Search results

  1. youngkato

    Wenye miaka zaidi ya 30, kitu gani unajutia kufanya/kutofanya kabla ya kufikisha miaka 30?

    Mimi najutia nilifanya investment badala ya kufanya savings. Mwisho wa siku biashara zimekufa sina savings hata moja. Najutia kutonunua viwanja pesa yote nikaweka kwenye miradi ambayo yote imekufa. Ongezea tujifunze
  2. youngkato

    Jina gani la bar umewahi kukutana nalo?

    Kuna majina mengi ya bar ya ajabu mengine yana maneo makali sana Nitaanza na mfano 1. Kidimbwi 2. Toroka uje Weka jina unalofahamu
  3. youngkato

    Jifunze writing skills

    If you master writing skills You become Expert on 1. Writing proposal 2. Writing articles 3. Writing cover letter 4. Writing social media posts 5. Writing WhatsApp status 6. Writing threads 7. Writing sales letter 8. Blog posts 9. Story writing 10. Ghost writing
  4. youngkato

    Kupata $1 mpaka $5 kwa siku Ni rahisi ukijifunza hizi skills

    Kupata $1 mpaka $5 kwa siku Ni rahisi ukijifunza hizi skills 1. Audience building 2. Copywriting 3. Sales & Closing 4. Offer creation 5. Affiliate marketing 6. Content creation 7. WhatsApp marketing 8. Persuasion and attention Zitakusaidia kuuza products nyingi online
  5. youngkato

    Point 40 zitakazokusaidia ufanikiwe haraka kwenye freelancing

    Point 40 zitakazokusaidia ufanikiwe haraka kwenye freelancing. Zote ni muhimu sana, Ukuzingatia Ni rahisi sana kupata maokoto yako 1. Chagua niche (industry) ambayo ina demand kubwa ya wataalam na ushindani wake ni mdogo sana Mfano AI, Blockchain, renewable energy, real estate etc 2...
  6. youngkato

    Kazi ya kuuza vifurushi na line za lipa tigo

    Nafasi za kazi Tigopesa Unapewa access na training ya kuuza vifurushi na line za lipa namba Nenda ofisi za tigo shop Tabata bima Ukifika Tigo shop Tabata bima Mpigie simu muhusika 0675764477 Atakusaidia Au mtafute WhatsApp akupatie utaratibu Wa kuunganishwa. Ni bure kabisa Fika ofisini...
  7. youngkato

    Kuwa makini na hii scam

    Kuna scam moja inatrend Kuna watu wanajifanya Indonesia (japo ni jirani zetu) Wanawacheki watu WhatsApp, wanapanga na task za YouTube likes wanawalipa buku buku Badae wananogewa wanaingia kwenye mtego wa ku deposit pesa kubwa Nimepokea kesi nyingi WhatsApp No easy money
  8. youngkato

    Kwanini watu wenye digital skills wanashindwa kuzitumia?

    Kujifunza skills Kusoma kozi Kupata certficate Sio guarantee pekee ya kupata kazi online Lazima ujue pia kufanya marketing ya hizo skills Kutafuta clients, kuwafikia clients walipo. Mwisho wa siku ujue kuziuza
  9. youngkato

    Ni sahihi kuuza viwanja mashamba ili kumsomesha mtoto chuo?

    Wakuu kuna ndugu yangu mmoja. Ana mtoto wa kike amemaliza kidato cha sita, amepata nafasi ya kwenda chuo lakini amekosa mkopo. Wazazi wake hawana pesa kabisa ila wana viwanja (kijijini kwao) na mashamba ila hayana thamani kubwa sana. Sasa wao wanaona kama chuo ni kutoboa maisha mwanamke...
  10. youngkato

    Kwanini kila aliyefanikiwa online anakwambia soma hizi skills???

