Msaada(ushauli) kwa kupotelewa na vitambulisho

under timer

JF-Expert Member
Dec 25, 2021
279
407
habari waungwana? mwezi wa 12/2023 mama ang alisafiri Musoma kwenda Chato Geita, alipofika mwanza stand akagundua kua tayari kapoteza pochi yake ambayo ndani ilikuwa na kadi ya mpiga kura, nida , bima ya afya na fedha kadhaa.
sasa leo kanitumia baadhi ya taarifa za hivyo vilivopotea akitaka niende polisi uku mwanza kuwauliza kama wamepata kuviona hivo vitambulisho. NB mimi nipo Mwanza yeye yupo Musoma. HOFU YANGU:)
1-je ntasikilizwa na polisi ikiwa si mmiliki wa kilichopotea?
maoni yenu tafadhali.
 
sidhani kama kuna tatizo katika hilo,japokuwa sikuhizi vitambulisho huwa mtu akiokota anakitupa tena na wala hapeleki katika kituo cha polisi wala mamlaka husika iliyotoa kitambulisho,japo unaweza kumshauri kuanza utaratibu wa kupata loss report ili aanze mchakato wa kufuatia kupata Duplicate ya vitambulisho husika
 
sidhani kama kuna tatizo katika hilo,japokuwa sikuhizi vitambulisho huwa mtu akiokota anakitupa tena na wala hapeleki katika kituo cha polisi wala mamlaka husika iliyotoa kitambulisho,japo unaweza kumshauri kuanza utaratibu wa kupata loss report ili aanze mchakato wa kufuatia kupata Duplicate ya vitambulisho husika
nashukulu sana mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom