanza kublid nguo yake nyuma imeloa damu halafu hana habari dadeki.
Ukitoka Twist unasogea mbele Kuna Mr Wine ilipokua kitambaa Cheupe zamani, ukisogea shell kushoto Kuna Mazembe Park usiombee mademu hapo wanakunywa Henken na Windhoek tu! Tuache hapo segerea mwisho utakutana Na kingdom wahudumu ni kama wamevaa vichupi 24/7, hapo utakutana na Ale Bush na Fantasy, endea Kinyerezi Kabla ya Round about utakutana na Big Boys na hapo ukielekea Airport Kuna Darajani 24/7 halali na haamki mtu! Tabata sio Poa nimesahau Kaites lounge Baada ya KPKwa siku za karibuni Tabata imekuwa sehemu ya kula bata sana tofauti na kipindi flani ilijulikana Sinza ndio kuna mambo mengi lakini hivi sasa tabata ndio inashika namba moja.
Ukianzia 40 40 jirani hapo kuna smal planet tembea kidogo unakutana na kitamaa cheupe kabla hujakaa sawa unasikia Barakuda huku mziki wa the great ukikuita ile nyingine ilikuwa inaitwa kwetu pazuri sasa inajina jipya twest.
Unaweza kujiuliza hawa watu wanalala mida gani ila kikubwa usijichanganye ukaiga maisha ya watu utapotea
Kwani huoni machata kwenye majengo yaliyokuw pemebezoni mwa barabara kuanzia segerea mpaka Aroma
Umesahau Kazimoto pork Park segerea sheli hapoUkitoka Twist unasogea mbele Kuna Mr Wine ilipokua kitambaa Cheupe zamani, ukisogea shell kushoto Kuna Mazembe Park usiombee mademu hapo wanakunywa Henken na Windhoek tu! Tuache hapo segerea mwisho utakutana Na kingdom wahudumu ni kama wamevaa vichupi 24/7, hapo utakutana na Ale Bush na Fantasy, endea Kinyerezi Kabla ya Round about utakutana na Big Boys na hapo ukielekea Airport Kuna Darajani 24/7 halali na haamki mtu! Tabata sio Poa nimesahau Kaites lounge Baada ya KP
Kwa mbele kidogo ni JM JM kwa General Mabeyo na mbele kulia ni BambooUmesahau Kazimoto pork Park segerea sheli hapo
Kuna mradi wa upanuzi pamoja na BRT yamkini huyu MTU hajafika tabata recentlyKwani huoni machata kwenye majengo yaliyokuw pemebezoni mwa barabara kuanzia segerea mpaka Aroma
Sehemu nyingi tu wameandika 2Metres IN wengine 5 metres IN
Nna mda mrefu sijapita Tabata ... Me nko centre KinondoniKwani huoni machata kwenye majengo yaliyokuw pemebezoni mwa barabara kuanzia segerea mpaka Aroma
Sehemu nyingi tu wameandika 2Metres IN wengine 5 metres IN
Yeah nna mda mrefu sijapita Tabata ..km wana mpango hadi wa BRT bhac n hatua kubwa hiyo sasa hzo Bar zote c zitaondolewa coz karibu zote ziko barabaraniKuna mradi wa upanuzi pamoja na BRT yamkini huyu MTU hajafika tabata recently
Nilijua unazungumzia Viwanda,Kwa siku za karibuni Tabata imekuwa sehemu ya kula bata sana tofauti na kipindi flani ilijulikana Sinza ndio kuna mambo mengi lakini hivi sasa tabata ndio inashika namba moja.
Ukianzia 40 40 jirani hapo kuna smal planet tembea kidogo unakutana na kitamaa cheupe kabla hujakaa sawa unasikia Barakuda huku mziki wa the great ukikuita ile nyingine ilikuwa inaitwa kwetu pazuri sasa inajina jipya twest.
Unaweza kujiuliza hawa watu wanalala mida gani ila kikubwa usijichanganye ukaiga maisha ya watu utapotea
Upo sahihi mkuuKuna mradi wa upanuzi pamoja na BRT yamkini huyu MTU hajafika tabata recently
Huo mradi ukianza Tabata itapoa mpaka wamalize ndo mambo yaanze kuchanganya tenaYeah nna mda mrefu sijapita Tabata ..km wana mpango hadi wa BRT bhac n hatua kubwa hiyo sasa hzo Bar zote c zitaondolewa coz karibu zote ziko barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣Jana mida ya mchanaTabata nipo barabarani inapita bajaji na demu kalala halafu juu kavaa sidiria tu kalala huku ameshikilia chupa za Savanna
Chuki binafsi au siyoHizo nongwa
hahahaha eti ibane kama ya chaputaTatizo la CHAPUTA siku ukioa ya mkeo utakua unaiona sio Mali kitu ndio maana walio kutangulia hua wanajaribu kupita barabara ya vumbi wakidhani watabanwa Kama CHAPUTA.
Na ukianza kupita barabara za vumbi ujue hutaacha.
Makanisa yapo tena hiyo njia ya segerea kuanzia 40 40 upande huu bar upande kanisa 😅😅😅huku maji chumvi njia ya jeshini mwenzenu alifungiwa 😅😅😅Sinza tumewachapa injili, sasa wamepokea wokovu, tunahamia Tabata, soon utasikia Tabata ni makanisa matupu
Its either bar iwe kanisa au kanisa iwe barMakanisa Tabata yanageuzwa bar