Nyumba ina vyumba vinne kimojawapo ni self, ukumbi wa kukaa na ukumbi wa kulia chakula, jiko stoo, n.k. Nyumba imebakia kuezekwa/kupiga bati. Ipo mita 300 kutoka barabara kuu jirani na shule ya Aljebra. Ina nyaraka ya manispaa ya Temeke, mwenye kuhitaji tuwasiliane 0713487490, karibuni.
Prescott Bush was part of a large banking group that funded the Nazi party and the uprising of the Third Reich.
Prescott Sheldon Bush (1895-1972) married George Herbert Walker's (1875-1953) daughter Dorothy Wear Walker (1901-1992) in 1921 and she was renamed of course, Dorothy Wear Walker...
Mwandishi wa Shirika la Utangazaji la BBC; John Ngahyoma amefariki dunia hospitalini leo asubuhi, maziko yake yatafanyika nyumbani kwake Tabata Segerea. Ngahyoma kabla ya kuwa mtangazaji wa BBC aliwahi kufanya kazi ya Radio One na ITV.
Kwa wale wanapenda kuropokwa maneno yasofaa, jamaa wapo kazini 24/7 ukija kukosa viza ya kuingia state usishangae; kumbe kuna mahala uliharibu na wenyewe wakakuona.
CIA
Nawataka radhi km nimerudia post
Naomba kama mtu anafahamu hizo chaneli tajwa hapo juu iwapo wahusika wamebadilisha Frequency zao kwa wale wanotumia Satellite Dish.
Ilianza kupotea channel TEN, ikafuata Star TV na kuanzia last week ITV/Capital na EATV(wote wapo pamoja), hazipo hewani. Sina...
Mke wa Kelvin anajivunia mume mtulivu, hashindi baa na hatongozi mademu. Akitoka kazini huenda kucheza basketball na kurudi nyakati za dinner. Siku moja mkewe akamhurumia kwa kuwa anachoka na kazi, je ni mtu gani asiyependa starehe japo kidogo?
Mke akamlazimisha mtoko (outing), Kelvin...
Moto mkubwa umeripika ktk sheli ya mafuta kasulu mjini mida ya saa 12:30 jioni, mpaka sasa hakujawa na taarifa rasmi ni watu wangapi wamekufa au kujeruhiwa ila moto bado uanendelea kuwa japo kasi yake imepungua kwa kiasi kikubwa.
Hotel ambayo nimefikia (Mara Lodge) imeponea kwa kudra za mungu...
Wadau katika pitapita zangu ktk mtandao wa tume ya uchaguzi, nimkutana na kitu hiki hapa chini: -
http://www.nec.go.tz/?modules=registration⊂
MTAZAMO WANGU
1: Kwa nini hadi sasa siku 27 kabla ya uchaguzi hawaja-update ktk database idadi ya wapiga kura kwa mikoa yote? au ndio maadalizi...
Wananchi wenzangu kuna suala nahitaji tuliangalie kwa uzito wake; je ktk uchaguzi wa mwaka huu wafungwa watapiga kura kuchagua rais, wabunge na madiwani?
Mwanzoni mwa mwaka huu nilibahatika kutembelea gereza fulani hapa nchini; ktk mazungumzo yetu (nilikuwa na baadhi ya staff members) na mkuu...
The German Bundesliga has overtaken the English Premier League as the most profitable in the world, according to financial analysts Deloitte.
Kwa habari zaidi bofya hapa Bundesliga overtakes Premier League as world's most profitable - CNN.com
Wandugu,
katika pitapita yangu mtandaoni kuna ugonjwa huo uliotajwa; na kwa habari zilizopo umeshaingia Tanzania hasa hapo D'Salaam na kule nyumbani visiwani.
Kuna watu zaidi ya 10 washaambukizwa huu ugonjwa, ambao huenezwa na mbu abebae Dengue virus (DENV), na mbu huyu hata mchana kweupe...
He met her at a party.. She was so beautiful, many guys were chasing after her, while he was so plain and simple, nobody paid attention to him.
At the end of the party, he invited her to have coffee with him, she was surprised, but to be polite, she consented. They went to a nice
coffee shop...
Kwa wale wenye kutarajia kuwa VIONGOZI, kugombea Ubunge, Udiwani, Urais na hata katika ngazi ya familia nyumbani.
Ushauri wa bure huu hapa chini ktk attachment.
Mbarikiwe sana na Amani iwe nanyi
A woman baked chapati (bread) for members of her family and an extra one for a hungry passerby. She kept the extra chapati on the window-sill, for whosoever would take it away.
Everyday, a hunchback came and took away the chapati. Instead of expressing gratitude, he muttered the following words...
LIGI ya Mabingwa Ulaya inaendelea Juma4 na Juma5 huku timu tatu kubwa na maarufu zikiwa katika hatari ya kuondolewa katika michuano hiyo mapema.
Timu hizo, bingwa mtetezi Barcelona, Liverpool ambao wameshinda taji hilo mara tano na Bayern Munich ambao ni washindi mara nne zinakabiliwa na...
Saudi Arabia reports first H1N1 deaths among pilgrims
RIYADH,
- Saudi Arabia said on Saturday four pilgrims had died of the new H1N1 flu virus three days before the massive Muslim haj is due to begin, al-Hayat newspaper said.
The Health Ministry said the deaths were among pilgrims who came...
Kufuatia Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini; Wakazi wa Mkoa wa Kigoma na wale waliojirani na mkoa huo wapo njia panda baada ya barabara kuu ya magari kuingia mkoani humo kupitia KIBONDO - KASULU - KIGOMA kuharibika na kupelekea baadhi ya magari kukwama hasa magari makubwa ya mizigo na...
It's 3 p.m.-- do you know where your energy's gone? Do you know why are you feeling so tired? You probably expect to feel that late-afternoon drag, but you don't always have to. Turns out, some of your regular habits may be sneakily zapping your zip and draining yuor energy. Fix some or all of...
Fresh hope as Karume meets Hamad
Early signs of thawing relations between Zanzibar's main political adversaries emerged yesterday with a rare meeting between President Amani Abeid Karume and his longtime rival and critic...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.