AljuniorTz
JF-Expert Member
- Jan 6, 2009
- 544
- 17
Nawataka radhi km nimerudia post
Naomba kama mtu anafahamu hizo chaneli tajwa hapo juu iwapo wahusika wamebadilisha Frequency zao kwa wale wanotumia Satellite Dish.
Ilianza kupotea channel TEN, ikafuata Star TV na kuanzia last week ITV/Capital na EATV(wote wapo pamoja), hazipo hewani. Sina hakika km wamehamia ktk digital broadcasting ama ni vipi; nimetembelea website zao hamna lolote la maana zaidi ya habari za siku nyingi zilizopita...
Nitashukuru kwa yeyote mwenye taarifa
Naomba kama mtu anafahamu hizo chaneli tajwa hapo juu iwapo wahusika wamebadilisha Frequency zao kwa wale wanotumia Satellite Dish.
Ilianza kupotea channel TEN, ikafuata Star TV na kuanzia last week ITV/Capital na EATV(wote wapo pamoja), hazipo hewani. Sina hakika km wamehamia ktk digital broadcasting ama ni vipi; nimetembelea website zao hamna lolote la maana zaidi ya habari za siku nyingi zilizopita...
Nitashukuru kwa yeyote mwenye taarifa