Baadhi ya wadada nawashangaa, hawasubiri mpaka uwatongoze ndo waombe hela, utakuta mdada unafanya nae kazi sehemu moja, huna mazoea nae kihivyo, hujawahi kumuomba namba, hujawahi kumtongoza, wala kuonesha nia ya kumtongoza, zaidi mkikutana ni chit chat ya hapa na pale, kama mtu unavoweza kuongea...
Habarini,
Unakutana na mdada unamuona mzuri, na personality yake inaridhisha kiasi, unaanza kumtongoza (anakubali) mnakua kwenye courtship phase, jinsi mnavokaa na kuongea nae miezi kadhaa inapita, jinsi muda unavoenda, interest yako kwake inashuka (hapo hujala mzigo) mwishowe mtu unaanza...
Naona umeandika haya baada ya kushiba ugali maharage. Nyie ndo watu ambao mkifanikiwa mnaona ambao hawajafanikiwa ni wajinga. Maliza chuo, njoo mtaani akili yako ikusaidie kutoboa, ndo uje uandike sera zako hapa Andrew Tate
Hujanielewa, mimi siwezi anzisha vita/uadui na mdada alienikataa, shida ni emotions zangu binafsi baada ya mimi kukataliwa, kukataliwa ni aibu na kunauma haswa haswa kama mdada alienikataa akiwaambia rafiki zake wa kike, daah, hata kama mmoja wa hao marafiki zake wa kike alikuwa ananipenda...
Habarini,
Katika harakati za kutafuta mkate wa kila siku, unaweza jikuta unafanya kazi ofisi moja na mdada mrembo, she is young, hana mtoto, hajaolewa, unafanya nae kazi ofisi moja, unarusha ndoano, mbaya zaidi kimoyomoyo unamchukulia serious, kipindi chote ulichokaa nae hapo ofisini, kwa tabia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.