JuniorDarilson_
Member
- Feb 19, 2024
- 39
- 56
- Thread starter
- #41
Kaka ukifisha 1200gb speed inapunguaHata fiber nayo speed inapunguwa users wakiwa wengi.
Binafsi ni mtumiaji wa Airtel kwa zaidi ya miezi 6 lakini sijawahi kukutana na hiyo changamoto
Matumizi yangu kwa mwezi si chini ya 1TBView attachment 2917009