1.Mimi najua mwenye Diploma in Education haweki vyeti,akiweka tu Reg number matokeo yanaonekanaWakuu tunaomba ufafanuzi nipo na dogo tunakamilisha application via NACTE CAS
Sasa swali ni kwamba tunaattach vyeti au hatuweki?
Sijaona hiyo option
Msaada please
Ndiomaana Makapuku forum kumepoa kumbe upo busy.Ttusaidieni wakuu
Endapo kama chuo ulichosoma na kozi husika havionekan kwenye system, kuna option hapo chini kama sikosei. Ukiibonyeza hiyo basi itakuoeleka katika sehemu ya kujaza chuo na kuattach vyet ila kama kila kitu kipo kwenye system badi huwa hakuna haja ya kuatach, na hii option ya kuatach inawatikea sana watu waliomaliza chuo mwaka huu ambao matikeo yao bafo hayajifika nacte au nacte hawajayaingiza kwenye system.Wakuu tunaomba ufafanuzi nipo na dogo tunakamilisha application via NACTE CAS
Sasa swali ni kwamba tunaattach vyeti au hatuweki?
Sijaona hiyo option
Msaada please
Kama hakuna maandishi ya rangi nyekundu ya update qualification basi tayari endelea na kipengele kinachofuata.Mkuu hata vyuo tumeweka REG. NO zetu
Sijaona pa attachment wala kuambiwa attach
Ukiona required qualification found ujue tayari wameona matokeo kwenye system na hakuna haja ya cheti.Mkuu hata vyuo tumeweka REG. NO zetu
Sijaona pa attachment wala kuambiwa attach