Usafiri wa Kigoma na Mikoa ya Jirani Mashakani

AljuniorTz

JF-Expert Member
Jan 6, 2009
544
17
Kufuatia Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini; Wakazi wa Mkoa wa Kigoma na wale waliojirani na mkoa huo wapo njia panda baada ya barabara kuu ya magari kuingia mkoani humo kupitia KIBONDO - KASULU - KIGOMA kuharibika na kupelekea baadhi ya magari kukwama hasa magari makubwa ya mizigo na abiri. Barabara hiyo ni ya udongo wa mfinyanzi ambayo haina hata changarawe

Angalia picha hapo chini.

i1043_CIMG0170.JPG


i1044_CIMG0169.JPG

Truck imeziba njia baada ya kushindwa kupandisha mlima na kurudi nyuma, sababu ya utelezi.

i1041_CIMG0173.JPG


i1040_CIMG0175.JPG

Hapa hakuna safari mtu wangu.

i1038_DarKigoma.JPG

Huyu suka alitaka kuuwa wingi ya kushoto ili akawahi kulala kigoma akitokea Dar, but gari ikatitia udongoni haendi mbele wala harudi nyuma.

i1039_CIMG0179.JPG

No way!!!
i1041_CIMG0173.JPG


Hili soo ni tangu asubuhi ya leo na hadi narusha story jioni hii.
 
Ukichunguza kwa makini hizi picha utagundua kwamba sehemu kubwa ya gari zilizokwama ni za mizigo/biashara.
Watu wa TRA wanakusanya mapato ya kutosha, lakini hii barabara kuu ya kuingilia Kigoma kutoka Dar, Mwanza, Kagera n.k kila msimu wa mvua ni shida tupu (hii ni kwa mujibu wa wakazi wake wanakumba na adha hiyo.

Wabunge wao Nzansugwanko, na wengineo mnaliona hili???
 
hili ni jambo la kusikitisha kwa serikali ya ccma na wabunge wake kwa ujumla...hapo ndipo unaojua siasa ni nini....kumbe ndio maana ahapa airport kuna vijana unakuta tkt ya ndege inaonyesha siku hiyo ukifika unaambiwa umechelewa baada ya muda wanakuja abiria kama weewe wanaletwa na kijana mmoja amekuwa machachari kama mzanzibar anafanya kazi ya kucuhukua hela za watu na kuwahakikishia usafiri wa ATCL...Huu ni uhuni wa ajbu...mtu mna shida na usafiri bado mtu anataka kuneemeka huko huko wakati umekata tkt ya tar halali.....poleni mpwa...tutawatengenezea daraja
 
Back
Top Bottom