Zawadi imesababisha ugomvi na wife, leo nimenasa wakuu

1714398507642.jpg
 
Sasa mtaalam Ushi, hilo ua lilikaa vipi kwa begi, au lilikuwa artificial🤣🤣🤣
Hata hivyo maua yanashikwa mkononi akifungua mlango tu ni hugs, makiss na nilikumiss nyingi!!
 
Na angekuta Bunda la hela angesemaje sijui
Yaani wanawake kuishi nao inataka ujifanye zuzu tu maana hata chupi zake anaweza kusema umekuja nazo wewe 😄
Hiyo ya chupi ni kweli, jamaa yangu ni daktari wa binadamu walikuwa na project za Usaid Lindi, basi mke wake akawa anakwenda kumtembelea na kurudi Dar baadhi ya nguo zake anaacha kwenye geto la mshkaji.

Basi kuna safari akaenda ukaanza ugomvi wa chupi hii ya nani wakati chupi ni yake na aliiacha yeye.

Mimi naamini kuna wanawake wana ukichaa fulani hivi mpaka anayeishi naye ndio anaweza kujuwa anaishi na kichaa fresh.
 
Wakuu.....
Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa.
Ipo hivi.....
Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi.
Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya ndoa na mke wake, so kuna mambo kadhaa nilijifunza pale nami nikaondoka nayo.
Sasa skumoja nikiwa downtown mitaa ya posta, nikatimba kwenye duka moja lilikua lina maua mengi mazuri nikaona si-mbaya nikachukua moja nimpelekee waifu (nami nionekane Jigga kwa Bionce).
Siku zikayoyoma, hatimae jana nikarejea mkoani kwa mapumzuko na familia as usual.
Hakika watoto walifurahi sana kuniona, basi waifu akapokea begi akalipeleka chumbani.
During the time nikajisahau kuungia chumbani nikawa bize sebleni na watoto tuna cheza kwa furaha (baba kaja you know....)
Sasa nilipo stuka naingia chumbani nakuta waifu analia na kwikwi juu, nami nikauliza kulikoni mpenzi wangu??
Akanijibu kwamba hilo ua nimepewa zawadi na spea tairi huko Dar....
Basi nikamkatalia na kumwambia hilo ua ni lakwake nilinunua nimfanyie sapraiz kama nilivyo ona kwenye paree ya braza Tupa na mkewe.
Sasa wakuu ebu nipeni mbinu za kivuta mkali wenu leo yamenifika, waifu haelewi kabisa na mbaya zaidi anasema mbona sijawahi kumletea zawadi ya ua??
Na anaona iweje tangu nihamishiwe Dar kikazi ndio nimejifunza mambo ya kuleta zawadi za kihuni??
Nilipo mwambia ni sapraiz, ndio kwanza hanielewi kabisa wakuu.

Nimemaliza
Nyege hizo kakumisi! Piga pu..mbu mkuu.
 
Wakuu.....
Sina haja ya kuanza na salam, maana nimevurugwa.
Ipo hivi.....
Kwasasa nimehamishiwa Dar kikazi.
Sasa one time nilialikwa na mwanangu Tupa niende kwenye pare ya kutimiza miaka 10 ya ndoa na mke wake, so kuna mambo kadhaa nilijifunza pale nami nikaondoka nayo.
Sasa skumoja nikiwa downtown mitaa ya posta, nikatimba kwenye duka moja lilikua lina maua mengi mazuri nikaona si-mbaya nikachukua moja nimpelekee waifu (nami nionekane Jigga kwa Bionce).
Siku zikayoyoma, hatimae jana nikarejea mkoani kwa mapumzuko na familia as usual.
Hakika watoto walifurahi sana kuniona, basi waifu akapokea begi akalipeleka chumbani.
During the time nikajisahau kuungia chumbani nikawa bize sebleni na watoto tuna cheza kwa furaha (baba kaja you know....)
Sasa nilipo stuka naingia chumbani nakuta waifu analia na kwikwi juu, nami nikauliza kulikoni mpenzi wangu??
Akanijibu kwamba hilo ua nimepewa zawadi na spea tairi huko Dar....
Basi nikamkatalia na kumwambia hilo ua ni lakwake nilinunua nimfanyie sapraiz kama nilivyo ona kwenye paree ya braza Tupa na mkewe.
Sasa wakuu ebu nipeni mbinu za kivuta mkali wenu leo yamenifika, waifu haelewi kabisa na mbaya zaidi anasema mbona sijawahi kumletea zawadi ya ua??
Na anaona iweje tangu nihamishiwe Dar kikazi ndio nimejifunza mambo ya kuleta zawadi za kihuni??
Nilipo mwambia ni sapraiz, ndio kwanza hanielewi kabisa wakuu.

Nimemaliza
😂😂😂😂😂Pole sana
 
Hiyo ya chupi ni kweli, jamaa ya ni daktari wa binadamu walikuwa na project za Usaid Lindi, basi mke wake akawa anakwenda kumtembelea na kurudi Dar baadhi ya nguo zake anaacha kwenye geto la mshkaji.

Basi kuna safari akaenda ukaanza ugomvi wa chupi hii ya nani wakati chupi ni yake na aliiacha yeye.

Mimi naamini kuna wanawake wana ukichaa fulani hivi mpaka anayeishi naye ndio anaweza kujuwa anaishi na kichaa fresh.
Ona sasa, kama sio wehu ni nini
Yaani tuna utofauti mkubwa sana kwa kweli
Bora umeleta ushahidi maana kuna jamaa kanikejeli hapa hajui mimi ni muhenga 😄 🤣
 
Chukua hilo ua liweke pesa za kutosha ndani yake (asione ukifanya hivyo) ghen m embeleze mwambie ua limebeba zaidi ha huo urembo aangalie vizuri hakika utaona tabasamu lake
Hongereni mliothubutu kuoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom