Marekani watu weusi wamepaharibu vibaya SEMA wazungu wanatulia tu Ila Kuna muda wazungu watachoka Itakua serious business.
Kuna beach moja USA yangu 2007 black walikua wakiingia ilikua ni vurugu tu wanaleta wazungu wanasema isiwe tabu tunawachia na kweli wamewachia iyo beach zaiv ni niga tu...
Umewahi kuona hurrier ya kijani au njano.
Au umewahi kuona Land cruiser V8 new modeli ya njano.
Kwa kifupi Tanzania sijawahi kuona gari ndogo za kijani.na njano
Moja ya inch Bora kabsa kichwani haswaa kwenye sayansi na hesabu ni south Korea.
.
Sadly ni kwamba wanaziliana kwa kiwango kidogo sana hii inapelekea kukosa watu bora kwenye gunduzi mbalimbali hasa za kisayansi
Science mathematics na innovations ziko kwenye risky sana kupoteza hawa jamaa...
Mzee tumia logics and facts
For Tanzania Kuna wanaume 30m na wanawake 31.7m simply hio ndo ratio.
Chukulia kila mwanaume aoe wanawake wawili kwa miaka then what Will happen next. Simply ni shortage of female finally shortage of marriage
Ndege za abiria haziruki layer stratosphere
Manake ndege zote za abiria zinaruka chini ya layer ya stratosphere. Ambapo Kuna oxygen 21%
Ndege inavuta hewa ya oxygen kutoka nje inaingia kwenye Kebin abiria wanavuta kama kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.