ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 4,623
- 18,023
Ni kweli! Lakini mpango wangu sio huo uliotolea mfano hapo juuTatizo liko kwenye hiyo mipango. Wadada wengi unakuta anasema siolewi mpk nikamilishe mipango yangu lkn ukimchunguza utakuta hicho anachokiita mpango kiko centred kwenye kuitumikisha k.
Yaani unakuta ana biashara ndogo ama kazi ya kawaida ambayo haimpi nafasi ya yeye kujenga future yoyote. Ili apate kiwanja, gari, ama kuikuza biashara yake lazima ampate sponsor aitafune k.
Mwisho wa siku mdada kama huyu anakuwa anadanga na anachakaa kihisia, kiroho na kimwili kuliko aliyeko kwenye ndoa.