    Umewahi kujiuliza Kwanini kila aliyefanikiwa online anakwambia soma hizi skills??? Copywriting Closing skills Media buying Freelancing Trading Content creation Marketing research Audience building Graphics design Story telling Offer creation Market positioning Hakuna anayekwambia Chukua...
  11. youngkato

    How virtual assistant can change your freelancing business?

    How virtual assistant can change your freelancing business...? As a virtual assistant, you can provide administrative support to individuals or businesses remotely. Tasks may include managing emails, scheduling appointments, conducting research, data entry, and more. Many entrepreneurs and...
  12. youngkato

    Quick money Vs easy money

    People going on YouTube to search "how to make $1000/m with freelancing ten minutes video" Instead "How to build a successful freelancing career three hours video" Everything starts with your mindset Invest your time to get free value Invest your money to get premium value.
  13. youngkato

    Maajabu ya kahama

    Huu mji una maajabu mengi sana i never knew. Nitahamia kahama soon
  14. youngkato

    Verified members

    Nimepata verification badge leo Tujuane verified members
  15. youngkato

    Huruma ya maisha na kujiamini kupita kiasi

    Dunia hii bhana haina huruma Haijui umesoma nini, unajua nini, una magumu gani. Usipojihangaisha inakupiga kweli Hakuna atakayekuonea huruma Kuna watu wanasema mimi nimesoma injinia siwezi kufanya kazi za darasa la saba My friend kuwa makini maisha ni magumu kuliko unavyofikiria Nimetembea...
  16. youngkato

    Kwa walioko kwenye ndoa tu (kama hujaoa usifungue)

    Kuna jambo nimeliona kwenye ndoa zetu hizi linachangia kiasi kikubwa tukose hata nguvu ya kumridhisha mwanamke Unaamka asubuhi unaambiwa sukari, sabuni, mafuta mchele takataka zote hamna unaacha elf kumi+ Ukirudi jioni tu saa kumi utaambiwa nilisahau mkaa, kingamuzi, na mafuta yamebaki kidogo...
  17. youngkato

    Mimi kama freelancer wa kitanzania, vijana fanyeni hivi

    Kwanza freelancing ni kufanya kazi za nje kupitia platform za kazi kama Upwork na fiver Kitu cha kufanya tafuta digital skills (ujuzi) Wowote ule ambao unaweza kujifunza kwa kutumia computer Kitu cha pili anza kutafuta wateja wa huo ujuzi au kutafuta kazi mitandaoni kupitia hayo majukwaa ya...
  18. youngkato

    Kwa tunaotaka kuanza freelancing

    Fanya utafiti (Research) katika platform tofauti za freelancing au sehemu ya kuuza ujuzi wako (zipo zaidi ya 100) Uchague sehemu chache na Uzifanyie kazi. Mfano: Upwork, @fiverr, linkedIn, #Guru n.k Usikimbilie kuanza kabla hujajua sehemu ipi inakufaa kulingana na skills Mods msifute uzi...
  19. youngkato

    Tahadhari: Uzito uliopitiliza na unene ni chanzo cha magonjwa yasiyoambukizwa

    Nimegundua watu wengi sana wanaoumwa magonjwa yasiyoambukizwa kama pressure, kisukari, miguu kuvimba, figo, ukosefu wa nguvu za kiume, wanawake kushindwa kufurahi tendo. Chanzo kikubwa ni unene Kwahiyo katika mishe zako jitahidi ucontrol hayo matatizo ya unene na uzito uliopitiliza Njia ngumu...
  20. youngkato

    Ijue siri ya Kwanini biashara nyingi zinakufa?

    Asilimia 95 ya biashara zinazoanzishwa zinakufa ndani ya mwaka mmoja Asilimia tatu zinakufa ndani ya miaka mitatu Asilimia mbili tu ndo zinafanikiwa Kuna sababu kuu tatu zinazoua biashara 1. Kufanya biashara za kuigana bila kufanya utafiti wa kutosha 2. Kudharau technologia unakuta mtu...
Back
Top Bottom