Hii imekuwa mpya kwangu katika harakati za kutafuta kibarua. Nimeambiwa niandike proposal ya namna ambavyo nitaweza kuongeza wateja na kukuza biashara.
Ni upande wa Administration ya Hotel.
Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume Huru...
Wakuu vipi,
Niliona Tangazo la kazi kupitia careerjet, la Curator, basi nkaomba maana application Yao ilikuwa so simple.
Hii kazi inaitaji uwe na laptop na bandle, unalipwa $0.15 per each link...
When you are over 50, the odds are stacked against you to land a job.
May 6, 2024, 03:00 AM EDT
AMANDA LUCIER FOR HUFFPOST
Donna Kopman, a 57-year-old job seeker, is pictured at her home in...
Habari wana jf!
Naomba msaada kwa anayefahamu taratibu za kuhama kutoka halmashauri kwenda mashirika ya umma.
Mimi nilikuwa nafanya kazi katika shirika la TANESCO kwa miaka mitano nikiwa...
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu.
NB: Depo ya...
Kampuni Hope Holdings ambayo inaendesha biashara mbalimbali katika Jiji la Dar es salaam kama vile Mgahawa wa Papparoti, Super Market maarufu ya kuuza mazulia iitwayo Amal Carperts Mlimani City na...
Kampuni Hope Holdings ambayo inaendesha biashara mbalimbali katika Jiji la Dar es salaam kama vile Mgahawa wa Papparoti, Super Market maarufu ya kuuza mazulia iitwayo Amal Carperts Mlimani City na...
Bryan Robinson, Ph.D.
Contributor
author of Chained to the Desk in a Hybrid World: A Guide to Balance.
Follow
Apr 21, 2024,06:00am EDT
Knowing how to negotiate your salary before a job...
Habari wana JF,
Nina shida na kazi yoyote. Mimi ni kijana wa miaka 25 nimefanikiwa kufika form six, changamoto ya ada ikanifanya niishie mwaka wa kwanza MBEYA UNIVERSITY (MUST) nataman kuludi...
Habarini za muda wakuu, poleni na majukumu ya kila siku. Ninahitaji kuzalisha fedha kuanzia millioni moja na kuendelea kwa siku ya Kuanzia leo mpaka Jumamosi. Ili niweze kutatua tahadhari...
Location ni kinondoni Morocco kwenye majengo ya Morocco Square, mengineyo yanajieleza hapo kwenye bango.... Kama huelewi unaibuka tu utajieleza hukohuko sio mpaka uitwe
Wakuu nina degree ya Accounting and Finance nipo Arusha jinsia ni mwanaume kukaa home kunachosha. Kama kuna mtu ana sehemu anataka hata mtu wa kumbebea mafile Arusha mimi nipo.
Wakuu habari zenu ,naomba msaada wa mtu ambaye anauhakika na anaweza kufanya hii kazi .Naomba kama Yuko au ni wewe mwenyewe unicheki kupitia whatsup namba 0743567159.
Habari wakuu, mimi ni kijana wa kiume (26), mhitimu wa chuo kikuu cha Dodoma, Shahada ya kwanza ya sayansi katika kemia (mkemia), ninaomba kazi Yoyote ile iwe ya taaluma yangu au ya kutumia nguvu...
Position: Farm Manager
Reports To: Director of Partnership and Program Development
Basic Salary: 1,200,000/=
Other benefits: Health insurance, airtime and meals/lunch
Position overview
The Farm...
Position: Relationship Manager Institutional Banking
Job Purpose:
Product Lifecycle Configuration is a sub- unit under ICT Services Management. The unit is responsible for managing the lifecycle...
Positions: Drillers (3 Positions)
Department: Mining
Canuck Company Limited is seeking to recruit Drillers to join and grow their team. You will be expected to align to the Canuck rules and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.