JuniorDarilson_
Member
- Feb 19, 2024
- 39
- 56
- Thread starter
- #61
Brother voda jau sana mkuu wana contract ya 24 months alfu huduma yao ni postpaid yani ni lazima ulipie kila mwezi usipo lipa wanakudaiYa voda ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐๐ nilikuwa na download movie ya gb 5 ikaishia njiani nililia sana wifi ika ganda