MrsPablo1
JF-Expert Member
- Jun 9, 2013
- 797
- 1,325
mimi nipo kwenye halotel M2M, Yani nitateseka balaa nikiingia tuu meeting inakata, ila instagram haina shida inafunguka vizuri tuu,wakati mimi nimeisajali kwa ajili ya kufanya kazi na sio kuperuzi instagram na youtube. Kwa kweli Tanzania sijui tuna tatizo gani?