Search results

  1. KiuyaJibu

    Wataalamu wa Afya hii imekaaje

    Habari njema! Hospitali nchini China hutibu saratani kwa kugandisha uvimbe na kisha kuuondoa bila kutumia chemotherapy: Hospitali maalumu kwa ajili ya kutibu aina zote za uvimbe hasa saratani. Hospitali nchini China inaitwa (Fuda) katika mji wa Guangzhou (Guangzhou), kusini mwa China. Qatar...
  2. KiuyaJibu

    Hii inamaanisha nini?

    Kwa isiwe kwa Watanzania au wengineo pia?!
  3. KiuyaJibu

    Chagga's day

    Leo Ni Sikukuu Ya Wachagga Duniani(World's Chagga Day), Ni Siku Kubwa Iliyokuwa Inaadhimishwa Kila Mwaka Siku Ya Novemba 10, Miaka Ya Kabla Ya Uhuru wa Tanganyika na Miaka Michache Baada ya Uhuru Wa Tanganyika. Siku Hii Ilisherehekewa Kitaifa Kilimanjaro Katika Ikulu Ya Mangi Mkuu wa Wachagga...
  4. KiuyaJibu

    Life is all about rotation

    If you study and understand this diagram, you will know life is all about rotation, it is turn by turn, means that we are all using the same clock your own may be faster while others may be slow, but mind you still on the same time. [emoji108][emoji108][emoji108] How are we, everyone.
  5. KiuyaJibu

    Tanzania kupeleka timu Asia

    Kitaalamu kuna haja ya kuwapeleka watu bara au nchi fulani ili kujifunza ni kwa jinsi gani wao wamefanikiwa kiuchumi. Nimeiona mahali nikawa najiuliza mwenyewe; hata hivyo, nikaona niwahusishe hapa ndani pia kwasababu "tunajenga nyumba moja kwanini tugombanie fito" Kama iko sawa, basi nitaomba...
  6. KiuyaJibu

    Tarehe 7 Julai rasmi siku ya Kiswahili duniani

    TAREHE 7 JULAI RASMI SIKU YA KISWAHILI DUNIANI 1/2 Mkutano Mkuu wa 41 wa #UNESCO umeipitisha tarehe 7 Julai ya kila mwaka kuwa Siku ya Kiswahili Duniani. Azimio hilo limepitishwa na nchi zote wanachama wa UNESCO bila kupingwa, leo tarehe 23 Novemba, 2021, Paris nchini Ufaransa. Tuko pamoja; na...
  7. KiuyaJibu

    SoC01 Vyanzo vipya vya mapato kwa Serikali

    Utangulizi Ninasikitishwa sana na utendaji wa Wizara ya fedha katika suala zima la uandaaji wa bajeti kwa Serikali ya Tanzania. Kila mara bajeti inaposomwa Bungeni na Waziri wa fedha pamoja na mambo mengine, huwa inakuwa na ongezeko la kodi/tozo kwenye bidhaa zile zile ambazo zimeguswa na...
  8. KiuyaJibu

    Are we doing a right thing to our entrepreneurs?

    You can assess for yourself
  9. KiuyaJibu

    Nataka kufanya biashara ya kuuza gesi

    Nina rafiki yangu mmoja ambaye amebahatika kukutana na kuongea na bosi mmjo wa kampuni moja kubwa iliyojikita kwenye biashara ya mafuta na gesi; katika maongezi yao rafiki yangu alipendezwa na kufanya biashara ya kuuza gesi. Wakakubaliana kuwa anataka kufanya biashara ya kuuza gesi iliyoko...
  10. KiuyaJibu

    BRELA zaidi ya uijuavyo

    Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) ni Taasisi ya serikali muhimu sana katika uchumi wa nchi hii kutokana na majukumu uliyo nayo sahihi na yatakayo ongeza baadaye. Kwa umuhimu wake kwa Taifa, katika hili hakuna mtu yeyote anayeweza kupinga hili popote duniani. Pamoja na matatizo ya...
  11. KiuyaJibu

    Halafu mtu anatuambia "mjiajiri"

    Hii inanipa mashaka kuhusu elimu tuliyo-copy kutoka kwa wakoloni enzi hizo hadi sasa bado tunaing'ang'ania
  12. KiuyaJibu

    Hii kauli naona kama inatuhusu

    Hii kauli naona kama inatuhusu sisi ukilinganisha na hali ilivyo hivi sasa hapa nchini!
  13. KiuyaJibu

    Wadau mnaionaje hii

    Binafsi nina wasiwasi na kuhusiana na kubanwa kwa uhuru wa social networks. Anyway, itafahamika hapo baadaye.
  14. KiuyaJibu

    Tanzania kwanza

  15. KiuyaJibu

    Hivi ni kweli Redbull na Monster zina huo mchanganyiko?!

    Wana JF, naomba mtizame kiambatanisho
  16. KiuyaJibu

    Barabarani naomba muwe makini

    Uamuzi huu ni baada ya kuharibiwa gari mara kadhaa na daladala, bodaboda, na bajaj na mara nyingi wanakimbia. Mmoja ndiyo nimefanikiwa kumtia mkononi na kesi iko police msimbazi# bullet never lies.
  17. KiuyaJibu

    Hii ni sawa kweli?

    Serikali ya Nigeria imetoa agizo kuwa wanawake wanaovaa suruali za kubana wachapwe viboko hadharani ili kufanya jamii iwe na adabu kabisa. Je, unauonaje uamuzi huu?-Voice of Zigua
  18. KiuyaJibu

    PICHA: Mkuu wa wilaya ya Nachingwea akikagua mradi wa maji wa kijiji

    Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea Mh. Rukia Muwango akikagua mradi wa maji kijiji cha Mbwilinji. Hadi miaka mitano iishe hakyanani tutaona maajabu!!
  19. KiuyaJibu

    Watumishi wa umma kuhakikiwa tena

    Saturday, September 24, 2016 Serikali kufanya uhakiki mpya wa watumishi wa umma Serikali inatarajia kuendesha zoezi la uhakiki wa Watumishi wa umma kote nchini kwa siku 14 kwa kutumia mfumo wa kielektroniki ili kuondoa watumishi hewa na wenye utambulisho danganyifu. Akiongea na waandishi wa...
Back
Top Bottom