Msaada wa kuweza kufanya recover wa taarifa katika simu yangu

Mundele Makusu

JF-Expert Member
Sep 28, 2021
884
1,308
Habarini ndugu zangu

Niende kwene mada,nina simu yangu ambayo kutokana na uwezo wake kuwa mdogo niliamua kununua memory card Ili niweze kuongeza storage katika simu yangu.Nilipoweka hio memory card katika simu yangu niliiset kama internal storage hivyo baadhi ya taarifa kama picha, document,miziki zilihamia huko.

Baada ya muda fulani niliiondoa memory card ghafla na nilipoirejesha taarifa zangu muhimu sikuweza kuziona tena.

Hivyo wataalamu wa hiki kitengo naomba msaada wa mawazo Ili nipate suluhisho la tatizo langu.
 
Una maana gani kusema uliiondoa ghafla?

Anyways, umejaribu kuiconnect kwenye laptop via card reader uone itadisplay nini?
Yaani tuchukulie mfano una laini ya simu umeitoa mara Moja uliopoona haijakaa vizuri alafu ukairejesha (Ghafla ndivyo nilivofanya kwenye memory card yangu)

Kwenye card reader niliconnect inaonesha kuna space inavitu flani ila havionekani.

Na simu kwa sasa Kuna space ukiconnect na PC inaonekana Haipo kama GB 7 hivi from GB 32
 
Yaani tuchukulie mfano una laini ya simu umeitoa mara Moja uliopoona haijakaa vizuri alafu ukairejesha (Ghafla ndivyo nilivofanya kwenye memory card yangu)

Kwenye card reader niliconnect inaonesha kuna space inavitu flani ila havionekani.

Na simu kwa sasa Kuna space ukiconnect na PC inaonekana Haipo kama GB 7 hivi from GB 32
Jaribu kutumia EaseUS software. Inaweza kukusaidia kurecover hivyo vitu.
 
Imegoma hapoo
Pole, fromat then tumia recocery tool kwenye computer kurudisha data ulizofuta. kama ni picha na video chache tumia Recuva ni free na iko vizuri. Kama Data ni nyingi tumia Paid Software unaweza zipata cracked.

NB; Omba Mungu kusiwe na memory sector ambazo ziko overwrited, itakuwia ugumu kwa njia za kawaida.
 
Back
Top Bottom