Airtel 5G Unlimited Internet

mimi nipo kwenye halotel M2M, Yani nitateseka balaa nikiingia tuu meeting inakata, ila instagram haina shida inafunguka vizuri tuu,wakati mimi nimeisajali kwa ajili ya kufanya kazi na sio kuperuzi instagram na youtube. Kwa kweli Tanzania sijui tuna tatizo gani?
 
Nami yamenikuta sikuwa najua nilihisi ni tatizo la mtandao hasa ukizingatia nipo nje ya dar es salaam wanakoiuza kwamba ndio ilipo 5g.Baada ya kufatilia huduma kwa wateja ndio wananiambia wako na user limit policy.

Mwanzoni kwa speed ya 10mbps cha 70000 kwa Mwezi haikuwa kuwekwa limit hiyo ila baada ya kuongeza speed kuwa 30mbps ndio nimekutana na hayo majanga kabla ya muda niliojiunga kuisha.

Haya hawayaweki wazi kwa mteja ila utakutana nacho baada ya kutumia na kufikia cap yao hiyo.
Im disappointed na hapa naiuza sipo tayari kulipia unlimited iliyo limeted.Hii inawafaa wenye matumizi yakawaida tu acha nirudi Voda.

Nilinunua speed ya 30mbps sasa inasomea 2mbps halafu ndio kwanza wiki ya pili tu.

Kwa anayehitaji hii router ya Airtel njoo unirudishie 200k zangu tu nilizonunulia.
Mkuu, hiyo 10Mbps kwa nini uliamua ku upgrade? Ilikuwa haitoshi kwa matumizi yako?
 
Nami yamenikuta sikuwa najua nilihisi ni tatizo la mtandao hasa ukizingatia nipo nje ya dar es salaam wanakoiuza kwamba ndio ilipo 5g.Baada ya kufatilia huduma kwa wateja ndio wananiambia wako na user limit policy.

Mwanzoni kwa speed ya 10mbps cha 70000 kwa Mwezi haikuwa kuwekwa limit hiyo ila baada ya kuongeza speed kuwa 30mbps ndio nimekutana na hayo majanga kabla ya muda niliojiunga kuisha.

Haya hawayaweki wazi kwa mteja ila utakutana nacho baada ya kutumia na kufikia cap yao hiyo.
Im disappointed na hapa naiuza sipo tayari kulipia unlimited iliyo limeted.Hii inawafaa wenye matumizi yakawaida tu acha nirudi Voda.

Nilinunua speed ya 30mbps sasa inasomea 2mbps halafu ndio kwanza wiki ya pili tu.

Kwa anayehitaji hii router ya Airtel njoo unirudishie 200k zangu tu nilizonunulia.
Kwa mfano ukiacha kulipia mwezi mmoja au zaidi kuna shida?

Assume nimenunua router na kuunha cha 70 then kikaosha mwezi unaofata sihitaji internet labda Moka mwezi mwingine je inakuwaje
 
Kwa mfano ukiacha kulipia mwezi mmoja au zaidi kuna shida?

Assume nimenunua router na kuunha cha 70 then kikaosha mwezi unaofata sihitaji internet labda Moka mwezi mwingine je inakuwaje
Kwa Airtel haina shida, ila kwa voda hilo ni deni watakudai.
 
Kwa mfano ukiacha kulipia mwezi mmoja au zaidi kuna shida?

Assume nimenunua router na kuunha cha 70 then kikaosha mwezi unaofata sihitaji internet labda Moka mwezi mwingine je inakuwaje
Nikama utumiavyo laini zingine tu kwamba hujalipia hupati huduma.Ila kama hutolipia kwa miezi kadhaa watakuchukulia hatua zingine ilo kwakweli sijui.
 
Kiongozi, hebu nipe elimu manake miluzi inanipoteza. Kwa jinsi watu wanavyoongea ni wazi wanachotoa sio unlimited bali wanatoa kiasi fulani cha GB na baadae ku-apply throtting pale GB ulizopewa zinapoisha. Je, unaweza kuwa na idea kwa ile plan ya 70K inaweza kuwa ni GB ngapi? Au hiyo ya kwako ni plan ipi hasa?
 
Kiongozi, hebu nipe elimu manake miluzi inanipoteza. Kwa jinsi watu wanavyoongea ni wazi wanachotoa sio unlimited bali wanatoa kiasi fulani cha GB na baadae ku-apply throtting pale GB ulizopewa zinapoisha. Je, unaweza kuwa na idea kwa ile plan ya 70K inaweza kuwa ni GB ngapi? Au hiyo ya kwako ni plan ipi hasa?
Plan ya 70K ni 10Mbps hakuna kipimo cha MB.

Maana yake ni unlimited yenye speed ya 10Mbps na sio kuwa unatengewa MB kadhaa kwamba zikiisha katikati ya mwezi basi inabidi ulipie tena.
 
Kama unlimited Upo Pande za Mombasa, bombambili, gongo lamboto

Tuchekiane wazee nahitaji kushusha files Large Kidogo Bei tunaelewana
 
Back
Top Bottom