digital

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkurugenzi Wa Mashirika

    Ujio wa kozi ya Digital Chemistry

    Digital chemistry, au kemia ya kidijitali, inahusu matumizi ya teknolojia ya digitali kuchunguza na kuelewa mifumo ya kikemia. Hii inaweza kujumuisha utumiaji wa programu za kompyuta, algorithms, na teknolojia zingine za digitali kusaidia katika uchambuzi wa kimatibabu, maendeleo ya dawa, na...
  2. R

    Anayejua inakouzwa mizani midogo ya digital (Bathroom scales) Sehemu za Kariakoo

    Wakuu naomba msaada wenu. Natafuta mzani mdogo wa battery wa kupima uzito kwa ajili ya mgogwa kwa jina la kibiashara inaitwa bathroom scale. Tafadhali nisaidie kunijulisha ni maduka yapo ya nauza hizo bidhaa hapa Kariakoo au hapa Dar es Salaam.
  3. Jamii Opportunities

    Digital Inclusion Expert at Universal Postal Union September, 2023

    Position: Digital Inclusion Expert Grade: P2 Type of Contract: Fixed-term (Non-Core) Appointment Duration: Until 31 December 2025 Organizational Unit: Policy, Regulation and Markets Directorate (DPRM) Digital and Trade Policy Duty Station: Bern Switzerland Schedule date for taking up...
  4. Jamii Opportunities

    Knowledge Management, Communications, and Digital Learning Specialist at Chemonics International

    Position: Knowledge Management, Communications, and Digital Learning Specialist Responsibilities include: • Implementing the project communications strategy, ensuring production of quality of project communications and marketing media, and providing editorial assistance and quality control...
  5. Jamii Opportunities

    Digital Implementation and Support Officer at Exim Bank Tanzania

    Position: Digital Implementation and Support Officer Reporting to: Assistant Manager – Digital Product Design and Support Department: Information Technology and Digital Transformation Region: Dar es Salaam Hours of Work: 8am – 5pm Monday to Friday. 8am – 1pm Saturdays. Additional hours as...
  6. M

    Matangazo mengi ya TPA kwenye digital platforms ni ya nini?

    Kalibia mwezi mzima sasa naona matangazo mengi ya TPA kwenye digital platforms hasa hasa Google Ads(Youtube, search engine, e.t.c). Nashindwa kuelewa, haya matangazo ni ya nini? Na mbona hatujawahi ona matangazo yenu kipindi cha nyuma? Hata kama tunaitaji mwekezaji. Huyu DP World hawezi kuwa...
  7. J

    Mpango wa kuanza kutumia jamii namba (namba ya kipekee) kufikia uchumi wa kidigitali

    Mpango wa kuanza kutumia jamii namba (unique number) kwa ajili ya utoaji wa huduma nchini katika ujenzi wa mfumo wa utambulisho wa kidigitali kufikia uchumi wa kidijitali Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari (WHMTH) kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...
  8. Tanzanite Digital Agency

    Jinsi Ya Kuanza Digital Marketing 2023, Anza Leo Fursa Hii Ya Mtandaoni

    Digital Marketing - moja ya mada zinazotajwa sana haswa katika fursa za mtandaoni. Wafanyabiashara wengi wanasifu kuwa ni njia muhimu sana katika ukuzaji wa biashara. Kitu ambacho vyuo vingi vimeanza mafunzo ya kozi za digital marketing, lakini hii haimaanisha ni lazima uwe na college degree...
  9. olimpio

    Rais Mwinyi aongoza kikao cha jumuiya ya madola kinafanyika zanzibar kuhusu mageuzi ya kidigitali

    Kuanzia jana na leo , kuna kikao kikubwa sana kinachofanyikia Zanzibar ,kilichoratibiwa na wizara ya TEHAMA chini ya waziri Nape Nnauye Pamoja na serikali ya mapinduzi ya Zanzibar. Jumuia ya madola inafanyia kikao hicho kwa mara ya kwanza nchini Tanzania , haya yakiwa matunda ya jitihada za...
  10. KJ07

    Zifahamu digital footprints (nyayo za kidigitali)

