Search results

  1. Mundele Makusu

    Msaada wa kuweza kufanya recover wa taarifa katika simu yangu

    Habarini ndugu zangu Niende kwene mada,nina simu yangu ambayo kutokana na uwezo wake kuwa mdogo niliamua kununua memory card Ili niweze kuongeza storage katika simu yangu.Nilipoweka hio memory card katika simu yangu niliiset kama internal storage hivyo baadhi ya taarifa kama picha...
  2. Mundele Makusu

    Ukweli mtupu usiopingika kuhusu maisha

    Katika maisha ya leo ukijionea huruma, utakuja kutia huruma. Ukikosa nidhamu, utakuwa kuadabishwa na walimwengu Ukijidanganya utakutana na ukweli muda ukiwa umepita. Tujifunze na kutia maanani yafuatayo: 1.Thamani yako ndo inaamua mkate unaoingiza. Ikiwa chini, lazima ipande kubadili matokeo...
  3. Mundele Makusu

    Tujifunze kitu kikubwa hapa

    Pichani:Muanzilishi wa KFC(Kentury Fried Chicken) HISTORIA YAKE.. Akiwa na miaka 5 Alifiwa na Baba yake... Akiwa na miaka 16 aliamua kuacha shule. Akiwa na miaka 17 tayari alikua kapoteza ajira 4. Akiwa na miaka 18 aliamua kuoa. Akiwa na miaka 19, alifanikiwa kuwa Baba. Akiwa na miaka 20...
  4. Mundele Makusu

    Mashindano ya uvuvi ni balaa

    Katika Nchi ndogo iliyopo Ulaya iitwayo Montenegro, mashindano ya kumtafuta Mtu mvivu zaidi hufanyika kila mwaka na mwaka huu washindani saba wamejilaza kwenye mikeka wakipambania kombe hilo katika jitihada za kuvunja rekodi ya awali ya saa 117 iliyowekwa mwaka jana katika kijiji cha mapumziko...
  5. Mundele Makusu

    Naomba kujuzwa simu nzuri za kiswaswadu

    Wakuu humu ndani kwema. Naomba kuuliza kwa yeyote ambaye anafahamu simu nzuri ya kiswaswadu yenye uwezo wa kukaa laini tatu.
  6. Mundele Makusu

    Simu janja nzuri ya kutumia

    Wakuu humu jf kwema Naomba ushauri wa simu gani janja (Smart phone) nzuri yenye uwezo mzuri wa kupiga picha,uwezo mkubwa wa kuhifadhi(storage capacity) na uwezo mkubwa wa kukaa na chaji kwa kampuni yoyote ile, ikipendeza bei zake madukani na changamoto za simu hiyo. Bajet yangu ni 250k...
  7. Mundele Makusu

    Nawasilisha

    Wapendwa katika bwana habari zenu, naomba ushauri wa kozi gani nzuri Kati ya bachelor of science in economic policy and planning ((inayotolewa mzumbe))VS agriculture economics and Agri business((inayotolewa sua)). Na pia UFAfanuzi kwamba kozi hizi zinahusiana na nn,soko la ajira pia baina ya...
  8. Mundele Makusu

    Ipi bora kati ya Bachelor of Science in Economic policy and planning (Mzumbe) na Agriculture Economics and Agribusiness (SUA)?

    Best AEA for those courses,but it depends also with what you like, connection iliopo for such course.. EPP imebase sana kwene sera Sana(pure mchumi)) but AEA imebase kwene kilimo na biashara #kila la kheri kwa watakao soma kozi husika MUNGU awatangulie
  9. Mundele Makusu

    Msaada

    Habari wakubwa,mm ni kijana niliehitimu kidato cha sita kuna kozi ya bachelor of science in economics policy and planning(EPP) ninaomba ushauri wa mbinu,mawazo kuhusu kozi hii.na kazi gani anazoweza fanya kijana anaesomea kozi hii???
Back
Top Bottom