Airtel 5G Unlimited Internet

Nimesoma nimeelewa. Shukrani.

Kujiunga na Airtel bei gani? Na kwa mwezi bei gani?

Kwa ufupi, gharama za kuanzia na gharama za mwezi ni kiasi gani? Matumizi ya kawaida watu watatu hadi 5 maximum, tv, social media, etc kudownload kidogo
5G Router 210,000
Data Plan 70,000
 
5G Router 210,000
Data Plan 70,000
Shukrani. Kabla haujalala.

Nimeona mitandaoni (Jiji, FB Market) kuna watu wanauza izo router za 5G za Airtel wapo ambao wanauza cheaper (Tsh 110k, 150k etc) mpya kabisa. Na wapo ambao wanagawa bure. Yes, wanasema wanakupa Bure sasa sijui wao wanafaidikaje.
Screenshot_20240226-215022.png

I know it's too good to be true, lakini izo za cheaper zina madhara? Naweza kwenda Airtel nikasajili laini tu ya 70k nikawaambia router ninayo afu nikanunua router izo Cheaper?
 
Shukrani. Kabla haujalala.

Nimeona mitandaoni (Jiji, FB Market) kuna watu wanauza izo router za 5G za Airtel wapo ambao wanauza cheaper (Tsh 110k, 150k etc) mpya kabisa. Na wapo ambao wanagawa bure. Yes, wanasema wanakupa Bure sasa sijui wao wanafaidikaje.
View attachment 2917488
I know it's too good to be true, lakini izo za cheaper zina madhara? Naweza kwenda Airtel nikasajili laini tu ya 70k nikawaambia router ninayo afu nikanunua router izo Cheaper?
Ipo hivi ukiwa na NIDA, TIN & Leseni ya Biashara utapewa router bure na Airtel kwa kujiunga kifurushi cha 110,000.

Ukichukua router ya bure inakuwa siyo mali yako, unapewa kwa mkataba wa miaka miwili. Hawa wanaotangaza mtandaoni sina uhakika kama ni mawakala wa Airtel au la.

Jiji ni marketplace kubwa siwezi kuwa na uhakika kwanini bei zao zipo hivyo maana wengine hapo ni matapeli.

Ni vyema kufika duka la Airtel itakuwa vizuri zaidi.
 
Nami yamenikuta sikuwa najua nilihisi ni tatizo la mtandao hasa ukizingatia nipo nje ya dar es salaam wanakoiuza kwamba ndio ilipo 5g.Baada ya kufatilia huduma kwa wateja ndio wananiambia wako na user limit policy.

Mwanzoni kwa speed ya 10mbps cha 70000 kwa Mwezi haikuwa kuwekwa limit hiyo ila baada ya kuongeza speed kuwa 30mbps ndio nimekutana na hayo majanga kabla ya muda niliojiunga kuisha.

Haya hawayaweki wazi kwa mteja ila utakutana nacho baada ya kutumia na kufikia cap yao hiyo.
Im disappointed na hapa naiuza sipo tayari kulipia unlimited iliyo limeted.Hii inawafaa wenye matumizi yakawaida tu acha nirudi Voda.

Nilinunua speed ya 30mbps sasa inasomea 2mbps halafu ndio kwanza wiki ya pili tu.

Kwa anayehitaji hii router ya Airtel njoo unirudishie 200k zangu tu nilizonunulia.
 
Nami yamenikuta sikuwa najua nilihisi ni tatizo la mtandao hasa ukizingatia nipo nje ya dar es salaam wanakoiuza kwamba ndio ilipo 5g.Baada ya kufatilia huduma kwa wateja ndio wananiambia wako na user limit policy.

Mwanzoni kwa speed ya 10mbps cha 70000 kwa Mwezi haikuwa kuwekwa limit hiyo ila baada ya kuongeza speed kuwa 30mbps ndio nimekutana na hayo majanga kabla ya muda niliojiunga kuisha.

Haya hawayaweki wazi kwa mteja ila utakutana nacho baada ya kutumia na kufikia cap yao hiyo.
Im disappointed na hapa naiuza sipo tayari kulipia unlimited iliyo limeted.Hii inawafaa wenye matumizi yakawaida tu acha nirudi Voda.

Nilinunua speed ya 30mbps sasa inasomea 2mbps halafu ndio kwanza wiki ya pili tu.

Kwa anayehitaji hii router ya Airtel njoo unirudishie 200k zangu tu nilizonunulia.
Hawasemi ila wameandika kwenye Terms and conditions zao kwamba wanaweza kupunguza spidi yako kama unafanya heavy downloads mfululizo kutegemea na eneo lako ili kuwa fair kwa watumiaji wengine ndo maana baadhi mnapata majanga. Sema they know Wabongo hatusomi...
 
View attachment 2916855

Ndugu zangu nilijiunganisha na airtel 5g unlimited internet nikajua kwamba hawana limit ya volume kumbe unahesabiwa gb na GB zikiisha speed ya internet inapungua. Mimi nilitoka kuwa na speed ya download 30Mbps Upload 5OMbps kwenda mpaka 1Mbps download na 2Mbps upload daah nichangamoto kubwa sana.

Nawashauri tu wale ndugu zangu wanaotaka kujiunga na hii airtel 5g unlimited. Kama wewe ni mtu wa kudownload vitu sana hii haifai kabisa na speed ikipungua internet inasumbua yani hata kuchek tu insta shughuli ina stuck sana.

So Beware
Mbona mimi iko fresh tu
 
View attachment 2916855

Ndugu zangu nilijiunganisha na airtel 5g unlimited internet nikajua kwamba hawana limit ya volume kumbe unahesabiwa gb na GB zikiisha speed ya internet inapungua. Mimi nilitoka kuwa na speed ya download 30Mbps Upload 5OMbps kwenda mpaka 1Mbps download na 2Mbps upload daah nichangamoto kubwa sana.

Nawashauri tu wale ndugu zangu wanaotaka kujiunga na hii airtel 5g unlimited. Kama wewe ni mtu wa kudownload vitu sana hii haifai kabisa na speed ikipungua internet inasumbua yani hata kuchek tu insta shughuli ina stuck sana.

So Beware
Labda kwako
 
Back
Top Bottom