money

  1. Mathanzua

    The Cuban Banking system has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media that all their money is gone from their accounts

    The Banking system of Cuba has reportedly collapsed. Cubans are reporting via Social Media all their money is gone from their accounts, and all Automated Teller Machines (ATM's) have been emptied. This news is being heavily suppressed but it is getting out slowly. At banks all over the country...
  2. Foffana

    Msaada wachumi, how banks create money?

    Habari wakuu, natumaini mnaendelea vizuri kabisa Katika harakati za kuendelea kujifunza nimekutana na hii kitu ambayo inaitwa Credit Creation ambayo ndo inasemekana kuwa ndo njia ambayo hizi banks wanatumia kucreate money Hii Concept imeniwia vigumu sana kuielewa kwani ina kamkanganyiko...
  3. mbongowakweli

    What's your problems guys? Money or Women?

    Hiyo ni salamu wanaume tunapokutana, hasa pub, cafe au kwenye jumuiko lolote. Haya semeni kati ya hayo mawili, lipi linawasumbuwa?
  4. Mjanja M1

    Ukiachana na Pesa, unahitaji nini sasa hivi?

    Mm nahitaji kumzaba Kofi Olomide shabiki yoyote wa Uto, maana wanasumbua sana kitaaa Tiririka Mkuu.....
  5. Tinnvibez

    Payoneer account verification

    Habari, Bila shaka uko poa. Mimi ni Freelancer na nauza mziki wangu kwenye majukwaa mengi ya kimuziki. Nimejiunga na Payoneer NIDA na kila kitu kimekubali shida kwenye Utility au Bank Statement. Nishafanya ku-upload Bank Statement, utility ili wa-verify address wanavosema ila inakaa. Nikawa...
  6. voicer

    Tukisema Royal Tour Tulipigwa tunamaanisha ukweli

    Kwamba Tanzania Royal Tour ilikuwa ni siasa, Royal Tour ilikuzwa kuliko uhalisia wake. Na pia Royal Tour Documentary haikuwa na maudhui yoyote makubwa yenye ushawishi kwa watalii kuweza kuijua Tanzania pamoja na vivutio vyake. Bali Royal Tour ilitumika na kundi la wajanja ndani na nje ya nchi...
  7. 2 of Amerikaz most wanted

    JOHN CENA: Chose Money Over Morality

    John Cena went live on stage at the Oscars naked. This is symbolism at it's peak, the emasculation of men. They take masculine figures in society and humiliate them, from wearing dress to walking nude Imagine all the little children who look up to him, particularly little boys, watching him...
  8. 2 of Amerikaz most wanted

    Love don't pay bills and money don't cheat

    Vegas Gamblers girlfriend leaves him over gambling addiction so he makes new one out of money.
  9. O

    Airtel money master card

    Je kila MTU ana experience ratizo hili? Ukitaka kuangalia taarifa za kadi au kutengeza mpya kuna ujumbe napokea ona Toka juzi, nimeshindwa kununua bidhaa, nambieni Voda kukoje nizame maana ni haraka oda isije fungwa
  10. maganjwa

    Money printing maana yake nini?

    Imani yangu mko vema sana humu. Mimi Naenda moja Kwa moja kwenye mada naomba kuelezwa kwamba Kuna notion ya taifa kutumia fedha yake Kwa Kila kitu hata kununua bidhaa kutoka nje kw Hela yake. Lakini sisi hasa nchi zetu hizi Ili ununue bidhaa kutoka nje lazima utumie Dola ya marekani. ---...
  11. Mwl.RCT

    Real Estate Money Maze: Escaping Broke, Building Fortune

    Introduction: Are you ready to take control of your financial future? Real estate investing offers a path to success, but it's not without its challenges. Let's navigate the money maze and learn how to escape broke and build a fortune through smart real estate strategies. The Power of Passive...
  12. 2 of Amerikaz most wanted

    Don't promise anything if you can't keep your promise

    One cold night, A billionaire met an old poor man outside. He asked him, "don't you feel cold being outside, and not wearing any coat?" The old man replied, "I don't have it but I got used to that. " The billionaire replied, "Wait for me. I will enter my house now and bring you one." The poor...
  13. 2 of Amerikaz most wanted

    Is knowledge greater than money?

    Mike Tyson earned up to $30 million per fight at the peak of his career. Some estimate he made over $300 millionthroughout his career. (Foto source, Google) After living an extravagant lifestyle, in 2003 Mike filed for bankruptcy with over $27 million in debt. We may learn from multiple...
  14. M

    America is in serious trouble': Robert Kiyosaki warns the US is broke, bankrupt, says that printing money to solve problem won't work

    'America is in serious trouble': Robert Kiyosaki warns the US is broke, bankrupt, and our dollar is 'trash' — says that printing money to solve problems can't go on much longer. Is he right? aol.comDec 6, 2023 1:00 PM 'America is in serious trouble': Robert Kiyosaki warns the US is broke...
  15. LIKUD

    Jiajiri mwenyewe kwa kufanya kazi ya ‘kubadilisha upepo’ wa matukio mbalimbali, niamini lazima utoboe!

    Siku hizi hakuna ajira tena. Sorry did i say "Hakuna!" I was supposed to say " HAKUNAGA". Yale mawazo ya nisome nifike chuo nipate G.P.A kali nitaajiriwa kwenye kampuni kubwa au taasisi kubwa au nafasi kubwa serikalini, anasema Robert Kiyosaki kwenye kitabu chake " Rich Dad Poor Dad", yalikuwa...
  16. Mr George Francis

    Money is no more an issue, know how to handle your woman

    MONEY IS NO MORE AN ISSUE, KNOW HOW TO HANDLE YOUR WOMAN. Leo sikwenda kazini, nikaona nipitepite mtaani kwetu nipige story na marafiki. Nilifika kijiwe kimoja cha bodaboda nikakuta ubishani mkubwa sana. Mjadala wao mkubwa ulikuwa ni kwanini vijana wengi hawataki kuoa. Sasa kwenye story za...
  17. Moseskyey

    How To Build A Successful Blog And Make Money Online memo

    Jinsi ya Kujenga Blogu Inayofanikiwa na Kupata Pesa Mtandaoni 💨 Chagua mada unayopenda na inayoweza kuwa na hadhira inayoweza. Fanya utafiti kuhusu mada na mwenendo wa sasa ili kupata niche unayoweza kuandika. Unda blogu kwa kutumia jukwaa kama WordPress au Blogger. Chagua jina la kikoa...
  18. L

    Making money online - Maswali na Majibu.

    Je, ni kweli unaweza kufanya kazi na kupata pesa kupitia mtandao? Ndiyo, inawezekana kufanya kazi na kupata pesa kupitia mtandao. Je, ni kazi gani mtu anazoweza kufanya kupitia mtandao? Ni kazi nyingi karibu kila kazi inayoweza kufanywa ukiwa mbali (remotely) inaweza kufanyika mtandaoni na...
  19. LIKUD

    Je pesa ndio Mungu wa dunia hii ( is Money the true God of this planet?)

    Je pesa ndio Mungu halisi wa sayari ya dunia? 1. The holy scriptures say YES. MHUBIRI 10:19 " Pesa huleta hajawabu ya kila kitu" ( From a spiritual perspective mwenye MAJAWABU ya kila kitu ni Mungu. Isije kuwa Nabii Suleiman alikuwa anatoa subliminal message kwa dunia kuhusu Mungu halisi wa...
Back
Top Bottom