Mabeberu hayajui bando limepanda bei, hayaelewi ni kwa namna gani umehustle kuipata hiyo connection, wenyewe ni sekunde tu haooSekunde ya 36 mabeberu hao... Wakati video ina 11mins.
Hiyo ya chupi ni kweli, jamaa yangu ni daktari wa binadamu walikuwa na project za Usaid Lindi, basi mke wake akawa anakwenda kumtembelea na kurudi Dar baadhi ya nguo zake anaacha kwenye geto la mshkaji.Na angekuta Bunda la hela angesemaje sijui
Yaani wanawake kuishi nao inataka ujifanye zuzu tu maana hata chupi zake anaweza kusema umekuja nazo wewe 😄
Nyege hizo kakumisi! Piga pu..mbu mkuu.Wakuu.....
Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa.
Ipo hivi.....
Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi.
Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya ndoa na mke wake, so kuna mambo kadhaa nilijifunza pale nami nikaondoka nayo.
Sasa skumoja nikiwa downtown mitaa ya posta, nikatimba kwenye duka moja lilikua lina maua mengi mazuri nikaona si-mbaya nikachukua moja nimpelekee waifu (nami nionekane Jigga kwa Bionce).
Siku zikayoyoma, hatimae jana nikarejea mkoani kwa mapumzuko na familia as usual.
Hakika watoto walifurahi sana kuniona, basi waifu akapokea begi akalipeleka chumbani.
During the time nikajisahau kuungia chumbani nikawa bize sebleni na watoto tuna cheza kwa furaha (baba kaja you know....)
Sasa nilipo stuka naingia chumbani nakuta waifu analia na kwikwi juu, nami nikauliza kulikoni mpenzi wangu??
Akanijibu kwamba hilo ua nimepewa zawadi na spea tairi huko Dar....
Basi nikamkatalia na kumwambia hilo ua ni lakwake nilinunua nimfanyie sapraiz kama nilivyo ona kwenye paree ya braza Tupa na mkewe.
Sasa wakuu ebu nipeni mbinu za kivuta mkali wenu leo yamenifika, waifu haelewi kabisa na mbaya zaidi anasema mbona sijawahi kumletea zawadi ya ua??
Na anaona iweje tangu nihamishiwe Dar kikazi ndio nimejifunza mambo ya kuleta zawadi za kihuni??
Nilipo mwambia ni sapraiz, ndio kwanza hanielewi kabisa wakuu.
Nimemaliza
😂😂😂😂😂Pole sanaWakuu.....
Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa.
Ipo hivi.....
Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi.
Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya ndoa na mke wake, so kuna mambo kadhaa nilijifunza pale nami nikaondoka nayo.
Sasa skumoja nikiwa downtown mitaa ya posta, nikatimba kwenye duka moja lilikua lina maua mengi mazuri nikaona si-mbaya nikachukua moja nimpelekee waifu (nami nionekane Jigga kwa Bionce).
Siku zikayoyoma, hatimae jana nikarejea mkoani kwa mapumzuko na familia as usual.
Hakika watoto walifurahi sana kuniona, basi waifu akapokea begi akalipeleka chumbani.
During the time nikajisahau kuungia chumbani nikawa bize sebleni na watoto tuna cheza kwa furaha (baba kaja you know....)
Sasa nilipo stuka naingia chumbani nakuta waifu analia na kwikwi juu, nami nikauliza kulikoni mpenzi wangu??
Akanijibu kwamba hilo ua nimepewa zawadi na spea tairi huko Dar....
Basi nikamkatalia na kumwambia hilo ua ni lakwake nilinunua nimfanyie sapraiz kama nilivyo ona kwenye paree ya braza Tupa na mkewe.
Sasa wakuu ebu nipeni mbinu za kivuta mkali wenu leo yamenifika, waifu haelewi kabisa na mbaya zaidi anasema mbona sijawahi kumletea zawadi ya ua??
Na anaona iweje tangu nihamishiwe Dar kikazi ndio nimejifunza mambo ya kuleta zawadi za kihuni??
Nilipo mwambia ni sapraiz, ndio kwanza hanielewi kabisa wakuu.
Nimemaliza
Ona sasa, kama sio wehu ni niniHiyo ya chupi ni kweli, jamaa ya ni daktari wa binadamu walikuwa na project za Usaid Lindi, basi mke wake akawa anakwenda kumtembelea na kurudi Dar baadhi ya nguo zake anaacha kwenye geto la mshkaji.
Basi kuna safari akaenda ukaanza ugomvi wa chupi hii ya nani wakati chupi ni yake na aliiacha yeye.
Mimi naamini kuna wanawake wana ukichaa fulani hivi mpaka anayeishi naye ndio anaweza kujuwa anaishi na kichaa fresh.
Mkuu unahisi utatatua tatizo?Naomba namba yake,nimweleze kwa kina mm ndio niliokuuzia ua pale posta.
Nina uzoefu wa hayo mambo kwa miaka zaidi ya 20 sasa.Mkuu unahisi utatatua tatizo?
Ooh! Sawa Mkuu.Nina uzoefu wa hayo mambo kwa miaka zaidi ya 20 sasa.
kwa yaliyomfika na akomeUnampa pole ya nini huyu mwana haramu😂
Kuna mjumbe kakaimu nafasi kwa muda ila tayar majina yameshapendekezwa yanafuatiliwa kwa ukaribu zaidihivyo kofia yake ya uongozi kaivaa nani sahii..??
Ama mshamba_hachekwi ??
Du makaburini TENA!!Alilia kuona unachezea hela kununua maua badala ya mambo ya msingi,maua ungechuma tu makaburini ukampelekea
Unaulizwa hii ya Leo umejifunza wapi?Saa zingine unakuwa na style mpya .ukijichanganya Tu umekwisha
Kataa ndoa liwe furushi hili?😂😂😂Mwalimu,
Nilidhani wewe ni katibu mwandamizi wa chama kubwa la Kataa Ndoa, Linda Kibunda Chako & Co.