Salaam wanafamilia,
Naonaga mara nyingi dereva akibadili gear kwenye lorry kuna mlio wa gesi kuwa released kama sauti inayotoka akiapply brakes,, naomba kufahamu kama kuna uhusiano wowote wa gear na mfumo wa gesi kwenye trucks,, 🙏🏽
Habari great thinkers
Nina boxer bm 150 niliyoitumia kwa takribani miaka 7 (84,000km mileage) sasa kuna mtu katokea anaitaka kwa 1,700,000/=
Sasa nilikuwa nafikiria nikiuza ninunue Shineray (1,400,000) yenye shape ya "Scooter" ya kuchaji maana naona ni economy kwenye suala la fuel
Sio mtu wa...
Habari mwanafamilia wa jukwaa la ujenzi,
Je, umewahi nunua kiwanja ukaanza na ujenzi kabisa alafu baadae ukagundua ulijichanganya kujenga hapo,,
Twambie ilikuaje [emoji848]
#Nimeitoa sehemu
Muishi milele wanagarage
Mifumo ya break, power steering na hata clutch inatumia haudraulic kwenye gari ndogo,, wakati kwenye trucks breaks najua zinatumia gas, vpi mifumo ya power steering na clutch nayo inatumia gas pia??
[emoji1431]
Kichwa cha uzi cha husika
Nimesoma sehemu kuwa kampuni ya Toyota wanatengeneza zaidi ya magari 9.2M kwa mwaka na wana viwanda 67 vya utengenezaji duniani kote,, nikapiga hesabu kama ifuatavyo;
Kwa mwaka magari 9.2M
9.2M ÷ (Miezi 12) =766,667 kwa mwezi
766,667÷(siku 30) = 25,556 kwa siku
25,556 ÷...
Habari wanafamilia
Kwenye maisha kuna muda tunaishiwa fedha kabisa lakini bado kuna mambo yanatakiwa yaende.
Je, umewahi kuuza kitu gani (mali unayomiliki) ili utatue changamoto fulani yakifedha?
Jamaa yangu aliuza tv yake Hisence 43'' ili amlipie mwanae ada.
Karibu
Naimani mko poa wanafamilia.
Usafiri wa anga nimoja ya usafiri wenye bei kubwa ya nauli tukilinganisha na aina zingine za usafiri.
Kupitia uzi huu nakaribisha wazoefu wa usafiri huu waje watupe uzoefu na jinsi yakuepukana na gharama kubwa za nauli
Nitaanza na swali:
Tumekuwa tukisikia...
Naomba kujifunza yafuatayo kabla sijaingia kwenye ufugaji;
Nafikiria kufuga kuku chotara (Sasso au Kroiler) kisha niwauze baada ya miezi 3 kwa bei isiyopungua 10,000/=
Lakin nimekaa nakupiga hesabu kulingana na ulishaji elekezi kwa kila wiki nikaona nikifuga kuku 100 kwa mwezi wa kwanza...
Hellow great thinkers
Tumeskia kwamba endapo kampuni ya DPW ikiwekeza katika bandari yetu (zetu) itatoa 35% ya hisa zake kwa watanzania ili nao wawe sehemu ya kampuni
Naomba kueleweshwa jinsi ambavyo serikali huwa inanufaika kupitia wawekezaji wanaokuja kuwekeza katika nchi
Je huwa inanufaika...
Nini maana sahihi ya maneno haya
Kwa ninavyofahamu mimi,, tovuti ni internet wakati wavuti ni website
Karibu utwambie unavyoelewa wewe.
Ikumbukwe kuwa internet sio mtandao, mtandao ni network
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Idumu milele jf
Nahitaji app ya vitabu vya Tumwabudu Mungu wetu na Liturgia App ya kitabu cha biblia takatifu nimefanikiwa kuipata
Natanguliza shukurani
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Hamjambo wanafamilia wa jf
Ningependa kujifunza jinsi breki za gesi zinavofanyakazi
Sambamba na hili ningependa nifahamishwe jinsi ya ufanyaji kazi wa "Stop engine" au "stopper" na kwanini zinatumika zaidi kwenye magari makubwa
Pia ule mlio kwenye gari zinazotumia breki za gesi hasa wakati...
Watu wengi wamekuwa wakiuliza swali.
"Kwanini ndege za abiria wasiweke miamvuli {parachutes} ili kila mtu aweze kuruka inapotokea dharura"
Kiuhalisia kwasasa haiwezekani kwasababu zifuatazo:
1> Urukaji kwa kutumia mwamvuli {parachute} unahitaji mafunzo ya saa 4 hadi 5 darasani ikifuatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.