Nenda wakakufanyie operation, dawa zinazunguka wewe mwisho wa siku utarudi kwenye operation.
Ila jipange kwa maumivu makali baada ya operation sio poa.
USiogope lakini.
Nimeona Maskini waliovaa nguo zilizochakaa sababu hawana PESA ya kununua nguo mpya.
Nimeona watu waliokufaa njaa sababu ya kukosa pesa ya kununulia chakula.
Nimeona wagonjwa waliokosa matibabu sababu hawana pesa ya kulipia.
Tatizo si Pesa.
tatizo ni pale unapohitaji huduma au kitu na hauna...
Mwezi uliopita nilinunua Mayai thelethini ya kuku wa kienyeji.
Kwa ajili ya kula.
Nimetumia mayai kama 10. Halafu ukapita muda kama wiki. Bila kula mayai.
Juzi nikachukua kuchemsha, naona ni kama yameharibika. Yanakuwa yana maji, halafu ile layer nyeupe inakuwa ngumu kweli.
Ukikangaa ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.