Hii ndio maana ya ndugu lawama

Bado haujanielewa na unazidi kukosea kwa namna unapanga hoja zako. Mimi sijasema kuwa hauna shida wala sijasema kuwa usifanye mambo yako.

Nilichosema ni pale anapokuja ndugu yako na anajambo ambalo kwake ni la dharula na haliwezi kusubiria linahitaji pesa ya haraka sana, hautamsaidia atatue kwasababu unasave ununue kiwanja mwaka kesho kutwa? Kwani kununua kiwanja ni jambo la dharula, si ni mipango ya muda mrefu na endelevu na inaweza kusubiri?

Usiseme mtu mlalamishi elewa hoja kwanza. Utaelewa siku unadharula tena ya muhimu halafu dogo haipi uzito wala nini, utalaani hadi basi ila ndio mkuki ni kwa nguruwe kwa binadamu mchungu.
Hizo shida dharura haziishi kila mtu anakuletea yake utaweza kuepuka lawama?

Mfano mimi mwezi uliopita nimeombwa 700,000 alafu 300,000 na 300,000 hao wote wanadharura

Mimi nitasaidia matibabu labda mtu anaumwa au labda mtu anataka kulala na njaa siwezi acha kumsaidia lakini nakuona mzima hivi afu nina jambo langu nimelitarget utanisamehe tu
 
Ndugu wa maana ni baba na mamayo tu.
Hata dada/kaka yako sio ndugu wakutegemea.
Narudia ndugu wa maana ni baba na mama tu.
Ila kusema ukweli dunia ya sasa marafiki wako too humble kuliko ndugu huwa najiuliza kwa nini iko hivi!?
Kuna wazazi wengine nao wanakuwa changamoto kwenye maisha yako. Ingawa sio sana hii hali bado wapo ambao wanapata changamoto sana ya kuwa na wazazi marafiki.
 
Halafu ndipo tunapokuja kujiuliza wenzetu kama waarabu na wahindi wanaendeleaje.
Mtu akiendelea utaskia wabongo tukisema"aagh we waarabu huwajui?Amefeli akaitwa na hami yake(mjombaake) kasimamia duka akamuachia".
Hivyo ndivyo undugu unatakiwa kuwa.
Undugu kubebana kusiwe na njaa/umasikini katika familia.
Ila sisi wabongo hufanya tofauti.
Na mtu akifanikiwa ni waabudu pesa hatari ila akipururuka mnamkimbia tena.
Kibongo tunalealea sana tabia zinazochochea sana umasikini.

Umasikini sio kukosa hela ni kuwa na akili na tabia ambazo zinachochea kudumaza jitihada za kufanikiwa kimaisha.

Sasa mtu akiniletea hizo akili na tabia huwa namind vibaya bila kujali yeye ni nani.
 
Hizo shida dharura haziishi kila mtu anakuletea yake utaweza kuepuka lawama?

Mfano mimi mwezi uliopita nimeombwa 700,000 alafu 300,000 na 300,000 hao wote wanadharura

Mimi nitasaidia matibabu labda mtu anaumwa au labda mtu anataka kulala na njaa siwezi acha kumsaidia lakini nakuona mzima hivi afu nina jambo langu nimelitarget utanisamehe tu
Basi sasa kwa akili hizi ndio utashuhudia umasikini ukikuzunguka kama wewe ndie umepiga hatua kwenu.

Kusaidia watu wa kiumwa au wakifa huwa ina faida gani sasa mwisho wa siku maana unasaidia kwenye jambo ambalo halina mrejesho wa faida kwako na hata kwake.

Na hii ndio akili yetu wa afrika kuchangiana katika matukio ambayo kimsingi watu walitakiwa kujipanga personally mfano misiba, harusi, kuuguzana. Matukio ambayo mtu anatakiwa kujipanga mwenyewe kwanza mapema hata yakimkuta basi awe katika namna ya kujitetea.

Ila mtu anakufuata anashinda ya kianzio cha kufanya jambo lake ambalo soon linaweza kutoboa na kumpa maisha wewe unaona kama anataka kukufuja pesa. Umasikini utaisha kweli?

Wenzetu waarabu, na wahindi, wachina na wanaijeria wamepita huko. Ukiwa na jambo la biashara unapata sapoti haraka sana kuliko ukienda na maswala ya kuuguza au msiba.

Sisi tunapenda sana kuukumbatia umasikini as if ni aina ya mafanikio.
 
Basi sasa kwa akili hizi ndio utashuhudia umasikini ukikuzunguka kama wewe ndie umepiga hatua kwenu.

Kusaidia watu wa kiumwa au wakifa huwa ina faida gani sasa mwisho wa siku maana unasaidia kwenye jambo ambalo halina mrejesho wa faida kwako na hata kwake.

Na hii ndio akili yetu wa afrika kuchangiana katika matukio ambayo kimsingi watu walitakiwa kujipanga personally mfano misiba, harusi, kuuguzana. Matukio ambayo mtu anatakiwa kujipanga mwenyewe kwanza mapema hata yakimkuta basi awe katika namna ya kujitetea.

Ila mtu anakufuata anashinda ya kianzio cha kufanya jambo lake ambalo soon linaweza kutoboa na kumpa maisha wewe unaona kama anataka kukufuja pesa. Umasikini utaisha kweli?

Wenzetu waarabu, na wahindi, wachina na wanaijeria wamepita huko. Ukiwa na jambo la biashara unapata sapoti haraka sana kuliko ukienda na maswala ya kuuguza au msiba.

Sisi tunapenda sana kuukumbatia umasikini as if ni aina ya mafanikio.
Mkuu acha lawama maisha yako jukumu lako

watoto wako hawataelewa sababu yako isiyo na mashiko kwamba ndugu hawakukusaidia
 
Basi sasa kwa akili hizi ndio utashuhudia umasikini ukikuzunguka kama wewe ndie umepiga hatua kwenu.

Kusaidia watu wa kiumwa au wakifa huwa ina faida gani sasa mwisho wa siku maana unasaidia kwenye jambo ambalo halina mrejesho wa faida kwako na hata kwake.

Na hii ndio akili yetu wa afrika kuchangiana katika matukio ambayo kimsingi watu walitakiwa kujipanga personally mfano misiba, harusi, kuuguzana. Matukio ambayo mtu anatakiwa kujipanga mwenyewe kwanza mapema hata yakimkuta basi awe katika namna ya kujitetea.

Ila mtu anakufuata anashinda ya kianzio cha kufanya jambo lake ambalo soon linaweza kutoboa na kumpa maisha wewe unaona kama anataka kukufuja pesa. Umasikini utaisha kweli?

Wenzetu waarabu, na wahindi, wachina na wanaijeria wamepita huko. Ukiwa na jambo la biashara unapata sapoti haraka sana kuliko ukienda na maswala ya kuuguza au msiba.

Sisi tunapenda sana kuukumbatia umasikini as if ni aina ya mafanikio.
Ndugu huyo unaemuomba mtaji, atakwambia yeye hakusaidiwa na ndugu 😁 Zemanda
 
Mkuu acha lawama maisha yako jukumu lako

watoto wako hawataelewa sababu yako isiyo na mashiko kwamba ndugu hawakukusaidia
The way unaiweka ni as if mimi bado nahitaji kushikwa mkono, naona haujasoma vema maelezo yangu. Hapa nazungumzia vitu vilivyokwisha kupita.
 
Back
Top Bottom