    Salaam wakuu, poleni kwa mihangaiko ya hapa na pale katika hali ya kuhakikisha kinapatikana chochote kitu. Turudi kwenye mada, Umeshawahi kudukuliwa au kusikia mtu amedukuliwa kimtandao? Miongoni mwa sababu zinazoweza kuchangia kuhatarisha usalama wako wa kimtandao ni nyayo zako katika...
  11. Mathanzua

    Central Bank Digital Currency (CBDC) is the endgame. But do you know the implications to humanity? Read more here

    “Let me issue and control a nation’s money and I care not who writes the laws.” - Mayer Amschel Rothschild Central Bank Digital Currency (CBDC) will end human freedom. Don’t fall for the assurances of safeguards, the promises of anonymity and of data protection. They are all deceptions and...
  12. chiembe

    Baada ya startv kusimamisha watangazani wake, hivi hao waandishi wameshindwa kuja na digital platform yao kama Millard?

    Nadhani hawa waandishi wakiji-organise, wanaweza kuunda online TV nzuri tu, wasikariri kuajiriwa, tena wametapakaa nchi nzima, na Wana connection ya vyanzo vya habari
  13. Ibudigital

    Ibu Digital: Natoa huduma zifuatazo kidijitali!

    Habari zenu waheshimiwa! Natangaza huduma zangu zifuatazo; NB: Sina ofisi, kwasasa natoa huduma kidijitali. Ila kwa waliopo DSM wanaweza kuonana na mimi (ikiwa watahitaji) Kimara Temboni maana ndio makazi yangu. Huduma zangu; Natengeneza PDF ya document yoyote, iwe kitabu, cheti, cv...
  14. Mathanzua

    And So It Begins: Digital Currency Becomes a reality in our lifetime.

    In mid-November, while the whole world was focused on the Ukraine crisis, the US midterms or whatever other “big story” the media decided was more important, a truly momentous shift took place in the global financial system. It might seem like a small step on the surface, but it has the...
  15. NetMaster

    kwenye laptop ni kiwango kipi cha audio kinatosha kwenye kuangalia movie kati ya 768 kpbs, 320 kbps, 128 kbps au 64 kbps ?

    kwenye audio kuna option ta 32 kbps, 64 kbps, 128 kbps, 320 kbps na hii DD+ atmos 768 kbps. Nimevutiwa na namba kubwa, laptops zetu hizi za kawaida kuna haja ya kushusha huo mzigo wenye 768 kbps ??
  16. N

    AIBU: Digital Manager wa Yanga adanganya Mayele kuitwa Mfalme wa Dhahabu na Canal Sports

    Naam, ni mwendo wa ma uongo na ma propaganda kwa kwenda mbele toka utopoloni, lakini kwa kudra za Mungu tumejipanga kuwaumbua wasambaza propaganda za uongo, may God help us! Ona huyu afisa wa UTO SC anadanganya mchana kweupe hadhar.ani, shame on you Mangi Shayo
  17. N

    Ujinga uliopitiliza wa Digital Manager wa Yanga Priva Mangi Shayo

    Jamani hivi ni wehu au ushamba wa haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? Yataakisi vipi sasa? Mwishowe sasa mtasema hadi tochi za simu zitawashwa! Meneja wa kitengo wa timu unapotezea tu watu hela zao, wayanunue waje wayawashe washindane na mwanga wa jua...
  18. BARD AI

    Privaldinho Abiud ateuliwa kuwa Digital Manager wa Yanga

    Priva Abiud (Privaldinho) - Ameteuliwa kuwa msimamizi mkuu wa Digitali na Maudhui (Digital Manager) Karibu kwenye familia ya Mabingwa @privaldinho #DaimaMbeleNyumaMwiko
  19. Jamii Opportunities

    Relationship Manager; Digital at CRDB Bank

    Job Title: Relationship Manager; Digital (2 Post) Reporting to: Senior Manager-Transanctional Banking Location: Head Office Job Description Responsible for business growth and sales of digital solutions to clients including Government, Corporate, Institutions, and other business segments in...
  20. anonymousbeing

    Msaada: Namna ya kufanya installation ya PS4 digital

    Naombeni msaada mtu anieleze jinsi ya kufanya bishara ya kuuza ps4 na ps5 digital games bila kujailbreak
Back
Top Bottom