hewa

The Hewa are an indigenous people that live in the Koroba Lake Kopiago Electorate of Hela Province of Papua New Guinea near the junction of the Strickland River.They were one of the last peoples in Papua New Guinea to come into contact with the outside world. They number about 2,000 persons, and their rugged rainforest terrain comprises about 200 square miles (518 km2), some of which was unexplored until 2008. Their language belongs to the Sepik family.
They hunt birds, reptiles and mammals for food, adornment and trade with neighboring tribes. Having learned that fruit- and nectar-eating birds, such as fruit-doves and lorikeets, are vital to forest regeneration, the Hewa slash small gardens out of the dense jungle and allow about 20 – 25 years for the tilled yet unseeded land to be reforested naturally. Their language is not related to any outside the general area and their culture is unlike that of the other Southern Highlands tribes. They have some limited trade with those neighboring tribes, exchanging the Hewa's animal skins, spears and nose rings for shells and boars. They make paintings on flat sheets of bark but these paintings, done for magical purposes, are never traded or exhibited.They are one of the few tribes in the fringe highland area never to have practised cannibalism, perhaps because their belief associates cannibalism with dangerous sorcerers. It is not uncommon for women accused of witchcraft to be killed. The Hewa have been extensively studied by anthropologists Lyle Steadman and William H. Thomas. The Hewa were also featured on the final episode of the Discovery Channel program Survivorman and in a later program called Beyond Survival.
The Hewa were one of the last peoples in Papua New Guinea to come into contact with the outside world. Many Hewa people north of the Lagaip River were uncontacted until 1975, when the Officer in Charge at Kopiago braved arrow attacks and led what probably was Papua New Guinea's last "first contact patrol", bringing steel axeheads to an area where stone axeheads were the norm. Even south of the Lagaip, many Hewa families were first contacted by Steadman in the late 1960s. He found that the typical family (which averaged seven people) lived in relative isolation from other families, with their nearest neighbors living half a mile away through dense jungle. After darkness envelops their isolated realm, the families often stay awake for hours, the men telling myths and stories around a fire, and the women, gathered around a separate fire in their section of the house, often interrupting with well-timed quips and jests. Sometimes, historical tales are sung or chanted.In recent decades, change has come to the region. Many Hewa wear Western clothes instead of the traditional grass skirts; though the majority still live in scattered households, many now live in villages and travel agencies fly tourists to newly constructed airstrips to visit them.

View More On Wikipedia.org
  1. GoldDhahabu

    Biashara ya hewa ya ukawa ina manufaa kwa mtu mwenye shamba dogo la miti?

    Nina shamba la ekari 21 mkoani Kigoma. Mwezi uliopita, nilimwachia mtu mmoja jukumu la kupanda miti kuzunguka mpaka wa shamba. Nilipokuja kulikagua hivi karibuni, nilikuta kaotesha tofauti na nilivyomwelekeza. Kakata eneo la ekari tatu na kufanya shamba la miti. Sikumgombeza. Wala...
  2. Tlaatlaah

    Kama hali ya hewa itaendelea hivi, itakua ni neema kwa wakulima wakati wa mavuno

    katika maeneo mengi humu nchini hususani mashambani, hali ya hewa ni mwanana na inatia moyo sana kwa wakulima, huenda hii ikawa ni ishara ya matumaini kwa wakulima wa mazao mbalimbali humu nchini.. karibu jumuaya nzima ya Africa inafahamu, Malawi wana uhaba wa chakula, Burindi na Sudani Kusini...
  3. Kiboko ya Jiwe

    Hivi ni ujinga kiasi gani mtu anapaswa kuwa nao mpaka atume pesa kwa mtu au kampuni hewa?

