Leo hii ukienda hospitali za seriakali afu ndo ujauzito wa kwanza ukitoka upasuaji haujakuhusu basi mshukulu Mungu.
Enyi watu wa afya wahurumieni akina mama upasuaji usio wa lazima ni faida kwenu sawa., kwa kuwa mnapata posho na uzoefu pia ila madhara ni makubwa kwa wamama majumbani kwao...
Naamini uzima mnao nyote, kama si hivyo basi pole kwa wewe ambaye hauko sawa kiafya na mungu akujalie upone mapema.
Nina shauku na nina sauti safi kwa kutoa matangazo katika vifaa vya muziki [sauti]
Sasa juzi juzi nikajalibu kutafasri crip moja ya kizungu, hakika niliipatia kiasi japo sio...
Natumai mko vizuri kiafya, nina kiduka cha bidhaa mchanganyiko kama dona, mchele, mayai, pipi mixer mafuta nauza rejareja na mungu anajalia angalau riziki kidogo naipata.
Sasa kuna ndugu nashirikiana nao maana mie ni kijana mwepesi leo utanikuta dukan kesho namwachia shemeji wa kiume apige...
habari waungwana? mwezi wa 12/2023 mama ang alisafiri Musoma kwenda Chato Geita, alipofika mwanza stand akagundua kua tayari kapoteza pochi yake ambayo ndani ilikuwa na kadi ya mpiga kura, nida , bima ya afya na fedha kadhaa.
sasa leo kanitumia baadhi ya taarifa za hivyo vilivopotea akitaka...
Natumai nyote mko poa.
Mke wangu kawa mjamzito yapata wiki 3 mimi na yeye tunavutana akidai ujauzito umekimbilia kifuani na ipo dawa ma mkwe anataka alete ivaliwe kuzunguka kifua km ilizi vile et ndo inashusha mimba kuludi tumboni!
Je, hii ni kweli?
Je, kuna shida gan asipotumia hiyo dawa...
Habari, siku nne zimepita tangu nipate jiko(mke)
Siku ya kwanza tumeshiliki bila shida yoyote, siku iliyofata uke ukabana kiasi kwamba hata vidole viwili haviwezi kupita, tukajipa moyo kesho ake tukaweka hadi mate lakn hakuna kitu
tumewashilikisha mashangazi wao pia hawaelewi nini cha kufanya...
Habari wapendwa?
Kama mada ilivo hapo juu yakuwa tuna baadhi ya wahudumu wa mahabara akikuhudumia haweki jina lake kabisa pale panapotakiwa jina lake, je huu ni wizi pia au kuna nini nyuma ya pazia?
Nawasilisha
Habari zenu wanachama? Nina imani yakuwa mpo salama
Iko wazi na wengi tumewahi kuona jinsi ambavyo buibui anajitengenezea wavu(makazi) yake bila shida kabisa.
Sasa nikifikilia zile nyuzi zinavopatikana ndo naanza kukuna bichwa langu kama madenge?
SWALI
1-ule uzi anautoa wapi?
2-upo mweupe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.