AljuniorTz
JF-Expert Member
- Jan 6, 2009
- 544
- 17
Wandugu,
katika pitapita yangu mtandaoni kuna ugonjwa huo uliotajwa; na kwa habari zilizopo umeshaingia Tanzania hasa hapo D'Salaam na kule nyumbani visiwani.
Kuna watu zaidi ya 10 washaambukizwa huu ugonjwa, ambao huenezwa na mbu abebae Dengue virus (DENV), na mbu huyu hata mchana kweupe anauma.
Stay health
katika pitapita yangu mtandaoni kuna ugonjwa huo uliotajwa; na kwa habari zilizopo umeshaingia Tanzania hasa hapo D'Salaam na kule nyumbani visiwani.
Kuna watu zaidi ya 10 washaambukizwa huu ugonjwa, ambao huenezwa na mbu abebae Dengue virus (DENV), na mbu huyu hata mchana kweupe anauma.
Stay health