    Karibu kila wiki nakutana na matapeli wa mtandao kwa style tofauti. Huwa nawaacha mpaka waone pesa hizi hapa ndipo nawachana kuwa njia zao za utapeli ni za kitoto hivyo wanapaswa wabadili njia au waache hiyo kazi haramu wamrudie Mungu. Wengi wanaishia kunitukana na kuniblock maana nakuwa...
  4. GENTAMYCINE

    Leo nimepekuapekua Video Clips za Hayati Magufuli nikakutana na ile ya Yule Mkaguzi wa Gereza la Butimba aliyechafua Hali ya Hewa

    Alimwambia Hayati Magufuli kuwa anamshukuru yule Mfungwa Albino Kumsemea/ Kumchongea kwake ( akiwa Rais wa JMT) kwani KUMEMUINUA MNO Kiumaarufu na Kiutendaji. Yaani nimejikuta NACHEKA sana hasa Uso wake ulivyokuwa Mkavu, Sura Ngumu huku akiomba Msamaha kama Mtoto Mdogo zilizokuwa zikisindikizwa...
  5. Lady Whistledown

    Kagera: Afisa Manunuzi Muleba ashtakiwa kwa Manunuzi Hewa

    Machi 15, 2024 katika Mahakama ya Wilaya Muleba mbele ya Mh Lilian Mwambeleko, imeamriwa kesi ya Jinai namba 3/2024. Kesi hii ni Jamhuri dhidi ya Bw. Masanja Igolola Afisa Manunuzi VETA, Ndorage pamoja na Denis Rwegalulila Mzabuni. Walishtakiwa kwa kosa la Hongo katika Manunuzi ambapo...
  6. K

    Naomba kuelimishwa kuhusu utabiri wa hali ya hewa

    Naomba nielemishwe kuhusu utabiri unaotolewa na Watalaam. Anaposema kuwa eneo fulani watapata mvua ya WASTANI na juu ya WASTANI ana maana gani?.
  7. w0rM

    Angalizo: Mashine ya mafuta inapotoa hewa badala ya mafuta

    Wanajamvi habari za muda huu, Kituo kimoja cha mafuta huko nchi za wenzetu kimeshtukiwa tabia yake ya wizi wa mafuta katika kuwajazia watu mafuta kwenye gari ambao mashine ya mafuta inahesabu huku mafuta yanayoingia ni kidogo sana. Kuna kipindi Dar es Salaam hapa kulikuwa na mtingo kama huu...
  8. Heparin

    Thomas Sabaya: Mkichagua Wapinzani Serikali haitawaletea Maendeleo

    Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Arusha Thomas Ole Sabaya amewaonya wakazi wa Longido kutokuchagua wapinzani kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa, kwani serikali haitopeleka huduma muhimu kwenye maeneo yatakayokaliwa na viongozi wasiotokana na CCM. Sabaya aliyekuwa akizungumza...
  9. MK254

    Mbunge ataka wageni wa Kuwait, walipie ushuru wa hewa wanayopumua

    Hii ingesemwa uzunguni, mngesikia makelele hadi kuzimu...hawa waarabu ni makatili sana na mnavyopenda kuwaabudu huku mkivaa mikanzu na kuotesha mindevu mfanane nao... Kuwait MP calls for foreign workers to be charged “for the air they breathe” Safa Al-Hashem is among a group of MPs calling for...
  10. Carlos The Jackal

    Mamlaka hali ya hewa, husikeni zaidi kwenye Ziara ya Viongozi wa Juu!!!

    Naona viongozi wanajifanyia fanyia tu Ziara , matokeo yake ,Mikutano mingi ya Viongozi imeenda Kombo kisa MVUA. Au hatuna hakika na tabiri zetu ?
  11. Webabu

    Marekani imeshaamua kupiga Syria na Iraq. Inasubiri hali ya hewa tu iwe safi ianze kazi

    Raisi Biden wa Marekani na wasaidizi wake wametangaza kuwa mipango yote ya kupiga vituo vya Iran ndani ya Syria na Iraq imekamilika.Kinachosubiriwa ni hali ya hewa tu iwe rafiki kwa kile walichodai kukwepa kusababisha madhara kwa raia. Na sisi walimwengu tunasubiri tuone athari ya vita hivyo na...
  12. Msanii

    Februari 1, 2024, ahadi ya SGR kuanza safari yayeyuka. CCM waongo sugu

    Leo ni tarehe Mosi Februari 2024. Tuliambiwa na Mhe. Waziri Mbarawa kuwa safari za treni mwendokasi kati ya Dar na Moro kuanza January 24..... Je, tuendelee kuwaamini CCM kuwa wana nia njema na nchi hii? Wapo bize kupitisha miswada inayokandamiza haki za raia. Na hawajali changamoto...
  13. Hismastersvoice

    Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) mko wapi?

