Nenda wakakufanyie operation, dawa zinazunguka wewe mwisho wa siku utarudi kwenye operation.
Ila jipange kwa maumivu makali baada ya operation sio poa.
USiogope lakini.
Nimeona Maskini waliovaa nguo zilizochakaa sababu hawana PESA ya kununua nguo mpya.
Nimeona watu waliokufaa njaa sababu ya kukosa pesa ya kununulia chakula.
Nimeona wagonjwa waliokosa matibabu sababu hawana pesa ya kulipia.
Tatizo si Pesa.
tatizo ni pale unapohitaji huduma au kitu na hauna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.