Kwa umri uliofika.
1. Kama una miaka 30s Kuwa bilionea sahau/Waza mambo mengine.
2. Kama una 30s na hauko na hujawai kuingia kwene siasa bas we huwezi kuwa Rais hadi unakufa.
3.Wewe siyo Super human : Acha kuwaza kama uko kwene movie :
Kamwe usimwambie mtu “Utanifanya nn ww” vyakukufanya...
Niko mwanza napenda kupanda miti.
Tupeane Location na hii bidhaa ya miti
1.Miche ya Bure✅
2.Miche ya ofa✅
3.Miche ya hela⚠️✅
Nimeanza na mti mmoja wa maembe.
Mwenze miche anipee basi nikapande
Napata hili wazo baada ya kuona makabila mengi ya Africa yanashindwa kuikomboa nchi kitechnolojia na kiuchumi kisa kua na uwezo mdogo wa kiakili. Nataka nianzishe kabila cha watu wenye akili kama wa Israel (kama unachuki nao kwa kujaliwa akili ruksa kutema povu)
Hapa natafuta magenius kama 100...
Kesho najipanga kupata 200k lakini sina plan
Nishaurini
MAKOSA YA KIUFUNDI YA LEO:
0.Nimeamka saa4[emoji626]
1.Nimeamka bila plan[emoji626]
2.Nimepanda mnazi[emoji626]
3.Sijaulisha ubongo kwa kitabu[emoji626]
4.Nimeshinda home mwenyewe[emoji626]
5.Bado niko kwene confort zone[emoji626]
6.Nipo...
Wakuu,,
Umasikini ni sawa na Ukimwi, fungus, kaswende au Ebola au ugonjwa wa kuambukizwa.
Umasikini unaambukizwa kuweni makini. Kama wewe ni masikini kamwe usifungamane na masikini wala kuoa masikini maana mtaambukizana upele tena kama ni mwanaume utakuwa masikini mara mbili kama tujuavyo...
Well, kwa msiofahamu
Feminism ni idea ya kumuona mwanamke na mwanaume sawa. Yaan kifupi ni wale wapigania haki sawa kwa mwanamke yuko sawa na mwanaume.
Watu hawa huamini kuwa mwanamke yuko sawa na mwanaume licha ya kwamba tumeumbwa tofauti kibaolojia na kukuzwa tofauti kijamii. Kibaolojia...
Tuko kwene mahusiano kwa mwaka sasa, na sasa nataka nimuoe kwani ni mwanamke ambae ni wife material
Ila shida ni kwamba si mtu ambae navutiwa nae kiasi kwamba yeye ndo ananipenda.
Naenda tu kwa kujilazimisha ila akinipa penzi nakula kifupi mimi ni mzee wa show. Naweza lala na mtu hata...
Kila kitu kina Entry point kwenye hii dunia.
Ukiingia utarudia tena na tena historia inaendelea tena na tena.
Tueleze ulitengenezaje Billioni yako ya kwanza!
Nimefungua biashara ya kunyoa yaan kinyozi
Siyo berbershop bado haina hadhi hiyo
Lakini naona mauzo madogo je naweza nikaongeza biadhara gan hapo ili iwe inabust??
Watalamu wa biashara
Nauza kiwanja bei 4M
ukubwa 60*15
Eneo Fumagila/Nyamagana/Mwanza
Maji Yamefika
Umeme umepita
Barabara zipo
Hakijapimwa
Contact
Dm
au ukihitaji nakucheki
Kwa wapenzi wa series napata wap vibanda au series za hivi za black america ambazo hazijatafsiriwa
Kudownload n gharama bando
angalizo: vibanda vingi vipo na za kutafsiriwa za kihindi na kituruki ambazo mm sizielewi
Niko na interest za kuanzisha chanel ya youtube!!siku nyingi sana.
Kama mjuavyo chanel ya youtube ni investment ya muda mrefu na inachukua muda kuanza kuona matunda yake!
Inaweza kuchukua hata miaka miwili kufikia hatua ya kuwa Monetised!
Kwasababu monetisation inaanza channel inapofikia...
Nilikua na wazo hili muda sana.
Baada ya kufanya utafitu nikaona Kununua na kuuza mbuzi nikaona kma kununua mbuzi wadogo au waliokonda na kuwanenepesha kisa kuwauza itakua poa!!
Je kuna mtu mwenye uzoefu na hii biashara.
Kati ya makalannilizosoma soma kuusu zoezi hili pendwa
Hatua hii...
Ili usonge mbele au uishi kwa raha lazima kuna vitu uvi cut (ondoa),Block, au uvipige ban si kwa ubaya ila kwa afya ya akili yako na amani ya moyo!
Vitu hivi vinaweza kuwa vinakutia stress, au vinafanya ujisikie mnyonge, vinakuumiza, au vinakudharirisha au tu vinakurudisha nyuma au kukuzuia...
Aisee leo nimeshangaa naambiwa kuna jamaa anatengeneza MILLION KWA SIKU MOJA wakati hiyo ni budget yangu miezi 2.
Malengo yangu kwa sasa ni kuweza kutengeneza laki 2 tu kwa siku!Mlioweza mliwezaje kutengeneza 200,000/= kwa siku moja?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.