Digital chemistry, au kemia ya kidijitali, inahusu matumizi ya teknolojia ya digitali kuchunguza na kuelewa mifumo ya kikemia. Hii inaweza kujumuisha utumiaji wa programu za kompyuta, algorithms, na teknolojia zingine za digitali kusaidia katika uchambuzi wa kimatibabu, maendeleo ya dawa, na...
Wakuu naomba msaada wenu.
Natafuta mzani mdogo wa battery wa kupima uzito kwa ajili ya mgogwa kwa jina la kibiashara inaitwa bathroom scale.
Tafadhali nisaidie kunijulisha ni maduka yapo ya nauza hizo bidhaa hapa Kariakoo au hapa Dar es Salaam.
Position: Digital Inclusion Expert
Grade: P2
Type of Contract: Fixed-term (Non-Core) Appointment
Duration: Until 31 December 2025
Organizational Unit: Policy, Regulation and Markets Directorate (DPRM) Digital and Trade Policy
Duty Station: Bern Switzerland
Schedule date for taking up...
Position: Knowledge Management, Communications, and Digital Learning Specialist
Responsibilities include:
• Implementing the project communications strategy, ensuring production of quality of project communications and marketing media, and providing editorial assistance and quality control...
Position: Digital Implementation and Support Officer
Reporting to: Assistant Manager – Digital Product Design and Support
Department: Information Technology and Digital Transformation
Region: Dar es Salaam
Hours of Work: 8am – 5pm Monday to Friday. 8am – 1pm Saturdays. Additional hours as...
Kalibia mwezi mzima sasa naona matangazo mengi ya TPA kwenye digital platforms hasa hasa Google Ads(Youtube, search engine, e.t.c).
Nashindwa kuelewa, haya matangazo ni ya nini? Na mbona hatujawahi ona matangazo yenu kipindi cha nyuma?
Hata kama tunaitaji mwekezaji. Huyu DP World hawezi kuwa...
Mpango wa kuanza kutumia jamii namba (unique number) kwa ajili ya utoaji wa huduma nchini katika ujenzi wa mfumo wa utambulisho wa kidigitali kufikia uchumi wa kidijitali
Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WHMTH) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...
Digital Marketing - moja ya mada zinazotajwa sana haswa katika fursa za mtandaoni. Wafanyabiashara wengi wanasifu kuwa ni njia muhimu sana katika ukuzaji wa biashara. Kitu ambacho vyuo vingi vimeanza mafunzo ya kozi za digital marketing, lakini hii haimaanisha ni lazima uwe na college degree...
Kuanzia jana na leo , kuna kikao kikubwa sana kinachofanyikia Zanzibar ,kilichoratibiwa na wizara ya TEHAMA chini ya waziri Nape Nnauye Pamoja na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar.
Jumuia ya madola inafanyia kikao hicho kwa mara ya kwanza nchini Tanzania , haya yakiwa matunda ya jitihada za...
Salaam wakuu, poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale katika hali ya kuhakikisha kinapatikana chochote kitu.
Turudi kwenye mada,
Umeshawahi kudukuliwa au kusikia mtu amedukuliwa kimtandao? Miongoni mwa sababu zinazoweza kuchangia kuhatarisha usalama wako wa kimtandao ni nyayo zako katika...
“Let me issue and control a nation’s money and I care not who writes the laws.” - Mayer Amschel Rothschild
Central Bank Digital Currency (CBDC) will end human freedom. Don’t fall for the assurances of safeguards, the promises of anonymity and of data protection. They are all deceptions and...
Nadhani hawa waandishi wakiji-organise, wanaweza kuunda online TV nzuri tu, wasikariri kuajiriwa, tena wametapakaa nchi nzima, na Wana connection ya vyanzo vya habari
Habari zenu waheshimiwa! Natangaza huduma zangu zifuatazo;
NB: Sina ofisi, kwasasa natoa huduma kidijitali. Ila kwa waliopo DSM wanaweza kuonana na mimi (ikiwa watahitaji) Kimara Temboni maana ndio makazi yangu.
Huduma zangu;
Natengeneza PDF ya document yoyote, iwe kitabu, cheti, cv...
In mid-November, while the whole world was focused on the Ukraine crisis, the US midterms or whatever other “big story” the media decided was more important, a truly momentous shift took place in the global financial system. It might seem like a small step on the surface, but it has the...
kwenye audio kuna option ta 32 kbps, 64 kbps, 128 kbps, 320 kbps na hii DD+ atmos 768 kbps.
Nimevutiwa na namba kubwa, laptops zetu hizi za kawaida kuna haja ya kushusha huo mzigo wenye 768 kbps ??
Naam, ni mwendo wa ma uongo na ma propaganda kwa kwenda mbele toka utopoloni, lakini kwa kudra za Mungu tumejipanga kuwaumbua wasambaza propaganda za uongo, may God help us!
Ona huyu afisa wa UTO SC anadanganya mchana kweupe hadhar.ani, shame on you Mangi Shayo
Jamani hivi ni wehu au ushamba wa haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? Yataakisi vipi sasa? Mwishowe sasa mtasema hadi tochi za simu zitawashwa!
Meneja wa kitengo wa timu unapotezea tu watu hela zao, wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua...
Priva Abiud (Privaldinho) - Ameteuliwa kuwa msimamizi mkuu wa Digitali na Maudhui (Digital Manager)
Karibu kwenye familia ya Mabingwa @privaldinho
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Job Title: Relationship Manager; Digital (2 Post)
Reporting to: Senior Manager-Transanctional Banking
Location: Head Office
Job Description
Responsible for business growth and sales of digital solutions to clients including Government, Corporate, Institutions, and other business segments in...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.