    Siku zote hali ya joto imekuwa ikipanda lakini hatuoni utabiri wenu, mmekuja na kiwango cha joto 33°C ambacho ni cha muda mrefu, tupeni kiwango sahihi. Hii ni tarehe 1 January 2024.
  14. GENTAMYCINE

    Mbwatukaji Mkurupukaji Wao leo Saa 4 Kamili Asubuhi anaenda Kuchafua Hali ya Hewa Lumumba

    Tujiandaeni kwa Maboko yake ya kama Kawaida kutokana na Kukurupuka Kwake Kiasili japo GENTAMYCINE natamani mno azungumzie pia kuhusu Kero ya Kukatikakatika kwa Umeme nchini kwa muda wa Wiki Tatu kama siyo Mwezi sasa.
  15. Mto Songwe

    Futa sherehe za Tanganyika hewa Desemba 9

    Kwa nini Watanganyika wote mamilioni kwa mamilioni tunageuzwa wendawazimu na chama cha CCM kwa kutuchezea mchezo wa danganya toto ? Haiwezekani tunambiwa Desemba 9 ni sherehe za uhuru wa Tanzania bara huu ni upumbavu, Tanzania bara ni uchafu gani huu ? Hili neno takataka linaloitwa Tanzania...
  16. Chachu Ombara

    Wanamibia wang'aka baada ya watoto wanne wa Rais kujumuishwa kwenye ujumbe wa Serikali kwenye mkutano wa hali ya hewa COP28

    Baadhi ya WaNamibia wamekasirishwa baada ya kujua kwamba watoto wanne wa Rais Hage Geingob walijiunga na ujumbe wa serikali kwenye mkutano wa hali ya hewa wa COP28. Walikuwa miongoni mwa watu sita kutoka familia ya rais iliyoorodheshwa kama sehemu ya ujumbe wa Namibia huko Dubai. Ofisi ya Rais...
  17. R

    Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) tunaomba maelezo juu ya hili

    Baada ya mvua kubwa zilizoharibu kila zao lililopandwa, sasa zimetulia. Ikifika saa 8:30 mpaka saa 9:00 jioni, kunakuwa na wingu zito sana kama vile mvua kubwa itanyesha sasa hivi. Kila mtu anakimbizana kuwahi kujikinga na mvua. All of a suden after 30 minutes /1 hr or so, wingu zito...
  18. Nsanzagee

    Rais Samia situka, vifo vya watoto na wajawazito ni kama kiama sasa. Sifahamu iwapo ni hali ya kimabadiliko ya hali hewa

    Je, ni mazoea na uzembe unaofanyika sector ya afya? Kuna kitu kimeachwa? Ambacho kilisaidia huko nyuma kuokoa maisha ya mtoto na wajawazito? Je, Ni mabadiriko ya hali ya hewa ambayo inahitaji uchunguzi wa haraka kubaini ni nini chanzo cha vifo hivi kwa sasa? Mh waziri wa Afya, Embu tunaomba...
  19. Crocodiletooth

    Naomba kujuzwa kwa anayefahamu biashara ya hewa ukaa

    Naomba kujuzwa kwa anayefahamu biashara ya hewa ukaa atujuze hapa
  20. benzemah

    Serikali inatarajia kupata dola za Marekani bilioni 20 kutokana na biashara ya hewa ya ukaa

    Serikali inatarajiakupata dola za Marekani bilioni 20 sawa na takribani Shilingi trilioni 50 kutokana na biashara ya hewa ya ukaa. Waziri wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki amesema yapo mazungumzo yanaendelea kati ya serikali na kampuni 22 kwa ajit ya biashara hiyo. Alisema hayo Dar es...
Back
Top Bottom