Search results

  1. MURUSI

    Ofisi ya VODACOM tawi la Moshi wana dharau

    Iliwahi kunitokea kwenye Taasisi moja ya pruvate,nikamrecord yule Mdada bila yeye kujua,then baadae nikatafuta number yake nikamtumia crip,Kbla sijairusha kwa wakubwa. zake, alikuja kwangu anatembelea magoti akiomba msamaha. Sema alishanisababishia hasara na nikamwambia ni too late, alipigwa...
  2. MURUSI

    Ofisi ya VODACOM tawi la Moshi wana dharau

    Unapaswa kurecord, huwezi saidiwa kama huna ushahidi
  3. MURUSI

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Tuwekeze sasa kwenye mifumo ya uwajibikaji, tuache kutegemea mtu atutatulie shida zetu bali Mfumo ndio utatue

    TUJENGE MIFUMO YA UWAJIBIKAJI, KAMWE TUSITEGEMEE KUWA NA NAMBA ZA OCD AU ASKARI WA USALAMA BARABARANI. Taifa tunapaswa kuwekeza sasa kwenye mifumo imara ya uwajibikaji ili leo na kesho hata kama kiongozi hayupo basi mifumo ifanye kazi, tuweke mifumo tukifikiria kwamba kuna siku viongozi wote...
  4. MURUSI

    Kuku wangu 1 anataga mayai 3-4 ndani ya masaa24!

    Hakuna kitu kama hicho, utawashika masikio wasio jua Sayansi ya utengenezwaji wa yai. ni sawa sawa kabisa na kusema MWanamke ndani ya mezi 9 kajifungua mara 3 kitu ambacho hakiwezekani na wala hakipo. Unajua yai moja huchukua masaa ngapi kukamilika kutengenezwa?
  5. MURUSI

    Diane Rwigara achukua fomu ya urais kuchuana na Paul Kagame

    Kwana Kgame ni nani?unazania RWanda hakuna wapinzani?;wapo sana
  6. MURUSI

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Tuwe na 50 kwa 50 kati ya miradi ya Vitu na miradi ya watu, ili kuondoa umasikini Tanzania

    Kuwe na 50 kwa 50 kati ya miradi ya maendeleo ya watu na miradi ya maendeleo ya vitu ili kupunguza umaskini wa vipato. Tanzania ni moja ya nchi zinazo kuja juu sana kwa swala zima la ukuaji wa uchumi, na hii inachochoewa na kasi ya maendeleo hasa hasa miundo mbinu, Tuna miradi mingi sana ya...
  7. MURUSI

    SoC04 Tanzania tuitakayo: Elimu ya Fedha kwa Raia ni Muhimu kwa Maendeleo ya Taifa. Tuanze na watoto sasa

    TUANZE NA WATOTO ELIMU YA KIFEDHA Moja ya elimu muhimu sana tulio ikwepa ni elimu ya fedha, ambayo huenda ingetusaidia sana kwenye mipango yetu ya maisha ya kila siku na hivyo kusaidia taifa hili. Watanzania wengi hatuna elimu ya kifedha nikiwemo mimi ninaye andika hii story. tusichanganye...
  8. MURUSI

    Toleo lijalo la noti napendekeza ziwe za Nylon

    Nchi nyingi wanahamia kwenye Digital curency, uko nyuma ya wakati sana
  9. MURUSI

    Mwamposa ahudhuria uzinduzi wa Album ya Harmonize

    kwa nini anapokea fungu la 10? Wakristo sisi tunashikiwa saja akili
  10. MURUSI

    SoC04 Tuanze na kilimo cha Pamba GMO isio kuwa na hatari kiafya, Ili kukuza zao hilo mikoa ya Kanda ya Ziwa

    Tanzania ni moja ya wazalisahi wa Pamba hapa Africa ikiwa sambamba na chi kama Benin, Ivory coast, Burkina Faso, Cameroon, Sudan, Mali, na Nigeria na South Africa.Tanzania inatajwa kuazlisha tani 26,000 mwaka 2023 kutoka tani 16,000 mwaka 2021/2022. Ukilinganisha na miaka ya nyuma, kilimo cha...
  11. MURUSI

    SoC04 Serikali ianzishe shule za msingi za kata nchini ili kuwa na nguvu kazi tosherezi ya walimu

    Mkuu Maendeleo ya sayansi kwa sasa inabidi hata baadhi ya shule zifungwe, Kinacho takiwa ni uwekezaji kwenye Sayansi, MWalimu mmoja anaweza kaaa Dodoma akatoa mafunzo kwa shule zote nchi nzima. Binafisi hata shule za secondary za Kata naona ni kuharibu Aridhi
  12. MURUSI

    SoC04 Wadudu protein(Edble insects) wanaweza tusaidia kupunguza kiwango cha utapia mlo kwa Watoto Tanzania

    Konokono wanao liwa sio wale unao wajua wewe. Ila sana West Africa ndio wanakula konokono sana.
  13. MURUSI

    SoC04 Wadudu protein(Edble insects) wanaweza tusaidia kupunguza kiwango cha utapia mlo kwa Watoto Tanzania

    Mkuu, nazungumzia swala zima la kuoambana na utaoia mlo, yes nyama imejaa, ila nyama ni ghari sana, nyama mifugo inaharibu mazingira sana, nyama sio salama pia kwa sasa, Mifugo inapewa madawa sana hasa hizi antbiotic.
  14. MURUSI

    SoC04 Wadudu protein(Edble insects) wanaweza tusaidia kupunguza kiwango cha utapia mlo kwa Watoto Tanzania

    Mkuu Asia wanakula sana wadudu, na sion Asia tu hata Wazungu wameshituka sasa wanakula sana wadudu. European Union imeisha ruhusu Wadud wauzwe.
  15. MURUSI

    SoC04 Wadudu protein(Edble insects) wanaweza tusaidia kupunguza kiwango cha utapia mlo kwa Watoto Tanzania

    Mkuu, wadudu waliowao wana virutubisho sana,shida kubwa ni Mindset tulizo wekewa na watu wa Magharibi.
Back
Top Bottom